Mkuu ni ninajichanga so poa.Sasa si uanze hata kumiliki vitz mkuu..kama mpka sasa unamiliki boda tu
Kheri ninunue pikipiki ya Kawasaki Ninja kuliko kununua gari ist.
IST hapana mkuu ile ni chombo cha usafiri sio gari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ni ninajichanga so poa.Sasa si uanze hata kumiliki vitz mkuu..kama mpka sasa unamiliki boda tu
Kawasaki ninja kwa sh ngapi mkuu unavolinganisha bei na ist..?Mkuu ni ninajichanga so poa.
Kheri ninunue pikipiki ya Kawasaki Ninja kuliko kununua gari ist.
IST hapana mkuu ile ni chombo cha usafiri sio gari.
Nakuelewa Mkuu, ndiyo maana nami nimetolea mfano wa baadhi ya barabara ambazo walau zina nafuu ambapo unaweza kuendesha speed zaidi ya 100km/hrKwa miundombinu (barabara) gani? Hacha kujitoa ufaham basi?. Pengine kwa manufaa ya wengine, barabara zetu hazi-suppport speed zaidi ya 100km/h
Haujawahi kusafiri Usiku Mkuu?Na foleni hii ya barabara ya Dar Moro?! Au zile six ways zilishajengwa?!
Haujawahi kusafiri Usiku Mkuu?
Jaribu kutoka DSM saa 3 usiku then Anza kuitafuta Morogoro, ukishafika KimaraMwisho pale ni mwendo wa dakika 15 hivi ama 20 unakuwa zako Kibaha
Baada ya hapo unaenda kukutana na Maaskari hapo RuvuJuu ukitoka hapo ni hadi Mizani ya Mikese Morogoro
Ni sahihi MkuuKwa usiku barabara hiyo ni ubora wa taa za gari yako tu na pulling haha!!
Barabara ya hatari sana hiyo hata usiku ni mwendo wa malori tena kwa sasa na mabus yakutosha tu.
Acha kutufunga kamba. Full tank kwenye EVNiliendesha Volvo Siku moja hapa DSM, nilichogundua ukitaka kulifaidi hilo gari nenda nalo safari ndefu, mathalani DSM - Mbeya ama DSM - Mwanza
Gari Lina speed meter ya 220 ama 240 kama sijakosea.
Kwahiyo ukilipiga full tank halafu utoke DSM saa 12 Jioni hivi kuitafuta Morogoro itakuwa ni mwendo wa saa 1:30 tu [emoji119]
Mkuu gari niliyoendesha haikuwa hiyo Volvo EVAcha kutufunga kamba. Full tank kwenye EV
Volvo EX90 ni gari la kifahari la SUV kutoka kwa mtengenezaji wa magari wa Volvo, lililoanzishwa mnamo mwaka wa 2023. Gari hili lina sifa kadhaa muhimu ambazo zinaeleza ubora wake:
1. Umeme: EX90 ni gari la umeme lenye uwezo wa kutoa kuendesha bila hewa ya moto. Linatumia teknolojia ya umeme kwa ajili ya kutoa nguvu na kupunguza athari za mazingira.
2. Muonekano na Kubuni: Lina muonekano wa kisasa na elegant, lenye mistari laini na miundo ya kisasa. Inajivunia muundo wa ndani wa hali ya juu, ukiwa na vifaa vya hali ya juu na nafasi ya kutosha kwa abiria na mizigo.
3. Utendaji na Mafanikio: EX90 ina uwezo mkubwa wa kuendesha kwa kasi, na mfumo wa betri wa kisasa unaozaa umbali mrefu kwa chaji moja. Hii inafanya kuwa chaguo bora kwa safari ndefu.
4. Teknolojia na Usalama: Volvo EX90 inajivunia teknolojia ya hali ya juu, ikiwa na mfumo wa kujiendesha kwa kiwango cha juu, teknolojia ya kusaidia dereva, na vifaa vingine vya usalama. Hii inahakikisha usalama wa abiria na kuongezea uzoefu wa kuendesha gari.
5. Mazoezi ya Ndani: Ndani ya gari, utapata nafasi ya kifahari na vifaa vya hali ya juu kama vile viti vya ngozi, mfumo wa sauti wa premium, na skrini za kugusa kwa kudhibiti vipengele mbalimbali vya gari.
Kwa ujumla, Volvo EX90 ni gari lenye kiwango cha juu cha teknolojia, usalama, na faraja, lililoundwa kutoa uzoefu mzuri wa kuendesha gari huku likichangia katika kupunguza athari za mazingira.
Credit AI
Kuna ninja h1,h2 na h2r.Kawasaki ninja kwa sh ngapi mkuu unavolinganisha bei na ist..?
Mwenzio kaelezea gari ya volvo kiujumla wewe unadhani kasemea hiyo EV car.Acha kutufunga kamba. Full tank kwenye EV
Volvo EX90 ni gari la kifahari la SUV kutoka kwa mtengenezaji wa magari wa Volvo, lililoanzishwa mnamo mwaka wa 2023. Gari hili lina sifa kadhaa muhimu ambazo zinaeleza ubora wake:
1. Umeme: EX90 ni gari la umeme lenye uwezo wa kutoa kuendesha bila hewa ya moto. Linatumia teknolojia ya umeme kwa ajili ya kutoa nguvu na kupunguza athari za mazingira.
2. Muonekano na Kubuni: Lina muonekano wa kisasa na elegant, lenye mistari laini na miundo ya kisasa. Inajivunia muundo wa ndani wa hali ya juu, ukiwa na vifaa vya hali ya juu na nafasi ya kutosha kwa abiria na mizigo.
3. Utendaji na Mafanikio: EX90 ina uwezo mkubwa wa kuendesha kwa kasi, na mfumo wa betri wa kisasa unaozaa umbali mrefu kwa chaji moja. Hii inafanya kuwa chaguo bora kwa safari ndefu.
4. Teknolojia na Usalama: Volvo EX90 inajivunia teknolojia ya hali ya juu, ikiwa na mfumo wa kujiendesha kwa kiwango cha juu, teknolojia ya kusaidia dereva, na vifaa vingine vya usalama. Hii inahakikisha usalama wa abiria na kuongezea uzoefu wa kuendesha gari.
5. Mazoezi ya Ndani: Ndani ya gari, utapata nafasi ya kifahari na vifaa vya hali ya juu kama vile viti vya ngozi, mfumo wa sauti wa premium, na skrini za kugusa kwa kudhibiti vipengele mbalimbali vya gari.
Kwa ujumla, Volvo EX90 ni gari lenye kiwango cha juu cha teknolojia, usalama, na faraja, lililoundwa kutoa uzoefu mzuri wa kuendesha gari huku likichangia katika kupunguza athari za mazingira.
Credit AI
Haujawa specific kupata pesa kivipi.Chakunisaidia apo naomba mwanya wakupata izo pesa
Connection broHaujawa specific kupata pesa kivipi.
Niliwahi kukitest maeneo ya Mlimani city kule kuna mwamba alikinunua nikisema ni bunduki we elewa tu kaka.🤣Ngojea similiki gari ila hii nitajitahidi iwe gari yangu ya kwanza inaonekana hii ukipata road haina Jam ni kama umepanda SGR😁😁😁😁.
Aiseee🤣🤣🤣🤣🤣basi kitaturestisha in peace.Niliwahi kukitest maeneo ya Mlimani city kule kuna mwamba alikinunua nikisema ni bunduki we elewa tu kaka.🤣
Hii ni chuma gani mzee ni familia yetu ya Prius au AquaHata huko mikoani mwisho kabisa nimewahi kugusa 200 tu.
Mjini nnakua hapa
View attachment 3086142
Tena inabidi nimtafute RRONDO aniangalizie hizo errors, mfumo wa umeme haufanyi kazi, ni full mwarabu no EV mode.
Hichi kidude hata zile overtakes za hapo kwa hapo unaikata semi af umerudi kushoto kinafaa sana.Aiseee🤣🤣🤣🤣🤣basi kitaturestisha in peace.
Aqua ndugu yangu. Naipitia baadae garage imeshakaa sawa. Mfumo wa EV ulizingua ndio chanzo Cha Yale matata mataaHii ni chuma gani mzee ni familia yetu ya Prius au Aqua
Hiyo na GTR ipi kali?Hichi kidude hata zile overtakes za hapo kwa hapo unaikata semi af umerudi kushoto kinafaa sana.
Aah hiko ndio kile mafuta ya laki misele mwezi mzima 🤣Aqua ndugu yangu. Naipitia baadae garage imeshakaa sawa. Mfumo wa EV ulizingua ndio chanzo Cha Yale matata mataa