Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inatokea labda kuna tatizo limetokea wakati wa fungua AU mtoto akiwa tumboni Kwa mama yake,Kwani wadhani bara vichwa havibandwi?..tungekua na machogo kama ugali wa jela ikiwa tusingebandwa
Wala hakandamizwi mtoto.Kitendo cha kuvibonyeza, kuvikandamiza vichwa vya watoto wachanga ili kuzuia kichogo, bila kutumia wataalamu wa afya, hii inaweza kusababisha hitilafu ya ubongo Kwa Mtoto. Na Kwanza kitabibu hairuhusiwi kufanya kitendo kama hicho.
Serikali kupitia wizara ya AFYA, toeni elimu ya kutosha, hasa visiwani Zanzibar (Pemba, Unguja).
Hospitali ya Muhimbili kitengo cha watoto na kitengo cha ubongo, inawapasa kutoa elimu ya AFYA ya Mtoto hasa huko visiwani Zanzibar.
Wizara ya ustawi ya jamii jinsi na watoto, elimisheni jamii, kwamba Mtoto kuwa na kichogo sio ukilema. Bali ni maumbile ya kawaida Kwa ukuaji wa mtoto pamoja na afya yake.
Maana wana wanyanyasa watoto vichanga, haya yote ni matokeo ya ukosefu wa elimu na Imani potofu huko visiwani Zanzibar.
Mtoto kuwa na kichogo Sio Kwamba atakuwa na muonekano mbaya AU Kwamba atachekwa na wenziwe shuleni, lahasha Bali, ni maumbile halisi ya kibinaadamu.
Wenyeji wa huko visiwani, heshimuni haki za watoto.
Kwa nini asitengenezewe baraghashia kulingana na komwe lake? Otherwise no comment!😀😀Wala hakandamizwi mtoto.
Mtoto anafungwa fungwa asijigeuze kulalia ubavu wa kichwa.
Hiyo watu wa Pwani tunafanya sana, siyo Zanzibar tu.
Mtoto atavaaje baraghashia akiwa na chogo kama isuzu za zamani?
Wanajinasibu kwa namna hiyo.Mkuu Kwani wazanzibar ni waarabu wote ?
Kwani kuvaa baraghashia ni lazima Kwa Mtoto,? Mbona munanishangaza nyie,Wala hakandamizwi mtoto.
Mtoto anafungwa fungwa asijigeuze kulalia ubavu wa kichwa.
Hiyo watu wa Pwani tunafanya sana, siyo Zanzibar tu.
Mtoto atavaaje baraghashia akiwa na chogo kama isuzu za zamani?
Na kwanini umwache mtoto awe na bichwa bapa?Kwa nini asitengenezewe baraghashia kulingana na komwe lake? Otherwise no comment!😀😀
Tushirikianee kuwaita wenzetu Django doer Nyamwi255 Half american Poor Brain AtotoMimi mwenyewe nina chogo
Nipoooo
Thubutu. Nani alikudanganya bichwa kama mkate wa kisu lina akili nyingi?Ili awe na akili Mingi,