Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chama cha ccm kimamililiwa na waarabu na wahindi wanaokifadhili pesa za kodi zetu ni maliyao pia , ndiyo maana mm napinga wafadhili kwenye vyama vya siasaAiseee duuh..!! [emoji24][emoji24][emoji24]
Kama itauzwa kila mtu apewe chake itakuwa vyama. Maana kwa hali ilivyo anafaidi mama na wanaccm wwnzake tuMama anaupiga mwingi SNA mwisho wa siku Sasa na nchi itakuwa ruksa kuuzwa
Acha ujinga, akitokea mtu akafanya hujuma kuibawanyama kwenye hifadhi utawatofautisha vipi???.Hawauzwi wanyama waliopo kwenye hifadhi za taifa au mamlaka ya hifadhi (Ngorongoro) ila wanauzwa wanyama wa kwenye vitalu.
Tunamsapoti mama kwa mambo mengi ila hili hapana,Biashara zifanywe kila nyanja. Ninyi mnaoshangaa mnasumbuliwa na ushamba Kama wa mwendazake
Watakuja tu si tumeshacheza royo tua na pira.Sasa huko ulaya wakishawaona huko, wazungu watakuja kufanya nini tena hapa kwetu[emoji848]?
Unateuliwa kuwa rais bara ukitokea visiwani kuja kumiliki na kusimamia hifadhi zote za Taifa na madini yote wakati visiwani ni njaa tupu. Ni nini hatma ya Bara katika uongoxi huu?Acha ujinga, akitokea mtu akafanya hujuma kuibawanyama kwenye hifadhi utawatofautisha vipi???.
Sijui Royal Tour ilikuwa na kazi gani!! It was wastage of our money kama wanyama pori wanauzwa nje wakawe vivutio huko!!Sasa huko ulaya wakishawaona huko, wazungu watakuja kufanya nini tena hapa kwetu[emoji848]?
Unaijue effect yake kwenye sekta ya utalii nini? Royal Tour ilikuwa basi ni kupaka upepo rangi tu!!Hamna tatizo kama wapo wengi sana
We jamaa umekufa umeoza kwa mama samia[emoji23]Cha msingi pesa zije
Naona unataka kumtekenya makalio Kinana weweKwa kweli hapana hebu warudie kufanya haya maamuzi big nooooooo!!!
Kwa hiyomzungu akitaka kuona twiga sasa ataenda uarabuni kuwaona kweli,
Please noooooooo!!! Wanaharibu sasa!!
#Our Twiga, Our heritage!!!
ni kweli,...Hamna tatizo kama wapo wengi sana
Respect.Naamimi kabisa nchi hii mapinduzi yatakuja kuanzia hapa JF. Maxence Melo Max uendelee kutiwa nguvu bro. Sana sana bro.
Hii nchi haiji kuendelea bila wewe. Ni hiyari yetu tu kuamua.
Mimi nilishamua. Even with a thousand cuts I'll die for my mother country.
Respect.