kalisheshe
JF-Expert Member
- Mar 19, 2020
- 2,064
- 4,056
Hicho chuma kina mchango gani kaburini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii inaitwa weka mguu niweke jiweAnd be careful when you are right and the government is wrong
By Voltaire
Unaweza kuta gari mpaka siku linauzwa scrapper halijawahi tembea hata 160km/HR linakufa na utamu wakeHuna haja ya kuendesha hiyo spidi ya 200km/Hr, wewe endesha speed ya kawaida tu ya 120km/Hr hadi 150km/hr
Bro,unafikiri hata ukiambiwa usilipie ushuru hilo gari wangapi wataweza kununua? Acheni kusingizia ushuru hata bila ushuru SUV mpya ya maana wengi hawawezi kununua. SUV nyingi tunazozipenda zenye majina bei bila ushuru inaanzia $50,000. Kama una hela hii huwezi kulialia ushuru kwasababu zipo gari za maana kwa hela hio zinafika uani kwako brand new. Tembelea CFAO,CMC,NISSAN,FK Motors etc
Nilimwona uncle anasinzia kwenye sterling Basi Mimi muda WOTE ni kumpigisha story..mbali ya tochi, usiku bado ni salama zaidi kwa safari ndefu, ili mradi usifikwe na kusinzia
Usipokaa sawa utaulizwa ulikozitoa hizo pesa,..majibu wasipoyapenda ndo utajua hujui,..🥲Utakutana na kodi ya kujengea nyumba ya vyumba vinne na sebule
Hahaha...............ndiyo maana Mimi kwenye kamota Kaa kangu mara moja moja naenda 160km/hr japo maximum speed ni 180km/hrUnaweza kuta gari mpaka siku linauzwa scrapper halijawahi tembea hata 160km/HR linakufa na utamu wake
Of course barabara zetu ni changamoto, Mimi nikiwa kipande cha Igawa hadi Mafinga kama ni usiku nafika japo 140km/hr maana kiko vizuriMimi binafsi sipendi ma speed kwenye hizi barabara zetu za third world countries.
Nilisafir kwa premio X kutoka dar mpaka Tabora na kurud Ila wasiwasi muda WOTE njiani usiku mnapishana na malori mengi kweli kweli
Sahihi kabisa, maana magari huwa ni machache nyakati hizombali ya tochi, usiku bado ni salama zaidi kwa safari ndefu, ili mradi usifikwe na kusinzia
Hii gari ipo vizuri sana, ngoja nijichange change niichukue, japo nitakuwa naitumia kwenye safari ndefu tu maana speed 260km/hr sio mchezo
Chuma ya kwendaa🤣Waondoe ushuru hii au waondoe kabisaView attachment 3085734View attachment 3085734View attachment 3085734
Huzimalizi mjini hizo labda uende Mwanza au Mbeya
Hizo USD ni almost 150M za madafu mkuu wengi ubavu unaishiaga 75-80M kwa wapambanaji😂unafikiri hata ukiambiwa usilipie ushuru hilo gari wangapi wataweza kununua? Acheni kusingizia ushuru hata bila ushuru SUV mpya ya maana wengi hawawezi kununua. SUV nyingi tunazozipenda zenye majina bei bila ushuru inaanzia $50,000. Kama una hela hii huwezi kulialia ushuru kwasababu zipo gari za maana kwa hela hio zinafika uani kwako brand new. Tembelea CFAO,CMC,NISSAN,FK Motors etc
Kwa DSM nilishindwa, ila kwa Dodoma - Iringa niliishia 160km/hr tuSasa wewe ulifikisha speed ngapi .Mimi nimefikisha speed yangu 240 Nissan Maxima ambayo ilikuwa na 260.
🤣🤣🤣🤣🤣 Mkuu taratibu basi usitingishe antennaVijana changamkeni nchi imefunguka. Gari kali mnazoziona mjini watu wamejiongeza. Gari ya 2017/18/19 Chassis number (kwenye kadi) inasoma gari ya 2009. Mtabaki kushangaa vyuma vinajaa tu mjini.
mbali ya tochi, usiku bado ni salama zaidi kwa safari ndefu, ili mradi usifikwe na kusinzia