Serikali tatu iko kinyume na natural law of equilibrium

Serikali tatu iko kinyume na natural law of equilibrium

Shayu

Platinum Member
Joined
May 24, 2011
Posts
608
Reaction score
1,655
Kwa wanaodai serikali tatu naomba watambue iko kinyume na natural law of equlibrium hakuna uwezekano wowote serikali hizo kufanya kazi bila muungano kuvunjika. Hakutakuwepo ''balance of power'' Collision itakuwepo kati ya raisi wa Tanganyika NA YULE WA MUUNGANO. Hakutakuwa na harmonization yeyote. Wanaodai serikali tatu either ni wajinga au wana ajenda ya kuvunja muungano wanaogopa kuiweka wazi. Tatizo litakalo zuia balance hii of power ni udogo wa zanzibar, ingekuwa kenya na Tanzania zimeungana Muungano wa serikali tatu ungekuwa possible. Kwahiyo nakubaliana na muungano uliopo kwa asilimia zote kwakuwa unagusa mantiki ya fikra.
 
Nenda Zanzibar ukawaulize kama kwa muundo huu wa serikali mbili kuna usawa? Jibu watalokupatia rudi nalo bila kuingiza itikadi za udini,uchama au utaifa.Ukiona hiyo ni kazi ngumu usifanye conclusion kwani masuala mengine hayahitaji application of scientific of experiment kuujua ukweli wala logical argument but the willingness of the people!
 
Nenda Zanzibar ukawaulize kama kwa muundo huu wa serikali mbili kuna usawa? Jibu watalokupatia rudi nalo bila kuingiza itikadi za udini,uchama au utaifa.Ukiona hiyo ni kazi ngumu usifanye conclusion kwani masuala mengine hayahitaji application of scientific of experiment kuujua ukweli wala logical argument but the willingness of the people!

Waseme hawataki muungano ama sivyo tutaita huu ni unafiki.
 
Kwa wanaodai serikali tatu naomba watambue iko kinyume na natural law of equlibrium hakuna uwezekano wowote serikali hizo kufanya kazi bila muungano kuvunjika. Hakutakuwepo ''balance of power'' Collision itakuwepo kati ya raisi wa Tanganyika NA YULE WA MUUNGANO. Hakutakuwa na harmonization yeyote. Wanaodai serikali tatu either ni wajinga au wana ajenda ya kuvunja muungano wanaogopa kuiweka wazi. Tatizo litakalo zuia balance hii of power ni udogo wa zanzibar, ingekuwa kenya na Tanzania zimeungana Muungano wa serikali tatu ungekuwa possible. Kwahiyo nakubaliana na muungano uliopo kwa asilimia zote kwakuwa unagusa mantiki ya fikra.

mjomba umesema kweli wanaotaka serikali tatu hawana nia njema, ni wabinafsi.
 
Kwa wanaodai serikali tatu naomba watambue iko kinyume na natural law of equlibrium hakuna uwezekano wowote serikali hizo kufanya kazi bila muungano kuvunjika. Hakutakuwepo ''balance of power'' Collision itakuwepo kati ya raisi wa Tanganyika NA YULE WA MUUNGANO. Hakutakuwa na harmonization yeyote. Wanaodai serikali tatu either ni wajinga au wana ajenda ya kuvunja muungano wanaogopa kuiweka wazi. Tatizo litakalo zuia balance hii of power ni udogo wa zanzibar, ingekuwa kenya na Tanzania zimeungana Muungano wa serikali tatu ungekuwa possible. Kwahiyo nakubaliana na muungano uliopo kwa asilimia zote kwakuwa unagusa mantiki ya fikra.
Kwa hiyo huu muungano wa sasa una kwenda sambamba na natural law of equilibrium?
Tatizo unawaza kwa kutumia nyayo. Wazanzibar hawana shida na muungano wao wanataka uhuru kamili wa nchi yao, kukuwa na serikali moja au mbili au tatu hata nne au tano. wao wanachotaka ni kuwa na uhuru kamili wa kujiamulia mambo yao wenyewe full stop. Na sisi wa bara we dont care how many serilali will be there what we need is our Tanganyika huru, tujiamulie mambo yetu wenyewe full stop.
Wewe nani alie kwambia kuwa kwakuwa Wazanzibar wako wachache hawawezi kuwa na serikali yao wenyewe? hivi hujui kuwa kuna nchi zenye wananchi wachache kuliko zanzibar na bado wana serikali zao na kujitawala wenyewe.
 
Waseme hawataki muungano ama sivyo tutaita huu ni unafiki.

Magamba kwa unafiki hamjambo! Uhuru wa kusema mnauminya halafu hapo hapo mnasema "waseme hawataki Muungano"! How? Unajua "Terms of Reference" za Tume ya Katiba juu ya suala la Muungano wewe?

Kipengele kimojawapo cha hizo ToRs ni Muungano "haupaswi kuvunjwa". Na kimsingi Tume imetimiza wajibu wake kwa mujibu wa ToRs but still CCM mnalalamika kisa tu Tume imependekeza "Serikali Tatu" kinyume na matarajio yenu.

Mkiambiwa muitishe referendum wananchi waamue hatma ya nchi yao hamtaki. Wapeni wananchi uhuru waseme hamtaki badala yake mnateka Mabaraza ya Katiba! Sijui mnataka nini!
 
mjomba umesema kweli wanaotaka serikali tatu hawana nia njema, ni wabinafsi.

Naona proganda za Muungano zimeanza rasmi kwenye mitandao! Le Mutuz kaibuka na hoja yake juu ya suala hili hili asubuhi katolewa kwa KO naona mmeamua (CCM) kujipanga tena. Naona sasa ni CCM vs Others (wananchi, CUF, UAMSHO, wapinzani, et. al.). Sijui mshindi atakuwa nani.
 
na heshimu mawazo yako lakini pia naona ukweli fulani ndani yake.
 
Naona proganda za Muungano zimeanza rasmi kwenye mitandao! Le Mutuz kaibuka na hoja yake juu ya suala hili hili asubuhi katolewa kwa KO naona mmeamua (CCM) kujipanga tena. Naona sasa ni CCM vs Others (wananchi, CUF, UAMSHO, wapinzani, et. al.). Sijui mshindi atakuwa nani.

haya ni mawazo ya watu ambao upeo wao ni mdogo kama wewe unadhani kila aliyepo humu mitandaoni lazima awe ccm chadema au CF.
 
Kwa wanaodai serikali tatu naomba watambue iko kinyume na natural law of equlibrium hakuna uwezekano wowote serikali hizo kufanya kazi bila muungano kuvunjika. Hakutakuwepo ''balance of power'' Collision itakuwepo kati ya raisi wa Tanganyika NA YULE WA MUUNGANO. Hakutakuwa na harmonization yeyote. Wanaodai serikali tatu either ni wajinga au wana ajenda ya kuvunja muungano wanaogopa kuiweka wazi. Tatizo litakalo zuia balance hii of power ni udogo wa zanzibar, ingekuwa kenya na Tanzania zimeungana Muungano wa serikali tatu ungekuwa possible. Kwahiyo nakubaliana na muungano uliopo kwa asilimia zote kwakuwa unagusa mantiki ya fikra.
pamoja na kejeli lakini unafikiria zaidi vyeo ambavyo vinachukuliwa na idadi ndogo sana ya Watanzania wakishirikiana na ndugu zao badala ya kufikiria maendeleo ambayo yataonekana kwa wananchi wa kawaida (wasiojua vyeo) ambao ni wengi.
Lakini swali kubwa kabisa kwa sasa ni kuwa anayetaka serikali mbili atoe mfano wowote duniani ambapo zinafanya kazi then sisi ambao umetutaja hapo kwenye red tutaelewa labda. Mbali na hapo itakuwa ni wazi kuwa tumejitahidi (for 50 years) na bado tumeendelea kuwa masikini huku kero zikiongezeka.
Kama kweli sisi ni ndugu wa kweli kabisa kutoka mioyoni mwetu basi tuwe serikali moja!!

 
haya ni mawazo ya watu ambao upeo wao ni mdogo kama wewe unadhani kila aliyepo humu mitandaoni lazima awe ccm chadema au CF.

Kwa hiyo waliomo humu ni akina nani nje ya hayo makundi niliyoyataja?
 
Magamba kwa unafiki hamjambo! Uhuru wa kusema mnauminya halafu hapo hapo mnasema "waseme hawataki Muungano"! How? Unajua "Terms of Reference" za Tume ya Katiba juu ya suala la Muungano wewe?

Kipengele kimojawapo cha hizo ToRs ni Muungano "haupaswi kuvunjwa". Na kimsingi Tume imetimiza wajibu wake kwa mujibu wa ToRs but still CCM mnalalamika kisa tu Tume imependekeza "Serikali Tatu" kinyume na matarajio yenu.

Mkiambiwa muitishe referendum wananchi waamue hatma ya nchi yao hamtaki. Wapeni wananchi uhuru waseme hamtaki badala yake mnateka Mabaraza ya Katiba! Sijui mnataka nini!

mkuu wewe na musri rais wa misri aliyepinduliwa mnatofauti gani sasa.
 
Ni vipi muangano unaweza ukawepo kwenye serikali mbili? Nini maana ya muungano? Hakuna muungano wowote kwenye serikali mbil..hiki ndicho kiini macho..Mleta uzi nenda ukaangalie upya katiba mpya ya Zanzibar ndo utajua kuwa hakuna tena muungano bali ni kiini macho!! Rais wa Tanzania kwa sasa hana tena mamlaka ndani ya Zanzibar..hilo unalifahamu?? Mbona uko radhi kuendelea na ubabaishaji huu?? Ni lazima kuwe na muungano ambao hata mtu wa kawaida atauelewa! hapa naona CCM wanatetea maslai yao!!
 
Kwa wanaodai serikali tatu naomba watambue iko kinyume na natural law of equlibrium hakuna uwezekano wowote serikali hizo kufanya kazi bila muungano kuvunjika. Hakutakuwepo ''balance of power'' Collision itakuwepo kati ya raisi wa Tanganyika NA YULE WA MUUNGANO. Hakutakuwa na harmonization yeyote. Wanaodai serikali tatu either ni wajinga au wana ajenda ya kuvunja muungano wanaogopa kuiweka wazi. Tatizo litakalo zuia balance hii of power ni udogo wa zanzibar, ingekuwa kenya na Tanzania zimeungana Muungano wa serikali tatu ungekuwa possible. Kwahiyo nakubaliana na muungano uliopo kwa asilimia zote kwakuwa unagusa mantiki ya fikra.

Umetumia science reseach gani ukaona hivyo, je sasa hizi serikali mbili kuna Balance of Power? Iko wapi Nchi na Serikali ya Tanganyika? Zanzibar ipo na ina serikali yake, je ya Tanganyika iko wapi ili Power iwe balanced? Tanganyika ili dissolve kila kitu chake ika-kabidhi kwenye Muungano, mbona Zanzibar haiku-dissolve na kukabidhi kila kitu kwenye Muungano?

hadithi ya sungura na fisi haikukufundisha kitu, yaani mmoja anasema Chako-chetu lakini changu ni changu hutakiwi kukila! Jiulize kama Rwanda au Burundi wakileta hoja tuungane nao, muundo utakuwa kama huu wa serikali ya sasa? yaani wao wawe na serikali zao kisha sisi watanganyika tuwe na serikali ya Jamhuri tu? inaingia akilini?
 
Huyu mleta mada hajui kuwa Tanganyika iliuawa chini ya idhini ya mtu mmoja...mtu mmoja tu ndiye kaua Tanganyika..Iko wapi serikali ya Tanganyika kama ilivyo ya Zanzibar? Naomba sana mleta mada atoe structure ya uongozi wa juu Tanzania kwani mimi pamoja na kupita shule mpaka sasa siijui..kabisa kabisa siijui....na sitaki kuendelea tena kufanywa mjinga eti kwa sababu CCM inapigania maslahi yao haramu
 
Watanganyika kwa sasa hawataki nadharia bali vitendo zaidi.
 
Watanganyika mnapenda muungano kuliko kitu chochote hata kama muungano huo hauna faida yoyote lakini mutaupenda,mliuzika hai utaifa wenu kwa kupenda muungano na mpo tayari kuigawa ardhi yenu kwa kupenda muungano,hivi mnapata faida gani kwenye haya mazingaombwe ya muungano huu?
 
Kwa wanaodai serikali tatu naomba watambue iko kinyume na natural law of equlibrium hakuna uwezekano wowote serikali hizo kufanya kazi bila muungano kuvunjika. Hakutakuwepo ''balance of power'' Collision itakuwepo kati ya raisi wa Tanganyika NA YULE WA MUUNGANO. Hakutakuwa na harmonization yeyote. Wanaodai serikali tatu either ni wajinga au wana ajenda ya kuvunja muungano wanaogopa kuiweka wazi. Tatizo litakalo zuia balance hii of power ni udogo wa zanzibar, ingekuwa kenya na Tanzania zimeungana Muungano wa serikali tatu ungekuwa possible. Kwahiyo nakubaliana na muungano uliopo kwa asilimia zote kwakuwa unagusa mantiki ya fikra.

Shayu, mbona sasa wewe ndio mjinga zaidi kwa kudhani serikali 2 ndio ina balance of power
 
Kwa hiyo huu muungano wa sasa una kwenda sambamba na natural law of equilibrium?
Tatizo unawaza kwa kutumia nyayo. Wazanzibar hawana shida na muungano wao wanataka uhuru kamili wa nchi yao, kukuwa na serikali moja au mbili au tatu hata nne au tano. wao wanachotaka ni kuwa na uhuru kamili wa kujiamulia mambo yao wenyewe full stop. Na sisi wa bara we dont care how many serilali will be there what we need is our Tanganyika huru, tujiamulie mambo yetu wenyewe full stop.
Wewe nani alie kwambia kuwa kwakuwa Wazanzibar wako wachache hawawezi kuwa na serikali yao wenyewe? hivi hujui kuwa kuna nchi zenye wananchi wachache kuliko zanzibar na bado wana serikali zao na kujitawala wenyewe.



Mh. GIUSEPPE, umewajibu vizuri sana hao walinda maslahi binafsi.
 
Kujua kuandika au kusema kiingereza sio kujua mambo....natural law of equilibrium inasemaje...? na wewe hapo ulitaka kueleza nini....?sijaona kama umeeleza vitu vinavyoendana....hapo...? na inaitwa natural low of CHEMICAL equilibrium....kama hujui vitu wakati mwingine usiandike.....na hiyo low sijui unailinganisha vipi na muuungano wa Tanganyika na zanzibar:wave:...!!!!
 
Back
Top Bottom