kwahiyo kama speed yake 200km basi na ww ndo mwendo wa 200km/h hamna 60 wala 80km alafu na hio barabara ya kwenda km 200 nayo umeinunua ww.!Niliendesha Volvo Siku moja hapa DSM, nilichogundua ukitaka kulifaidi hilo gari nenda nalo safari ndefu, mathalani DSM - Mbeya ama DSM - Mwanza
Gari Lina speed meter ya 220 ama 240 kama sijakosea.
Kwahiyo ukilipiga full tank halafu utoke DSM saa 12 Jioni hivi kuitafuta Morogoro itakuwa ni mwendo wa saa 1:30 tu 🙌
Huna haja ya kuendesha hiyo spidi ya 200km/Hr, wewe endesha speed ya kawaida tu ya 120km/Hr hadi 150km/hrkwahiyo kama speed yake 200km basi na ww ndo mwendo wa 200km/h hamna 60 wala 80km alafu na hio barabara ya kwenda km 200 nayo umeinunua ww.!
Labda humo barabarani uwe mwenyewe tuNiliendesha Volvo Siku moja hapa DSM, nilichogundua ukitaka kulifaidi hilo gari nenda nalo safari ndefu, mathalani DSM - Mbeya ama DSM - Mwanza
Gari Lina speed meter ya 220 ama 240 kama sijakosea.
Kwahiyo ukilipiga full tank halafu utoke DSM saa 12 Jioni hivi kuitafuta Morogoro itakuwa ni mwendo wa saa 1:30 tu 🙌
Na foleni za dar-moro hutoboi muda huoNiliendesha Volvo Siku moja hapa DSM, nilichogundua ukitaka kulifaidi hilo gari nenda nalo safari ndefu, mathalani DSM - Mbeya ama DSM - Mwanza
Gari Lina speed meter ya 220 ama 240 kama sijakosea.
Kwahiyo ukilipiga full tank halafu utoke DSM saa 12 Jioni hivi kuitafuta Morogoro itakuwa ni mwendo wa saa 1:30 tu 🙌
Million Mia mbili hamsini bongo unaweza kufungua kiwanda kikubwa kiasi chakeMillion 230 bei yake kwa toleo la mwaka 2025 yametoka tarehe 1 September yaani juzi tu
Kama una uwezo wa kutoa hizo basi I'm sure hata ushuru hautakubabaisha tena kwa jeuri unalipakia kwenye Ndege
Ni gharama ya nyumba 4 za kisasa au ni gharama ya kutengeneza kiwanda cha uzalishaji wa vinywaji..Million Mia mbali hamsini bongo unaweza kugungua kiwanda kikubwa kiasi chake
🥺Million 230 bei yake kwa toleo la mwaka 2025 yametoka tarehe 1 September yaani juzi tu
Kama una uwezo wa kutoa hizo basi I'm sure hata ushuru hautakubabaisha tena kwa jeuri unalipakia kwenye Ndege
Dar-moro usiku kunakuwa na jam sana sababu gari kibao wanaondoka usiku kukwepa jam za mchana ukivuka moro sawNiliendesha Volvo Siku moja hapa DSM, nilichogundua ukitaka kulifaidi hilo gari nenda nalo safari ndefu, mathalani DSM - Mbeya ama DSM - Mwanza
Gari Lina speed meter ya 220 ama 240 kama sijakosea.
Kwahiyo ukilipiga full tank halafu utoke DSM saa 12 Jioni hivi kuitafuta Morogoro itakuwa ni mwendo wa saa 1:30 tu 🙌
150km/hr? Unakimbilia nini huko mkuu? Kama una haraka kiasi hicho si bora upande ndege?Nyakati za Usiku barabara nyingi zinakuwa na traffic chache, nimekuwa mdau wa kusafiri sana usiku Kwa kukwepa Tochi za hao ndugu zetu...
Kama una mwendo wa 150km/Hr na hilo Volvo lako, Kufika Morogoro ni kugusa tu kutokea DSM
Sasa wewe ulifikisha speed ngapi .Mimi nimefikisha speed yangu 240 Nissan Maxima ambayo ilikuwa na 260.Niliendesha Volvo Siku moja hapa DSM, nilichogundua ukitaka kulifaidi hilo gari nenda nalo safari ndefu, mathalani DSM - Mbeya ama DSM - Mwanza
Gari Lina speed meter ya 220 ama 240 kama sijakosea.
Kwahiyo ukilipiga full tank halafu utoke DSM saa 12 Jioni hivi kuitafuta Morogoro itakuwa ni mwendo wa saa 1:30 tu 🙌
Wengine mnautolea wapi huo ujasiri?Sasa wewe ulifikisha speed ngapi .Mimi nimefikisha speed yangu 240 Nissan Maxima ambayo ilikuwa na 260.
Bro huo ni ujana tu una ghururi by the way haikuwa bongo ni ughibuni bongo hakuna hizo barabara za kwenda hiyo speed 120 to 140 ni speed ya kawaida kwa hapa nilipo speed nyengine ni 180 DXb to Muscut nimendesha gari Citroen.Wengine mnautolea wapi huo ujasiri?
Niliendesha Volvo Siku moja hapa DSM, nilichogundua ukitaka kulifaidi hilo gari nenda nalo safari ndefu, mathalani DSM - Mbeya ama DSM - Mwanza
Gari Lina speed meter ya 220 ama 240 kama sijakosea.
Kwahiyo ukilipiga full tank halafu utoke DSM saa 12 Jioni hivi kuitafuta Morogoro itakuwa ni mwendo wa saa 1:30 tu 🙌