Cassnzoba
JF-Expert Member
- Feb 26, 2022
- 3,661
- 6,913
Kwanini watunyanyasee sisi vichogoooo!!???? 😂😂Nipoooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini watunyanyasee sisi vichogoooo!!???? 😂😂Nipoooo
Mimi ni kichogoooo na ninazo mingii😂😂😂Thubutu. Nani alikudanganya bichwa kama mkate wa kisu lina akili nyingi?
Chogo kama panzi?Kwanini watunyanyasee sisi vichogoooo!!???? 😂😂
😂😂😂😂😂😁Chogo kama panzi?
Mkuu ndivyo wanavyosema wakaazi wa Zenjbar,Una wewe unacho andika,
Mila potofu bado ni tatizo Sana visiwani Zanzibar.
Kichogo ni maumbile Mazuri Kwa Mtoto wala .
Hiyo Sababu ya kibarakashi kushindwa kukaa vizuri haina mantiki kabisa
Sasa usiombe ukutane na wadd wenye vyogo 🏃 🏃 🏃 rWe dada wanaume wenye chogo mbona tupo vizuri Tu , kimuonekano
Mkuu ndivyo wanavyosema wakaazi wa Zenjbar,
Mila za ovyo ni mgumu sana kuziondosha, mfano kukeketa watoto wa kike, pamoja na kelele zote bado,
Hivi sasa wanakeketa Hadi vitoto vichanga, Yani ni upumbavu wa Hali ya juu, kama hao wa vichogo tu,
Aiseee 🙌🙌Hawa wazanzibari shida sana.Ndiyo maana wakipata madaraka huku bara wanauza hovyo maliasili zetu sababu ya akili zao ziliharibiwa na tamaduni zao za kubonyezwa visogo vyao.
Mbona Mo Dewji ana kichogo, na ni bilionea, wewe usio na chogo una nini kumzidi,duniani kote wenye vichogo vilivyochongoka ni waafrika tu, na wao ndiyo wa mwisho kimaendeleo.
Wasio na vyogo ni tunawaonea imesanifishwa kutoka bilionea mix-up wa neno oneaMbona Mo Dewji ana kichogo, na ni bilionea, wewe usio na chogo una nini kumzidi,
Ukute demu Hana kichogo na pia Hana chura, akivaa dera kama kanzu tu,Wasio na vyogo ni tunawaonea imesanifishwa kutoka bilionea mix-up wa neno onea