Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguzeni tariffs au tax ingekua nzuri kama kuna ulaza wa kutumia neno la kingereza na sio ""punguzeni customs"
Aah hiko ndio kile mafuta ya laki misele mwezi mzima 🤣
Hakuna gharama yoyote kodi ndio kubwa.Tafuteni hela. Vitu vizuri vinahitaji gharama.
The system is set up to fail us. Mamtoni hununui gari kwa cash. Unaweza chukua ndinga ya maana Audi full EV…ukalipa for four to five years.Hakuna gharama yoyote kodi ndio kubwa.
Jiulize mbona Wabongo wakiwa mamtoni wanakokota ndinga za maana? Ila kuileta Tanzania ndio kipengele.
Ulimaanisha GTi na Scirrocco. In terms of speed scirroco ni moto mkali inafunguka 0-100kph ndani ya 5.5seconds wakati GTI ni 6.5 secondsHiyo na GTR ipi kali?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hizi hybrids zinaokoa sana. Nadhani sikuhizi uoga umepungua kwa watu wengiHapo hapo kiongozi. Ukiweka mwarabu wa 50k. Kwa trip za mjini unarelax kidogo. Kwanza 100k ni full tank.
Bongo hata wakiweka mfumo wa Lease agreement bado ni maumivu kama sio fisadi.The system is set up to fail us. Mamtoni hununui gari kwa cash. Unaweza chukua ndinga ya maana Audi full EV…ukalipa for four to five years.
Bongo kila kitu cash. Nyumba ya maana kwa middle class 300m+; gari ya maana hivo hivo.
Bila kuiba huwezi kutoboa. Hata serikali inajua. Ndo maana si rahisi mapendekezo ya CAG kufanyiwa kazi.
Nissan GTR mkuu sio golf GTi.Ulimaanisha GTi na Scirrocco. In terms of speed scirroco ni moto mkali inafunguka 0-100kph ndani ya 5.5seconds wakati GTI ni 6.5 seconds
GTR ni gari kubwa sana mkuu kwa Scirroco. Hio Nissan iko league kubwa sana inapambana na Porsche na Lambos 😂Nissan GTR mkuu sio golf GTi.
Nissan GTR na Scirocco ipi ni speedo??
Aaaaaah acha bas mkuu!?GTR ni gari kubwa sana mkuu kwa Scirroco. Hio Nissan iko league kubwa sana inapambana na Porsche na Lambos 😂
Hio gari sio poa🤣 ni sleeper supercarAaaaaah acha bas mkuu!?
Ndio maana zina bei kubwa kumbe!?
Maana toleo la 2023 nilitizama bei inagonga $270,000.
Wacha tujitafute kwa spidi zote.Hio gari sio poa🤣 ni sleeper supercar
HaahahhBongo hata wakiweka mfumo wa Lease agreement bado ni maumivu kama sio fisadi.
Hivi utawezaje kulipa gari ya 350M ndani ya miaka 5 kwa makato ya laki kila mwezi? Ukiangalia Salary slip za 90% ya waajiriwa hazifiki 2M kwa mwezi😂!
Mafundi wa bongo tatizo wanajidai wajuaji snaIla hadi hapa nilipo nikitaka ndinga nyingine, ni mwendo wa Volvo tu. Hii niliyonayo itanipeleka peleka miaka si chini ya mitano mbele, ndio nna mwaka nayo mmoja. Shida ni mafundi walio serious. Nyingi wanaziua gearbox.
Hawako serious kabisa, kingine wengi ni wauza vifaa lakini sio mafundi wazuri. Wanaokota vijana wafanye kazi.Mafundi wa bongo tatizo wanajidai wajuaji sna
Watu sio kama wanapenda ila bongo nyoso balaa. Wenzetu USA average person anaweza kumake mapato ya $100,000 au zaidi per annum. Kwao gari nyingi ni $45,000-$85000 with Taxes.Haahahh
Tuendelee kunuunu tu crown 2006
Mabasi mengi siku hizi wanasafiri usiku...bila Shaka unaipinga hi idea[emoji3][emoji3]Usiku si Salama kusafiri.. kuna magari mengi mabovu, pia madereva walevi, magari yaliyotelekezwa, maguta, wanyama wanaotembea Usiku, majiwe na vigingi kuviona si rahisi, walevi wanaovuka barabara bila tahadhari.. na mambo mengine mengi.
Pia ukipata emergency ni ngumu kupata msaada wa haraka.. na ni hatari kwa ww na mali zako.
Ni heri usafiri Alfajir ya mapema zaidi na si Usiku sana.
Kodi ni gharama kama gharama zingine. Tena gharama ya kwanza katika jamii iliyostaarabika.Hakuna gharama yoyote kodi ndio kubwa.
Jiulize mbona Wabongo wakiwa mamtoni wanakokota ndinga za maana? Ila kuileta Tanzania ndio kipengele.
Connection inatengenezwa kwa uaminifu mkuu. Bila uaminifu utatafuta connection bila mafanikio yeyote. Ukiaminikia utaipata tuConnection bro