Serikali punguzeni customs vijana wanunue chuma kama hiki

Serikali punguzeni customs vijana wanunue chuma kama hiki

Niliendesha Volvo Siku moja hapa DSM, nilichogundua ukitaka kulifaidi hilo gari nenda nalo safari ndefu, mathalani DSM - Mbeya ama DSM - Mwanza

Gari Lina speed meter ya 220 ama 240 kama sijakosea.

Kwahiyo ukilipiga full tank halafu utoke DSM saa 12 Jioni hivi kuitafuta Morogoro itakuwa ni mwendo wa saa 1:30 tu 🙌
kwahiyo kama speed yake 200km basi na ww ndo mwendo wa 200km/h hamna 60 wala 80km alafu na hio barabara ya kwenda km 200 nayo umeinunua ww.!
 
Niliendesha Volvo Siku moja hapa DSM, nilichogundua ukitaka kulifaidi hilo gari nenda nalo safari ndefu, mathalani DSM - Mbeya ama DSM - Mwanza

Gari Lina speed meter ya 220 ama 240 kama sijakosea.

Kwahiyo ukilipiga full tank halafu utoke DSM saa 12 Jioni hivi kuitafuta Morogoro itakuwa ni mwendo wa saa 1:30 tu 🙌
Labda humo barabarani uwe mwenyewe tu
 
Niliendesha Volvo Siku moja hapa DSM, nilichogundua ukitaka kulifaidi hilo gari nenda nalo safari ndefu, mathalani DSM - Mbeya ama DSM - Mwanza

Gari Lina speed meter ya 220 ama 240 kama sijakosea.

Kwahiyo ukilipiga full tank halafu utoke DSM saa 12 Jioni hivi kuitafuta Morogoro itakuwa ni mwendo wa saa 1:30 tu 🙌
Na foleni za dar-moro hutoboi muda huo
 
Dar-molm
Niliendesha Volvo Siku moja hapa DSM, nilichogundua ukitaka kulifaidi hilo gari nenda nalo safari ndefu, mathalani DSM - Mbeya ama DSM - Mwanza

Gari Lina speed meter ya 220 ama 240 kama sijakosea.

Kwahiyo ukilipiga full tank halafu utoke DSM saa 12 Jioni hivi kuitafuta Morogoro itakuwa ni mwendo wa saa 1:30 tu 🙌
Dar-moro usiku kunakuwa na jam sana sababu gari kibao wanaondoka usiku kukwepa jam za mchana ukivuka moro saw
 
Nyakati za Usiku barabara nyingi zinakuwa na traffic chache, nimekuwa mdau wa kusafiri sana usiku Kwa kukwepa Tochi za hao ndugu zetu...

Kama una mwendo wa 150km/Hr na hilo Volvo lako, Kufika Morogoro ni kugusa tu kutokea DSM
150km/hr? Unakimbilia nini huko mkuu? Kama una haraka kiasi hicho si bora upande ndege?
 
Niliendesha Volvo Siku moja hapa DSM, nilichogundua ukitaka kulifaidi hilo gari nenda nalo safari ndefu, mathalani DSM - Mbeya ama DSM - Mwanza

Gari Lina speed meter ya 220 ama 240 kama sijakosea.

Kwahiyo ukilipiga full tank halafu utoke DSM saa 12 Jioni hivi kuitafuta Morogoro itakuwa ni mwendo wa saa 1:30 tu 🙌
Sasa wewe ulifikisha speed ngapi .Mimi nimefikisha speed yangu 240 Nissan Maxima ambayo ilikuwa na 260.
 
Niliendesha Volvo Siku moja hapa DSM, nilichogundua ukitaka kulifaidi hilo gari nenda nalo safari ndefu, mathalani DSM - Mbeya ama DSM - Mwanza

Gari Lina speed meter ya 220 ama 240 kama sijakosea.

Kwahiyo ukilipiga full tank halafu utoke DSM saa 12 Jioni hivi kuitafuta Morogoro itakuwa ni mwendo wa saa 1:30 tu 🙌
PHOTO-2023-07-26-12-21-49 (1).jpg


260km/hr
 
Back
Top Bottom