Serikali: Sasa ni ruksa kusafirisha wanyama nje ya nchi

Duh, namkubali mama kwa mambo mengi ila hili lakuuza wanyama wetu nje hapana kwa kweli, huu ni urithi wetu tunatakiwa kuulinda kwa hali na mali,!!

Wazungu wakitaka kuona wanyama wa asili fulani ijulikane wapo Tanzania na sii vinginevyo!!

Hii sijaelewa kwa nn wameamua kufanya hivyo, ila siyo sahihi hata kidogo!! They should re think about it again!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…