Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,677
- Thread starter
- #81
Jamaa ana theory eti inflation inatokana na demand pull ma cost push pekeake, anashindwa kuelewa inflation nyingi za nchi maskini zipo driven sana na upande wa supply ya vitu kama ulivosema mwanzoJibu hoja vitu vimepanda bei mbona bila mishahara kupanda?