Serikali Toeni Elimu Visiwani waache Tabia ya kuzuia watoto wachanga Wasipate VISOGO!

Serikali Toeni Elimu Visiwani waache Tabia ya kuzuia watoto wachanga Wasipate VISOGO!

Blender

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2022
Posts
4,870
Reaction score
8,035
Kitendo cha kuvibonyeza, kuvikandamiza vichwa vya watoto wachanga ili kuzuia kichogo, bila kutumia wataalamu wa afya, hii inaweza kusababisha hitilafu ya ubongo Kwa Mtoto. Na Kwanza kitabibu hairuhusiwi kufanya kitendo kama hicho.

Serikali kupitia wizara ya AFYA, toeni elimu ya kutosha, hasa visiwani Zanzibar (Pemba, Unguja).

Hospitali ya Muhimbili kitengo cha watoto na kitengo cha ubongo, inawapasa kutoa elimu ya AFYA ya Mtoto hasa huko visiwani Zanzibar.

Wizara ya ustawi ya jamii jinsi na watoto, elimisheni jamii, kwamba Mtoto kuwa na kichogo sio ukilema. Bali ni maumbile ya kawaida Kwa ukuaji wa mtoto pamoja na afya yake.

Maana wana wanyanyasa watoto vichanga, haya yote ni matokeo ya ukosefu wa elimu na Imani potofu huko visiwani Zanzibar.

Mtoto kuwa na kichogo Sio Kwamba atakuwa na muonekano mbaya AU Kwamba atachekwa na wenziwe shuleni, lahasha Bali, ni maumbile halisi ya kibinaadamu.

Wenyeji wa huko visiwani, heshimuni haki za watoto.
 
Imani potofu bado ni tatizo Sana visiwa Zanzibar,
Elimu ya kuhusu AFYA na ustawi wa Jamii inapaswa kutiliwa mkazo Sana huko visiwani Zanzibar
 
Kitendo cha kuvibonyeza , kuvikandamiza vichwa vya watoto wachanga ili kuzuia kichogo, bila kutumia wataalamu wa afya , hii inaweza kusababisha hitilafu ya ubongo Kwa Mtoto . Na Kwanza kitabibu hairuhusiwi kufanya kitendo kama hicho.


Serikali kupitia wizara ya AFYA, toeni elimu ya kutosha , hasa visiwani Zanzibar (Pemba,unguja).


Hospitali ya muhimbili kitengo cha watoto na kitengo cha ubongo, inawapasa kutoa elimu ya AFYA ya Mtoto hasa huko visiwani Zanzibar.


Wizara ya ustawi ya jamii jinsi na watoto, elimisheni jamii, kwamba Mtoto kuwa na kichogo sio ukilema. Bali ni maumbile ya kawaida Kwa ukuaji wa mtoto pamoja na afya yake.

Maana wana wanyanyasa watoto vichanga, haya yote ni matokeo ya ukosefu wa elimu na Imani potofu huko visiwani Zanzibar .


Mtoto kuwa na kichogo Sio Kwamba atakuwa na muonekano mbaya AU Kwamba atachekwa na wenziwe shuleni. , lahasha Bali ,ni maumbile halisi ya kibinaadam



Wenyeji wa huko visiwani ,heshimuni haki za watoto.
Kwahiyo unataka kusema wazanzibari wote watakuwa na hitilafu ya ubongo,maana hiyo mila ina miaka mingi sana...
 
Ripoti za serikali na wizara kule kisiwani zinasapoti haya matukio kuwa yana exist bado? Je ni wakunga ndio wanafanya hivi? Na kwanini wanafanya hvo?
Wizara haikemi vitendo hivi japo reports wanazo , imeshakuwa kama vile ni utamaduni.
Na hivi vitendo vinafanyika majumbani.

Si unajua Kule Zanzibar kuna tamaduni bado zinafuatwa Tu, japo ni za kitumwa na hazina mantiki
 
Kitendo cha kuvibonyeza , kuvikandamiza vichwa vya watoto wachanga ili kuzuia kichogo, bila kutumia wataalamu wa afya , hii inaweza kusababisha hitilafu ya ubongo Kwa Mtoto . Na Kwanza kitabibu hairuhusiwi kufanya kitendo kama hicho.


Serikali kupitia wizara ya AFYA, toeni elimu ya kutosha , hasa visiwani Zanzibar (Pemba,unguja).


Hospitali ya muhimbili kitengo cha watoto na kitengo cha ubongo, inawapasa kutoa elimu ya AFYA ya Mtoto hasa huko visiwani Zanzibar.


Wizara ya ustawi ya jamii jinsi na watoto, elimisheni jamii, kwamba Mtoto kuwa na kichogo sio ukilema. Bali ni maumbile ya kawaida Kwa ukuaji wa mtoto pamoja na afya yake.

Maana wana wanyanyasa watoto vichanga, haya yote ni matokeo ya ukosefu wa elimu na Imani potofu huko visiwani Zanzibar .


Mtoto kuwa na kichogo Sio Kwamba atakuwa na muonekano mbaya AU Kwamba atachekwa na wenziwe shuleni. , lahasha Bali ,ni maumbile halisi ya kibinaadam



Wenyeji wa huko visiwani ,heshimuni haki za watoto.
Hahaa, yakhe wataka watoto wetu wafanane na machogo wa huko Bara?

Unaminya kichogo ili barakashia ikae viziri, sio mtoto anakuwa na chogo kama pasi ya mkaa,
 
Kwahiyo unataka kusema wazanzibari wote watakuwa na hitilafu ya ubongo,maana hiyo mila ina miaka mingi sana...
Kwa kuwa ni Mila iliyotumika miaka Mingi Huenda kukawa na madhara ya hapo baadae either ya kimaumbile AU ya kiakili.

Kuna haja ya kulifanyia research hili jambo na kulitolea ufafanuzi
 
Hahaa, yakhe wataka watoto wetu wafanane na machogo wa huko Bara?

Unaminya kichogo ili barakashia ikae viziri, sio mtoto anakuwa na chogo kama pasi ya mkaa,
Una wewe unacho andika,
Mila potofu bado ni tatizo Sana visiwani Zanzibar.
Kichogo ni maumbile Mazuri Kwa Mtoto wala .
Hiyo Sababu ya kibarakashi kushindwa kukaa vizuri haina mantiki kabisa
 
Kama huu ni utamaduni wa Wana Zanzibar basi , wapi kwenye upotofu mkubwa
 
Kumbe ni mila ya miaka mingi sana! Kwa nin serikali ya zanzibar imeshindwa kukemea unyanyasaji huu kwa hawa watoto wachanga, mana yake serikali imebariki ili au imekaaje hapo
 
Kumbe ni mila ya miaka mingi sana! Kwa nin serikali ya zanzibar imeshindwa kukemea unyanyasaji huu kwa hawa watoto wachanga, mana yake serikali imebariki ili au imekaaje hapo
Ni utamaduni Wao mbovu wameuzoea Tu, Sasa unakuta Waziri wa huko na yeye anaona hilo jambo ni Zuri , unatagemea atakemea hivyo vitendo ,
Wakati Wao wanaona watoto wakiwa hawana VISOGO wanapendeza
 
Kitendo cha kuvibonyeza, kuvikandamiza vichwa vya watoto wachanga ili kuzuia kichogo, bila kutumia wataalamu wa afya, hii inaweza kusababisha hitilafu ya ubongo Kwa Mtoto. Na Kwanza kitabibu hairuhusiwi kufanya kitendo kama hicho.

Serikali kupitia wizara ya AFYA, toeni elimu ya kutosha, hasa visiwani Zanzibar (Pemba, Unguja).

Hospitali ya Muhimbili kitengo cha watoto na kitengo cha ubongo, inawapasa kutoa elimu ya AFYA ya Mtoto hasa huko visiwani Zanzibar.

Wizara ya ustawi ya jamii jinsi na watoto, elimisheni jamii, kwamba Mtoto kuwa na kichogo sio ukilema. Bali ni maumbile ya kawaida Kwa ukuaji wa mtoto pamoja na afya yake.

Maana wana wanyanyasa watoto vichanga, haya yote ni matokeo ya ukosefu wa elimu na Imani potofu huko visiwani Zanzibar.

Mtoto kuwa na kichogo Sio Kwamba atakuwa na muonekano mbaya AU Kwamba atachekwa na wenziwe shuleni, lahasha Bali, ni maumbile halisi ya kibinaadamu.

Wenyeji wa huko visiwani, heshimuni haki za watoto.
duniani kote wenye vichogo vilivyochongoka ni waafrika tu, na wao ndiyo wa mwisho kimaendeleo.
 
Back
Top Bottom