Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnamsingizia tu mama hajui kama twiga wanaanza kupanda ndege mama anaupiga mwingiMama anaupiga mwingi SNA mwisho wa siku Sasa na nchi itakuwa ruksa kuuzwa
Mnamsingizia tu mama hajui kama twiga wanaanza kupanda ndege mama anaupiga mwingiMama anaupiga mwingi SNA mwisho wa siku Sasa na nchi itakuwa ruksa kuuzwa
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Mama anaupiga mwingi SNA mwisho wa siku Sasa na nchi itakuwa ruksa kuuzwa
Serikali kupitia wizara ya mali asili na utalii kuanzia sasa imeruhusu biashara ya kusafirisha wanyama pori hai nje nchi iliyokuwa imepigwa marufuku tangu mwaka 2016.
View attachment 2250504
[emoji38][emoji38][emoji38]Nimemkumbuka Dr Kigwangalla
Wanyama wataishia nje woteKinana Kila siku yupo na Rais,hayo ndio matokeo
Ile trip ya maza uarabuni haya ndio matokeo ama!!! naomba nisahihishwa kama nitakuwa nimekoseaBasi Dubai itakuwa Serengeti