Serikali Toeni Elimu Visiwani waache Tabia ya kuzuia watoto wachanga Wasipate VISOGO!

Serikali Toeni Elimu Visiwani waache Tabia ya kuzuia watoto wachanga Wasipate VISOGO!

Acheni kuongea vitu ambavyo hamna uhakika navo.
Hakuna mtoto anaeminywa kisogo
 
FaizaFoxy kwani kwenye mafundisho ya Dini yenu ya kiislamu yanasema Je?
Uislamu unasema mfanye hivyo AU muwanyanyapae watu wenye vichogo ?.

AU ni nyie Tu mumeamua kujiongeza.

NAomba majibu tafadhali
 
Watu wa Zanzibar waambiwe ukweli, waachane na hii Tabia, utamaduni wa hovyo.
Mtoto kuwa na kichogo ni haki yake , ni maumbile ya kibinaadam, haipaswi kubaguliwa
Halafu ndio wanakuja kuwa viongozi Bara, unakuta mtu kicha kimemsimama kama shoka la buchani,
Waelimishwe waache Mila potofu,
 
Mkuu Elimu bado ni tatizo Sana afrika
Sio elimu tu, wafrica ni wakatili sana, mfano ukeketaji Yani unamharibia Binti maisha angali mdogo kabisa,

Unamwondolea kitu ambacho faida yake anaiona ukubwani, anajikuta Hana antenna huku vijana wanataka wenye nazo, yeye anaonekana kituko,
 
Inatokea labda kuna tatizo limetokea wakati wa fungua AU mtoto akiwa tumboni Kwa mama yake,
Na hiyo urekebishwaji wa kichwa hufanyika hospital Kwa uangalizi wa waataamu wa AFYA.

Tofauti kabisa na Zanzibar, mtoto akazaliwa Tu na kichogo ni kosa , anatafutwa mtaalamu Tu wa jadi anaanza kugandamiza kichogo. Haya ni mazoe na tamaduni za hovyo Tu
Palikua na wakunga wa jadi kabla ya hawa wa kusomea wanaofanya watoto wawe na vitovu vikubwa,hilo la kusawazisha chogo lipo zanzibar kwa zaidi ya karne
 
Hupendelea kuwalaza kwa kuweka kichogo chin ndio maana icho kisogo hupotea na sio kwamba wanawabinya kisogo
Okay 👍, 👌 Hongera Kwa kukiri..

Kwani Sisi Huku Bara hatuwalazi watoto wetu , Kwa kuwaweka watoto kichogo chini.
tunawalaza lakini Bado , vichogo vyao vipo vimechongoka.

Nyie huko huwa mnaongezea mgandamizi kidogo kidogo, ili kichogo kipotee mapema.

Okay sawa tuje kwenye hoja yako , Mtoto kuwa na kichogo ni kosa? Mkuu elijaah Naomba majibu tafadhali
 
Sio elimu tu, wafrica ni wakatili sana, mfano ukeketaji Yani unamharibia Binti maisha angali mdogo kabisa,

Unamwondolea kitu ambacho faida yake anaiona ukubwani, anajikuta Hana antenna huku vijana wanataka wenye nazo, yeye anaonekana kituko,
Hawataki mtoto wa like asike utamu wa tendo pendwa kwako FaizaFoxy
 
Palikua na wakunga wa jadi kabla ya hawa wa kusomea wanaofanya watoto wawe na vitovu vikubwa,hilo la kusawazisha chogo lipo zanzibar kwa zaidi ya karne
Hilo swala la kitovu kikubwa ni itilafu Tu kwenye kukikata Sio Kwamba wanafanya makusudi.

Hao wakunga wa jadi walishindwa Tu kuongeza makalio Kwa Watkins dada ,wangepiga Hela sana kama wangeliweza hili.
Waacha wauze Dawa za kurefusha uume
 
Africa bado tuna safari kubwa kuelimishana
 
Kama hutaki mwanao awe na chogo, Basi fuata taratibu za kisheria.

Tafuta dkt bingwa wa watoto na ubongo , akupatie matibabu Kwa Mtoto wako na Sio, kumchukua mkunga wa jadi.
 
Okay 👍, 👌 Hongera Kwa kukiri..

Kwani Sisi Huku Bara hatuwalazi watoto wetu , Kwa kuwaweka watoto kichogo chini.
tunawalaza lakini Bado , vichogo vyao vipo vimechongoka.

Nyie huko huwa mnaongezea mgandamizi kidogo kidogo, ili kichogo kipotee mapema.

Okay sawa tuje kwenye hoja yako , Mtoto kuwa na kichogo ni kosa? Mkuu elijaah Naomba majibu tafadhali
Kwan vp kiafya kuna tatiz loloto mtot kulazwa kisogo kikiwa chini?

Sio kosa mtoto kuwa na kisogo mkuu
 
Kitendo cha kuvibonyeza, kuvikandamiza vichwa vya watoto wachanga ili kuzuia kichogo, bila kutumia wataalamu wa afya, hii inaweza kusababisha hitilafu ya ubongo Kwa Mtoto. Na Kwanza kitabibu hairuhusiwi kufanya kitendo kama hicho.

Serikali kupitia wizara ya AFYA, toeni elimu ya kutosha, hasa visiwani Zanzibar (Pemba, Unguja).

Hospitali ya Muhimbili kitengo cha watoto na kitengo cha ubongo, inawapasa kutoa elimu ya AFYA ya Mtoto hasa huko visiwani Zanzibar.

Wizara ya ustawi ya jamii jinsi na watoto, elimiso eni jamii, kwamba Mtoto kuwa na kichogo sio ukilema. Bali ni maumbile ya kawaida Kwa ukuaji wa mtoto pamoja na afya yake.

Maana wana wanyanyasa watoto vichanga, haya yote ni matokeo ya ukosefu wa elimu na Imani potofu huko visiwani Zanzibar.

Mtoto kuwa na kichogo Sio Kwamba atakuwa na muonekano mbaya AU Kwamba atachekwa na wenziwe shuleni, lahasha Bali, ni maumbile halisi ya kibinaadamu.

Wenyeji wa huko visiwani, heshimuni haki za watoto.
Wewe kama ni chogo hilo ni tatizo lako binafsi
 
Back
Top Bottom