Serikali piteni kwenye mabaa chunguzeni bia za windhoek. WATATUUA JAMANI


“Ukizingatia wamiliki wengi ni wachaga ambao nao pesa ni zaidi ya uhai wa mtu”

Wivu unakusambua , roho ya husda, roho ya uvivu, uchawi na akili zilizo expire.
 
“Ukizingatia wamiliki wengi ni wachaga ambao nao pesa ni zaidi ya uhai wa mtu”

Wivu unakusambua , roho ya husda, roho ya uvivu, uchawi na akili zilizo expire.
Meku acha povu, mnajulikana kwa madili feki tangu kitambo sana
 
Unayo hoja, watu wa TBS nadhani wamelala usingizi wa pono huku wale wajanja wanaojali pesa kuliko uhai wakifanya yao.
 
Nimekumbuka miaka hiyo ya Mabibo Beer, Wines & Spirit tukipata bia na kitimoto pale Migombani - Survey na ma prof kadhaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…