Serikali tatu iko kinyume na natural law of equilibrium

Serikali tatu iko kinyume na natural law of equilibrium

Unafananisha East Afrika community na muungano wa Tanzania na Zanzibar mbona ni mambo mawili tofauti kabisa embu jaribu kusoma hoja yangu juu khalafu ujaribu kufikiri kwanza kabla hujanijibu.

wewe una mtazamo wa upande mmoja,umaposema zanzibar ni nchi ndogo katika nini?
mipaka
idadi ya watu
kiuchumi au kitu gani.
ngoja nikurahisishie.zanzibar kama watajioganise kupitia serikali yao huwenda wao ndo wakaisaidia tanganyika since kwamba
_watakuwa na wawakilishi wao kwenye jumuia mbalimbali za kimataifa
_watakuwa huru kukopa au kupokea msaada kutoka kwa wahisani mbalimbali duniani
_watakuwa na fedha yao ambayo kutokana vivutio vyao wanaweza kupata fedha nyingi za kigeni ambazo zita inua thamani ya pesa zao.
_na ukiangalia zanziba haiitaji matumizi makubwa lakini inaposibility nyingi za kukuza gnp na gdp.
_kutokana na kigezo cha udogo wa zanzibar nikutoe wasiwasi kuwa.zanziba itachangia serikali kuu kwa mujibu nafasi yao katika muungano na si kama unavyodhani juu ya equebram in decition making.
 
wewe una mtazamo wa upande mmoja,umaposema zanzibar ni nchi ndogo katika nini?
mipaka
idadi ya watu
kiuchumi au kitu gani.
ngoja nikurahisishie.zanzibar kama watajioganise kupitia serikali yao huwenda wao ndo wakaisaidia tanganyika since kwamba
_watakuwa na wawakilishi wao kwenye jumuia mbalimbali za kimataifa
_watakuwa huru kukopa au kupokea msaada kutoka kwa wahisani mbalimbali duniani
_watakuwa na fedha yao ambayo kutokana vivutio vyao wanaweza kupata fedha nyingi za kigeni ambazo zita inua thamani ya pesa zao.
_na ukiangalia zanziba haiitaji matumizi makubwa lakini inaposibility nyingi za kukuza gnp na gdp.
_kutokana na kigezo cha udogo wa zanzibar nikutoe wasiwasi kuwa.zanziba itachangia serikali kuu kwa mujibu nafasi yao katika muungano na si kama unavyodhani juu ya equebram in decition making.


Wazo la kwamba watu wanataka nchi yao ili wapokee misaada huu ni ujinga sio sababu ya maana ya kuuvunja muungano. Nchi zetu lazima zijengwe kwa juhudi na maarifa ya watu wake.

Naomba niambie zanzibar atachangia pato kiasi gani kwa mfano katika suala la ulinzi kama tukiwa na serikali tatu weka akilini ukubwa wa tanganyika na udogo wa zanzibar? Tukizunzungumza kiuchumi zanzibar itaadhirika sana pengine itategemea sana bandari yake je mizigo yake itaipeleka wapi nayo ni kisiwa? Tanganyika ina bahari lakini imepakana na nchi nyingine nchi kavu ambazo hazina bahari kwahiyo ni rahisi kwao kufanya biashara.

Population ni watu millioni moja na kitu je ni biashara gani kubwa ambayo zanzibar inaweza kufanya na mataifa makubwa zaidi ya utalii wa fukwe tu? Labda mafuta kama watayapata. Wanzibar ni dhahiri kabisa watakuwa na kazi kubwa sana ya kunyanyua Taifa lao na stability ya Tanganyika nje ya muungano itaongezeka kutokana na internal strife.
 
Suluhisho ni serikali 1 maana hali ilivyo sasa kila upande utaendelea kudhani unaonewa, ebu fikiri....Zanzibar wana Rais, Katiba, Bendera, nk..wakati Tanganyika kama nchi iliyopata uhuru haina vitu hivyo je tutasema kuna muungano wa kweli? kwa mtazamo wangu tu ni kwamba aidha kuwe na serikali moja (nadhani ndiyo bora zaidi) ikishindikana basi Tanganyika iwe nchi huru...kwanza wanaonufaika na muungano bila kung'ata maneno ni wazanzibar.
 
Nimeomba hapa mtu aje na structure ya mfumo wa serikali tatu utakavyofanya kazi bila kuadhri kuvunjika kwa muungano mkija nao ikaonekana kabisa mfumo huo utafanya kazi bila muungano kuvunjika mimi nitakubali kuwa ni mjinga.

kasome rasimu...
 
Nimekusoma mkuu hoja zako zote ni kuulinda muungano na upo tayari kupoteza kila kitu kuulinda muungano,sasa kwenye huu muungano wako wa serekali 2 kwa upande wa z'br kujitangazia nchi hichi c kiashiria cha kuvunja muungano?upande mmoja umeshajitangazia nchi watanganyika mnasubiri nn?

Kama ulisoma bila kuvaa miwani, vaa miwani baadae usome tena. Au umeninukuu kimakosa ,ulimkusudia mtoa mada?
 
Back
Top Bottom