Serikali tatu iko kinyume na natural law of equilibrium

Serikali tatu iko kinyume na natural law of equilibrium

Shayu, unawaona walio tofauti na wewe ni wajinga. Unatumia kipimo gani? Binadamu mwenye hekima na busara hutoa hoja zake kwa kile anachoamini ili wenzake wapime kama hoja zake zina mashiko. Wewe ni nani ambaye unataka mawazo yako ndiyo yafuatwe na watu wote?

Katiba tunayoandaa ni kwa Watanzania wote. Ukitaka katiba iwe kwa mujibu wa mawazo ya CCM ni mhaini wa Taifa hili na hakika hulitakii Taifa letu mema. Katiba ni lazima izingatia mawazo ya watu wote ikiwa ni pamoja na waliopo magerezani. Tafadhali jifunze kuwa binadamu.
 
Ujinga sio tusi nenda kaangalie kamusi ya kiswahili na ile ya kiingereza ignorance maana yake ni nini.
 
Law of equilibrium The condition of a system in which all competing influences are balanced, in a wide variety of contexts. kwa mtazamo huu ni wazi muungano utavunjika balance ingekuwepo kama zanzibari ingekuwa na ukubwa kama wa kenya kwa mfano kungekuwa na harmony nzuri.

Serikali ya Tanganyika na ya muungano zitashindana katika influence matokeo yake muungano utavunjika. Hata hivyo ni gharama kubwa kuendesha serikali tatu. Serikali mbili ni yenye faida sana kwetu. Lakini pia muungano huu ni wenye faida pia kwa wanzibar kwa sababu za kisiasa UUNGUJA/ UPEMBA. Sisi ndio tunaowafanya wao kujiita wazanzibar nakubaliana na mwalimu nyerere. He was a great thinker.


Wacha pumba hizo, zanzibar ilikuwapo hata kabla ya tanganyika na hiyo tanzania yako,sasa unaposema "nyinyi ndio manaowafanya wao kujiita zanzibar" maana yake nini wacha fikra mgando hizo eti tu Juliasi kasema na wewe useme.
Kwa taarifa yako ndio nchi pekee katika africa iliyokuwa Empire ikizihodhi tanganyika, kenya n.k
Elimika kabla kuleta pumba zako humu
 
Ujinga sio tusi nenda kaangalie kamusi ya kiswahili na ile ya kiingereza ignorance maana yake ni nini.

Mkuu ukubali ukatae umeileta hoja kibabe na kuwa undermine wale wote wenye mawazo tofauti na yako
Ujinga linaweza lisiwe tusi lakini wewe umelitumia kwenye msingi gani?
Kama rangi nyekundu dunia nzima inajua hivyo na mimi nikasema hapana ni nyeupe basi unahaki ya kuniita mjinga

Lakini mambo ya muungano its a matter of opinion according to situation, not a fact

Sasa opinion yako ukiigeuza ndio fact na kuwaona wajinga wenye opinion tofauti na yako mimi nadhani wewe ndio mjinga kwa kutokujua hii si sawa na 2+2=4, hii ni mtazamo wa mtu na jinsi anavyoona sahihi na kutetea hoja yake

Tatizo kwenye hoja yako ni kuhalalisha mawazo yako kuwa ndio "ukweli" na jibu sahihi na kinyume cha happ ni ujinga
Ungeweza kutoa mawazo yako tu na kuacha mjadala wazi
 
Kwa wanaodai serikali tatu naomba watambue iko kinyume na natural law of equlibrium hakuna uwezekano wowote serikali hizo kufanya kazi bila muungano kuvunjika. Hakutakuwepo ''balance of power'' Collision itakuwepo kati ya raisi wa Tanganyika NA YULE WA MUUNGANO. Hakutakuwa na harmonization yeyote. Wanaodai serikali tatu either ni wajinga au wana ajenda ya kuvunja muungano wanaogopa kuiweka wazi. Tatizo litakalo zuia balance hii of power ni udogo wa zanzibar, ingekuwa kenya na Tanzania zimeungana Muungano wa serikali tatu ungekuwa possible. Kwahiyo nakubaliana na muungano uliopo kwa asilimia zote kwakuwa unagusa mantiki ya fikra.

Hivi watu mbona mnahofia muungano kuvunjika as if watanganyika tunaishi kwa ajili ya Muungano, hebu pelekeni huko kelele zenu! Wakati zanzibar wanatunga katiba ya kuunyonga muungano, nyie wanazi wa muungano mlikuwa wapi! Tumechoshwa na kelele zenu za Muungano, sasa ni wakati wa kutafuta mustakabali wa watanganyika, na Kama mnapenda sana Muungano utafuteni kwenye serikali tatu si nje ya hapo!
 
Mkuu ukubali ukatae umeileta hoja kibabe na kuwa undermine wale wote wenye mawazo tofauti na yako
Ujinga linaweza lisiwe tusi lakini wewe umelitumia kwenye msingi gani?
Kama rangi nyekundu dunia nzima inajua hivyo na mimi nikasema hapana ni nyeupe basi unahaki ya kuniita mjinga

Lakini mambo ya muungano its a matter of opinion according to situation, not a fact

Sasa opinion yako ukiigeuza ndio fact na kuwaona wajinga wenye opinion tofauti na yako mimi nadhani wewe ndio mjinga kwa kutokujua hii si sawa na 2+2=4, hii ni mtazamo wa mtu na jinsi anavyoona sahihi na kutetea hoja yake

Tatizo kwenye hoja yako ni kuhalalisha mawazo yako kuwa ndio "ukweli" na jibu sahihi na kinyume cha happ ni ujinga
Ungeweza kutoa mawazo yako tu na kuacha mjadala wazi


Nimeomba hapa mtu aje na structure ya mfumo wa serikali tatu utakavyofanya kazi bila kuadhri kuvunjika kwa muungano mkija nao ikaonekana kabisa mfumo huo utafanya kazi bila muungano kuvunjika mimi nitakubali kuwa ni mjinga.
 
Wacha pumba hizo, zanzibar ilikuwapo hata kabla ya tanganyika na hiyo tanzania yako,sasa unaposema "nyinyi ndio manaowafanya wao kujiita zanzibar" maana yake nini wacha fikra mgando hizo eti tu Juliasi kasema na wewe useme.
Kwa taarifa yako ndio nchi pekee katika africa iliyokuwa Empire ikizihodhi tanganyika, kenya n.k
Elimika kabla kuleta pumba zako humu

Sijaona kabisa kama una uwezo wa kujenga hoja zaidi ya kutumia hisia tu bila logic.
 
Nimeomba hapa mtu aje na structure ya mfumo wa serikali tatu utakavyofanya kazi bila kuadhri kuvunjika kwa muungano mkija nao ikaonekana kabisa mfumo huo utafanya kazi bila muungano kuvunjika mimi nitakubali kuwa ni mjinga.

Shirikisho la Afrika Mashariki litakuwa na muundo upi? Litafanya kazi vipi?
 
Tofautisha kati ya muungano na shirikisho.
 
Kwa wanaodai serikali tatu naomba watambue iko kinyume na natural law of equlibrium hakuna uwezekano wowote serikali hizo kufanya kazi bila muungano kuvunjika. Hakutakuwepo ''balance of power'' Collision itakuwepo kati ya raisi wa Tanganyika NA YULE WA MUUNGANO. Hakutakuwa na harmonization yeyote. Wanaodai serikali tatu either ni wajinga au wana ajenda ya kuvunja muungano wanaogopa kuiweka wazi. Tatizo litakalo zuia balance hii of power ni udogo wa zanzibar, ingekuwa kenya na Tanzania zimeungana Muungano wa serikali tatu ungekuwa possible. Kwahiyo nakubaliana na muungano uliopo kwa asilimia zote kwakuwa unagusa mantiki ya fikra.

kwani ni lazima muungano uwepo?????? kwa nn uchambuzi wako unaegemea kwenye pre-condition ya muungano lazima uwepo!!!!
 
Hii Physics ya kipuuzi kweli, Mulugo mkubwa wewe, state of balance itakuwepo kwa kubadili pivot! Currently kwa principle of moments, Clockwise moment is not equal to anticlockwise moment
 
Kwa wanaodai serikali tatu naomba watambue iko kinyume na natural law of equlibrium hakuna uwezekano wowote serikali hizo kufanya kazi bila muungano kuvunjika. Hakutakuwepo ''balance of power'' Collision itakuwepo kati ya raisi wa Tanganyika NA YULE WA MUUNGANO. Hakutakuwa na harmonization yeyote. Wanaodai serikali tatu either ni wajinga au wana ajenda ya kuvunja muungano wanaogopa kuiweka wazi. Tatizo litakalo zuia balance hii of power ni udogo wa zanzibar, ingekuwa kenya na Tanzania zimeungana Muungano wa serikali tatu ungekuwa possible. Kwahiyo nakubaliana na muungano uliopo kwa asilimia zote kwakuwa unagusa mantiki ya fikra.

Unapendekeza nini kifanyike kupunguza gharama za uendeshaji zinazoingiwa kwa sasa?






“Katiba ijayo lazima sasa iondoe kinga kwa marais ili mtu yeyote aweze kumshtaki Rais na hatua za kisheria ziweze kuchukuliwa,” Mateo Qaresi (July 2013).
 
Unapendekeza nini kifanyike kupunguza gharama za uendeshaji zinazoingiwa kwa sasa?ai se







"Katiba ijayo lazima sasa iondoe kinga kwa marais ili mtu yeyote aweze kumshtaki Rais na hatua za kisheria ziweze kuchukuliwa," Mateo Qaresi (July 2013).


Naomba mnipe sababu za kuuvunja muungano kwanini tuuvunje? Na wanaodai serikali tatu waje na muundo wa jinsi serikali hizo zitakavyofanya kazi bila kuathiri muungano. Naomba tujadili kwa mantiki tafadhali.
 
Hii Physics ya kipuuzi kweli, Mulugo mkubwa wewe, state of balance itakuwepo kwa kubadili pivot! Currently kwa principle of moments, Clockwise moment is not equal to anticlockwise moment


Hivi umenisoma kweli nilichoandika au unataka kujibu tu? Soma kwa makini kisha unijibu kama kunishinda unishinde kwa kujenga hoja.
 
The IDEA is; Tuna nchi mbili yaani zanzibar na tanganyika. Kila moja inatakiwa kuwa na serikali yake. Lakini serikali ya muungano ina derive it's power kutoka sehemu mbili ili kufanya ukamilifu wake. Ni uwazi ya kwamba kutokana na ukubwa wa tanganyika Raisi wa muungano atahitaji nguvu kubwa kutoka tanganyika, atahitaji support kubwa ili aweze kufanya kazi zake. Nikasema kwamba ingekuwa rahisi kwa muungano wa serikali tatu kufanya kazi kama Zanzibar ingekuwa na ukubwa kama wa Tanganyika kwasababu kungekuwepo na equalization of influence and power. Ni dhahiri kabisa collision itakuwepo kati ya Raisi wa Tanganyika ambaye atakuwa na influence inayofanana na ile ya Raisi wa muungano kutokana na ukubwa wa Tanganyika na udogo wa zanzibar.

We can not unify this country by such method, there will be no balance of power kutokana na hilo muungano ni lazima utavunjika. Ninasema tena watu wanaofikiria kuhusu serikali tatu ni watu wasiofikiri sawa sawa au labda wana agenda ya siri.
 
Muungano si Shrikisho? Shirikisho si Muungano? Tofauti yao ni nini?

Nimekusoma mkuu hoja zako zote ni kuulinda muungano na upo tayari kupoteza kila kitu kuulinda muungano,sasa kwenye huu muungano wako wa serekali 2 kwa upande wa z'br kujitangazia nchi hichi c kiashiria cha kuvunja muungano?upande mmoja umeshajitangazia nchi watanganyika mnasubiri nn?
 
Nimekusoma mkuu hoja zako zote ni kuulinda muungano na upo tayari kupoteza kila kitu kuulinda muungano,sasa kwenye huu muungano wako wa serekali 2 kwa upande wa z'br kujitangazia nchi hichi c kiashiria cha kuvunja muungano?upande mmoja umeshajitangazia nchi watanganyika mnasubiri nn?


Unafananisha East Afrika community na muungano wa Tanzania na Zanzibar mbona ni mambo mawili tofauti kabisa embu jaribu kusoma hoja yangu juu khalafu ujaribu kufikiri kwanza kabla hujanijibu.
 
Back
Top Bottom