Serikali shirikisheni kampuni binafsi za ukaguzi za "Big Four" kudhibiti ukwepaji kodi

Serikali shirikisheni kampuni binafsi za ukaguzi za "Big Four" kudhibiti ukwepaji kodi

Mnachotakiwa kufanya ni kila mwaka kuwapa kandarasi mmojawapo Big four wa audit ambao ni KPMG, E&Y, PWC au Delloite wafanye ukaguzi wa nje "External Audit" kwa wafanyabiashara wakubwa 1000 na wa wakati 1000 ambao mahesabu yao ya kodi tayari yameshapitishwa na TRA.

Hao wafanyabiashara wakubwa na wa kati wanakuwa wanachaguliwa kupitia bahati nasibu "Randomly" kila mwaka na kila mwaka mnakuwa mnabadilisha kampuni ya nje ya ukaguzi kati ya hizo big four.

Service fee ya big four italipwa na nani ? tujue kwanza kama italipwa na serikali ama wafanyabiashara wenyewe wanaokaguliwa ?
 
Service fee ya big four italipwa na nani ? tujue kwanza kama italipwa na serikali ama wafanyabiashara wenyewe wanaokaguliwa ?
Italipwa na serikali
 
Sio rahisi kuwapa hongo big four, hadhi yao ni ya kimataifa, hawawezi kukubali kufanya madudu kirahisi.

Big four ni franchise business tu kama ilivyo KFC,Coca Cola, Pepsi, etc yaani ni watu tu kama mimi na wewe wananunua jina tu la PWC na kulilipia fees za kila mwaka. PWC Tanzania haina uhusiano wowote na PWC USA each of which is a separate legal entity

Auditor wa PWC Tanzania ni wale wale wa Tanzania wapenda rushwa kama waliopo kampuni zingine. usitegemee kazi hiyo itafanywa na ma auditor wazungu wa PWC za majuu
 
Big four ni franchise business tu kama ilivyo KFC, yaani wananunua jina na kulilipia fees. PWC Tanzania haina uhusiano wowote na PWC USA

Auditor wa PWC ni wale wale wa Tanzania wapenda rushwa kama waliopo kampuni zingine
KFC ya Tanzania inatakiwa kufuata standards za KFC ya USA ili iendelee kuwa kwenye franchise, vivyo hivyo kwa hizo big four.
 
KFC ya Tanzania inatakiwa kufuata standards za KFC ya USA ili iendelee kuwa kwenye franchise, vivyo hivyo kwa hizo big four.

mimi nimewai fanya kazi big four EY kama mwajiri wangu wa kwanza enzi natoka chuo Mzumbe. najua ninachokiongea
 
mimi nimewai fanya kazi big four EY kama mwajiri wangu wa kwanza enzi natoka chuo Mzumbe. najua ninachokiongea
Unafahamu kwamba EY duniani kote wanakuwa na standards sawa?
 
Unafahamu kwamba EY duniani kote wanakuwa na standards sawa?

hapana standards hazifanani.

standards zinawekwa kutokana na sheria na taratibu za nchi husika ambayo kampuni imesajiliwa . hizi kampuni zinatumia jina moja kama Brand tu ila uhalisia each of which is a separate legal entity.

Mfano USA wana utaratibu wao ambao haufanani na uingereza. Hivyo haiwezekani EY ya uingereza iwe na taratibu sawa sawa na EY ya California.

Standards zinawekwa kutokana na sheria za nchi husika, mfano ACCA ama CPA ya Tanzania haitambuliki marekani, sasa utawekaje Standards ama utaratibu uwe sawa sawa wa kazi ama wa kuajiri Auditor wa EY Tanzania na EY USA uwe sawa sawa kwa mfano ?
 
hapana standards hazifanani.

standards zinawekwa kutokana na taratibu za nchi husika ambayo kampuni imesajiliwa . hizi kampuni zinatumia jina moja kama Brand tu ila uhalisia each of which is a separate legal entity.

Mfano USA wana utaratibu wao ambao haufanani na uingereza. Hivyo haiwezekani EY ya uingereza iwe na taratibu sawa sawa na EY ya California.

Standards zinawekwa kutokana na sheria za nchi husika, mfano ACCA ama CPA ya Tanzania haitambuliki marekani, sasa utawekaje Standards ama utaratibu uwe sawa sawa wa kazi ama wa kuajiri Auditor wa EY Tanzania na EY USA uwe sawa sawa kwa mfano ?
Sidhani kama kweli wewe umepita EY au unafahamu inavyofanya kazi. Sasa fahamu Coca-Cola unayokunywa Tanzania ndio Coca-Cola ile ile inoyonywewa South Africa na inayonywewa Marekani, kunaweza kuwa na tofauti za ujazo wa chupa lakini ingredients ni zile zile na formula ni ile ile japo ni franchise business.
Nenda kasome kuhusu EY Global Code of Conduct.
 
Sidhani kama kweli wewe umepita EY au unafahamu inavyofanya kazi. Sasa fahamu Coca-Cola unayokunywa Tanzania ndio Coca-Cola ile ile inoyonywewa South Africa na inayonywewa Marekani, kunaweza kuwa na tofauti za ujazo wa chupa lakini ingredients ni zile zile na formula ni ile ile japo ni franchise business.
Nenda kasome kuhusu EY Global Code of Conduct.

mifano yako haifanani Coca Cola ni beverage company yaani ni consumer goods business ( tangible products) huku EY ipo kwenye Consultant industry ambayo ni service business. ( Intangible products)

Cocacola anauza bidhaa ambayo unaishika kwa mikono yako ( tangible product) , EY haudhi bidhaa ambayo unaishika kwa mikono yako , bali EY anakuuzia huduma ( Intangible products)

Unajua kwamba Financial reporting standards huwa hazifanani kila sehemu ?

Nimekupa mfano wa USA wahasibu wao huwa hawafati IFRS sasa inakuwaje EY ya USA wawe na standard operating procedures sawa sawa na EY yetu sisi ya tunaofata IFRS ?
 
Back
Top Bottom