ZEE LA UONGO
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,314
- 3,944
😁😁😁.. SVR vita bado mbichi.. labda Mercedez E400L.. hii gari ya kizalendoKale katakurestisha in pisi🤣 kanafyatuka kama AK47
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁😁.. SVR vita bado mbichi.. labda Mercedez E400L.. hii gari ya kizalendoKale katakurestisha in pisi🤣 kanafyatuka kama AK47
IST ili ufike 180 unahitaji umbali mrefu sana, labda viwanja 30 vya mpira wakati kuna gari viwanja 10 tu ushafuta sahani 😂gari ambayo sijawa maliza sahani ya mzungu tu.. nayo nilibakiza 20kmh. nifute sahani.. niligusa 240 hizi za japan IST nilishindwa fika 180 maana haifiki
🤣🤣🤣🤣🤣 E400L lile old school au? Yana balaa sana😁😁😁.. SVR vita bado mbichi.. labda Mercedez E400L.. hii gari ya kizalendo
😂😂😂🙌Mkuu hapa sijakuelewa kanafyatukaje?Kale katakurestisha in pisi🤣 kanafyatuka kama AK47
E400L kama una 70 mill, unalivuta.. mie nilijua yana bei sana.. hadi nilipopita kwa madalali kadhaa nikakuta mmoja anauza 69 na mwingine 73 million, tena la mwaka 2015 kama sikosei🤣🤣🤣🤣🤣 E400L lile old school au? Yana balaa sana
Chakunisaidia apo naomba mwanya wakupata izo pesaTafuteni hela. Vitu vizuri vibahitaji gharama.
Eeeh hii angalau imeenda,sio kama LC300 yaani mil500 inakanyagwa kwenye lami,inapishana na maguta kariakooMillion 230 bei yake kwa toleo la mwaka 2025 yametoka tarehe 1 September yaani juzi tu
Kama una uwezo wa kutoa hizo basi I'm sure hata ushuru hautakubabaisha tena kwa jeuri unalipakia kwenye Ndege
Yaani wanakamua hela zetuMpaka unaliendesha bongo uwe na 400,000 m
Oya hicho kidude kina Turbocharger, Supercharger na Direct Shift Gearbox.😂😂😂🙌Mkuu hapa sijakuelewa kanafyatukaje?
Sijui ni uoga?😃Ni kweli Mkuu, spidi kubwa sio nzuri
Kwasasa walau 120 ama nimezidi sana 130km/hr
Mwendokasi sio mzuri japo Kuna barabara huwa zinashawishi mno mfano hicho kipande cha Igawa hadi MakambakoSijui ni uoga?😃
Kwenda mwendo wa zaidi ya 120... mimi hapana! Acha nionekane mwoga lakini zaidi ya 120 kwangu ni nooo🥺
Ok!Bro huo ni ujana tu una ghururi by the way haikuwa bongo ni ughibuni bongo hakuna hizo barabara za kwenda hiyo speed 120 to 140 ni speed ya kawaida kwa hapa nilipo speed nyengine ni 180 DXb to Muscut nimendesha gari Citroen.
Serikali inajua kujikusanyia mihela kirahisi!Mpaka unaliendesha bongo uwe na 400,000 m
Karibu mkuu zipo za kutosha jana nimeliona sehemu hiyo ni gari aisee ilibidi nililipige picha..Ngoja tumtafute Isanga family.. atuangalizie VW Scirocco 2.0 TSI ya kuanzia 2015.. tutoboke mifukoni naona kwenye dash kama 320 kwa 300
tuombe uzima, kabla mwaka haujaisha tutafanya jambo aiseeKaribu mkuu zipo za kutosha jana nimeliona sehemu hiyo ni gari aisee ilibidi nililipige picha..View attachment 3086192View attachment 3086193
Na iwe hivyo!tuombe uzima, kabla mwaka haujaisha tutafanya jambo aisee
Ngojea similiki gari ila hii nitajitahidi iwe gari yangu ya kwanza inaonekana hii ukipata road haina Jam ni kama umepanda SGR😁😁😁😁.Oya hicho kidude kina Turbocharger, Supercharger na Direct Shift Gearbox.
Hio combination ni balaa yani inaanza supercharger kupush mzigo ukifika 3000 rpm plus Turbocharger inapokea. Plus direct shift inafanya smooth shifts between gears sababu kuna dual clutch operation without power loss between shifts.