Serikali tatu iko kinyume na natural law of equilibrium

Serikali tatu iko kinyume na natural law of equilibrium

Nenda Zanzibar ukawaulize kama kwa muundo huu wa serikali mbili kuna usawa? Jibu watalokupatia rudi nalo bila kuingiza itikadi za udini,uchama au utaifa.Ukiona hiyo ni kazi ngumu usifanye conclusion kwani masuala mengine hayahitaji application of scientific of experiment kuujua ukweli wala logical argument but the willingness of the people!

Kwa hiyo huu muungano wa sasa una kwenda sambamba na natural law of equilibrium?
Tatizo unawaza kwa kutumia nyayo. Wazanzibar hawana shida na muungano wao wanataka uhuru kamili wa nchi yao, kukuwa na serikali moja au mbili au tatu hata nne au tano. wao wanachotaka ni kuwa na uhuru kamili wa kujiamulia mambo yao wenyewe full stop. Na sisi wa bara we dont care how many serilali will be there what we need is our Tanganyika huru, tujiamulie mambo yetu wenyewe full stop.
Wewe nani alie kwambia kuwa kwakuwa Wazanzibar wako wachache hawawezi kuwa na serikali yao wenyewe? hivi hujui kuwa kuna nchi zenye wananchi wachache kuliko zanzibar na bado wana serikali zao na kujitawala wenyewe.


Taifa hili halihitaji watu kama wewe linahitaji watu wanao argue logically. Linahitaji watu watakaolisaidia kwa kutoa maarifa waliyonayo uko too Emotional tumia akili yako ndugu.
 
Magamba kwa unafiki hamjambo! Uhuru wa kusema mnauminya halafu hapo hapo mnasema "waseme hawataki Muungano"! How? Unajua "Terms of Reference" za Tume ya Katiba juu ya suala la Muungano wewe?

Kipengele kimojawapo cha hizo ToRs ni Muungano "haupaswi kuvunjwa". Na kimsingi Tume imetimiza wajibu wake kwa mujibu wa ToRs but still CCM mnalalamika kisa tu Tume imependekeza "Serikali Tatu" kinyume na matarajio yenu.


Mkiambiwa muitishe referendum wananchi waamue hatma ya nchi yao hamtaki. Wapeni wananchi uhuru waseme hamtaki badala yake mnateka Mabaraza ya Katiba! Sijui mnataka nini!



Nimekuja hapa tujadili na ku reason logically, siko hapa kupigishana kelele zisizo kuwa na tija. Mimi napenda ukweli na ninausimamia daima. Nakuomba unipe sababu za kuuvunja muungano!
 
Kujua kuandika au kusema kiingereza sio kujua mambo....natural law of equilibrium inasemaje...? na wewe hapo ulitaka kueleza nini....?sijaona kama umeeleza vitu vinavyoendana....hapo...? na inaitwa natural low of CHEMICAL equilibrium....kama hujui vitu wakati mwingine usiandike.....na hiyo low sijui unailinganisha vipi na muuungano wa Tanganyika na zanzibar:wave:...!!!!



Nitaerndelea kujadili kama mtakubali ku argue bili kutumia emotional...Law of equilibrium ziko nyingi una nishangaza kwakuwa wewe ni daktari khalafu una reason namna hiyo.
 
pamoja na kejeli lakini unafikiria zaidi vyeo ambavyo vinachukuliwa na idadi ndogo sana ya Watanzania wakishirikiana na ndugu zao badala ya kufikiria maendeleo ambayo yataonekana kwa wananchi wa kawaida (wasiojua vyeo) ambao ni wengi.
Lakini swali kubwa kabisa kwa sasa ni kuwa anayetaka serikali mbili atoe mfano wowote duniani ambapo
zinafanya kazi then sisi ambao umetutaja hapo kwenye red tutaelewa labda. Mbali na hapo itakuwa ni wazi kuwa tumejitahidi (for 50 years) na bado tumeendelea kuwa masikini huku kero zikiongezeka.
Kama kweli sisi ni ndugu wa kweli kabisa kutoka mioyoni mwetu basi tuwe serikali moja!!



Mimi si zungumzii kuhusu vyeo mimi nazungumzia ukweli kwamba serikali tatu haziwezi kufanya kazi. Muundo huu uliopo ni sahihi. Mimi sina cheo chochote cha kusema naongea kwasababu nina cheo nazungumza uhalisia.
 
Nimekuja hapa tujadili na ku reason logically, siko hapa kupigishana kelele zisizo kuwa na tija. Mimi napenda ukweli na ninausimamia daima. Nakuomba unipe sababu za kuuvunja muungano!


Kwangu suala la msingi sio kuvunja au kutovunja muungano bali la muhimu "wapeni wananchi uhuru wa kuamua hatma ya muungano". Huenda wakaamua iwe serikali moja, mbili (kama ilivyo sasa), tatu, au kila nchi na lwake. Wasikilizeni wananchi.
 
Nitaerndelea kujadili kama mtakubali ku argue bili kutumia emotional...Law of equilibrium ziko nyingi una nishangaza kwakuwa wewe ni daktari khalafu una reason namna hiyo.
....Hujanielewa.....n way endelea kujadili...maana...
 
Law of equilibrium The condition of a system in which all competing influences are balanced, in a wide variety of contexts.
 
mjomba umesema kweli wanaotaka serikali tatu hawana nia njema, ni wabinafsi.

mi nadhani wewe ndio utakiwa mnafiki, kama watu hawautaki then uulinde wewe kwa niaba ya nani!
 
Kwa wanaodai serikali tatu naomba watambue iko kinyume na natural law of equlibrium hakuna uwezekano wowote serikali hizo kufanya kazi bila muungano kuvunjika. Hakutakuwepo ''balance of power'' Collision itakuwepo kati ya raisi wa Tanganyika NA YULE WA MUUNGANO. Hakutakuwa na harmonization yeyote. Wanaodai serikali tatu either ni wajinga au wana ajenda ya kuvunja muungano wanaogopa kuiweka wazi. Tatizo litakalo zuia balance hii of power ni udogo wa zanzibar, ingekuwa kenya na Tanzania zimeungana Muungano wa serikali tatu ungekuwa possible. Kwahiyo nakubaliana na muungano uliopo kwa asilimia zote kwakuwa unagusa mantiki ya fikra.
Nadhani una point
 
Law of equilibrium The condition of a system in which all competing influences are balanced, in a wide variety of contexts. kwa mtazamo huu ni wazi muungano utavunjika balance ingekuwepo kama zanzibari ingekuwa na ukubwa kama wa kenya kwa mfano kungekuwa na harmony nzuri.

Serikali ya Tanganyika na ya muungano zitashindana katika influence matokeo yake muungano utavunjika. Hata hivyo ni gharama kubwa kuendesha serikali tatu. Serikali mbili ni yenye faida sana kwetu. Lakini pia muungano huu ni wenye faida pia kwa wanzibar kwa sababu za kisiasa UUNGUJA/ UPEMBA. Sisi ndio tunaowafanya wao kujiita wazanzibar nakubaliana na mwalimu nyerere. He was a great thinker.
 
Kama kweli tunahitaji Tanzania yetu yenye nguvu nyingi siku zijazo serikali moja ni jibu mujarabu sana.

Serikali mbili sawa,lakini kwanini kero zinatokea?

Serikali tatu ni falsafa ya hali ya juu sana ambayo ni hiyo hiyo ambayo inaweza kuivusha Tanzania kwa

kipindi kijacho,lakini ni hatari sana kwa muungano kama wakubwa watajisahau au kulewa madaraka.
 
Kama kweli tunahitaji Tanzania yetu yenye nguvu nyingi siku zijazo serikali moja ni jibu mujarabu sana.

Serikali mbili sawa,lakini kwanini kero zinatokea?

Serikali tatu ni falsafa ya hali ya juu sana ambayo ni hiyo hiyo ambayo inaweza kuivusha Tanzania kwa

kipindi kijacho,lakini ni hatari sana kwa muungano kama wakubwa watajisahau au kulewa madaraka.

Matatizo yanatokea sababu ya uongozi mbovu na matatizo hayako tu kwenye muungano hadi kwenye vyama vyetu vya siasa ni dhahiri kabisa Hakuna uongozi katika CCM na CHADEMA nayo sio imara. Matatizo mengi tuliyo nayo yanatokana na uongozi mbovu.





Human beings need guidance: those who have knowledge and understanding must lead others.The prudent Must be presidents and rulers and Nations will get direction and great prosperity.
 
mjomba umesema kweli wanaotaka serikali tatu hawana nia njema, ni wabinafsi.

Toa uthibitisho kwamba kwa sasa hatuna serikali TATU!
Soma Ibara ya 34 (1) (3) ya Katiba ya mwaka 1977
 
Kwa wanaodai serikali tatu naomba watambue iko kinyume na natural law of equlibrium hakuna uwezekano wowote serikali hizo kufanya kazi bila muungano kuvunjika. Hakutakuwepo ''balance of power'' Collision itakuwepo kati ya raisi wa Tanganyika NA YULE WA MUUNGANO. Hakutakuwa na harmonization yeyote. Wanaodai serikali tatu either ni wajinga au wana ajenda ya kuvunja muungano wanaogopa kuiweka wazi. Tatizo litakalo zuia balance hii of power ni udogo wa zanzibar, ingekuwa kenya na Tanzania zimeungana Muungano wa serikali tatu ungekuwa possible. Kwahiyo nakubaliana na muungano uliopo kwa asilimia zote kwakuwa unagusa mantiki ya fikra.

Mie naona hakuna haja ya kuogopa kuukabili ukweli kuwa muungano wa sasa bado una KERO kibao. Na kwakuwa kuwa na serikali moja haiwezekani kutokana na hali halisi, ni vyema serikali tatu. Kama muungano ukifa na ufe. Haiwezekani tukaendelea kulazimisha muungano ambao tulioungana bado hatuaminiani.
Mungu ibariki TANGANYIKA.
 
Leta mada yako ukirejelea principles za Behavioral na Social Sciences!
Hatuongozi vyuma hapa...
Wanaongozwa watu wenye utashi!
Watu hubadirika-hata vyuma visipobadilika, HUBADIRISHWA!
 
narudia kusema nyny watoto wadogo acheni porojo. serikali tatu ni mawazo ya watu tunaona mbali kuliko nyiyi mnaotaka shibe na madaraka ya kisiasa maana mnaosema hapana ni wanasiasa mlioaidiwa kijifungu vya pesa na wengine vijivyeo vya kushibisha matumbo yenu cc wananchi waona mabali tunaona suluhu ni serikali tatu na c chochote kingine
 
Kuna shida gani kuwauliza wananchi kama wanautaka au hawautaki muungano?muda wa ukoloni mweusi zanzibr upo ICU.
 
Nimekuja hapa tujadili na ku reason logically, siko hapa kupigishana kelele zisizo kuwa na tija. Mimi napenda ukweli na ninausimamia daima. Nakuomba unipe sababu za kuuvunja muungano!

logically ni kwamba muungano huu sio wa watu, ni wa viongozi, kwa kiburi unachoonyesha unaoekana a wewe ni mmoja wao, muungano wa watu unahitaji referandum.
 
Mimi si zungumzii kuhusu vyeo mimi nazungumzia ukweli kwamba serikali tatu haziwezi kufanya kazi. Muundo huu uliopo ni sahihi. Mimi sina cheo chochote cha kusema naongea kwasababu nina cheo nazungumza uhalisia.

Unafaa kivipi? Ziliungana nchi mbili - Zanzibar na Tanganyika. Halafu zikazaa Tanzania. Kinachoshangaza ghafla Tanganyika ikawa Tanzania Bara lakini Zanzibar ikabaki Zanzibar. Kwanini haikuwa Tanzania Visiwani ili jina Zanzibar nalo life? Sasa ama tuwe na Tanzania Bara na Visiwani au Tanganyika na Zanzibar halafu JMT.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom