Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari bila picha hainogi. Kibaragashia kitakaaje vizuri?Kitendo cha kuvibonyeza, kuvikandamiza vichwa vya watoto wachanga ili kuzuia kichogo, bila kutumia wataalamu wa afya, hii inaweza kusababisha hitilafu ya ubongo Kwa Mtoto. Na Kwanza kitabibu hairuhusiwi kufanya kitendo kama hicho.
Serikali kupitia wizara ya AFYA, toeni elimu ya kutosha, hasa visiwani Zanzibar (Pemba, Unguja).
Hospitali ya Muhimbili kitengo cha watoto na kitengo cha ubongo, inawapasa kutoa elimu ya AFYA ya Mtoto hasa huko visiwani Zanzibar.
Wizara ya ustawi ya jamii jinsi na watoto, elimisheni jamii, kwamba Mtoto kuwa na kichogo sio ukilema. Bali ni maumbile ya kawaida Kwa ukuaji wa mtoto pamoja na afya yake.
Maana wana wanyanyasa watoto vichanga, haya yote ni matokeo ya ukosefu wa elimu na Imani potofu huko visiwani Zanzibar.
Mtoto kuwa na kichogo Sio Kwamba atakuwa na muonekano mbaya AU Kwamba atachekwa na wenziwe shuleni, lahasha Bali, ni maumbile halisi ya kibinaadamu.
Wenyeji wa huko visiwani, heshimuni haki za watoto.
Njoo na takwimu.Imani potofu bado ni tatizo Sana visiwa Zanzibar,
Elimu ya kuhusu AFYA na ustawi wa Jamii inapaswa kutiliwa mkazo Sana huko visiwani Zanzibar
Kama wanachapa wasio wa imani yao wakila mchana basi jibu ni ndio. Mbona wabara huku hawako hivyo.Kwahiyo unataka kusema wazanzibari wote watakuwa na hitilafu ya ubongo,maana hiyo mila ina miaka mingi sana...
Yaani kumbe yote haya for the sake of Baraghashia? Oya So Poa.Wala hakandamizwi mtoto.
Mtoto anafungwa fungwa asijigeuze kulalia ubavu wa kichwa.
Hiyo watu wa Pwani tunafanya sana, siyo Zanzibar tu.
Mtoto atavaaje baraghashia akiwa na chogo kama isuzu za zamani?
Tunazo wapi?. Ziweke hapa. Otherwise ni fikra zako ndo zijadiliwe.Okay sawa,
Lakini takwimu munazo nyie wenyewe
Sasa Chogo kama bichwa la panzi la nini?Yaani kumbe yote haya for the sake of Baraghashia? Oya So Poa.
Wewe huoni kuwa hawakubali kujitegemea.Kwahiyo unataka kusema wazanzibari wote watakuwa na hitilafu ya ubongo,maana hiyo mila ina miaka mingi sana...
Baraghashia inashonwa kulingana na maumbile.Wala hakandamizwi mtoto.
Mtoto anafungwa fungwa asijigeuze kulalia ubavu wa kichwa.
Hiyo watu wa Pwani tunafanya sana, siyo Zanzibar tu.
Mtoto atavaaje baraghashia akiwa na chogo kama isuzu za zamani?
Mkuu kama utawawekea hapa hiyo taarifa ya hospital ya muhimbili nadhani itawaonesha uhalisia na madhara ya tatizo hiliKitendo cha kuvibonyeza, kuvikandamiza vichwa vya watoto wachanga ili kuzuia kichogo, bila kutumia wataalamu wa afya, hii inaweza kusababisha hitilafu ya ubongo Kwa Mtoto. Na Kwanza kitabibu hairuhusiwi kufanya kitendo kama hicho.
Serikali kupitia wizara ya AFYA, toeni elimu ya kutosha, hasa visiwani Zanzibar (Pemba, Unguja).
Hospitali ya Muhimbili kitengo cha watoto na kitengo cha ubongo, inawapasa kutoa elimu ya AFYA ya Mtoto hasa huko visiwani Zanzibar.
Wizara ya ustawi ya jamii jinsi na watoto, elimisheni jamii, kwamba Mtoto kuwa na kichogo sio ukilema. Bali ni maumbile ya kawaida Kwa ukuaji wa mtoto pamoja na afya yake.
Maana wana wanyanyasa watoto vichanga, haya yote ni matokeo ya ukosefu wa elimu na Imani potofu huko visiwani Zanzibar.
Mtoto kuwa na kichogo Sio Kwamba atakuwa na muonekano mbaya AU Kwamba atachekwa na wenziwe shuleni, lahasha Bali, ni maumbile halisi ya kibinaadamu.
Wenyeji wa huko visiwani, heshimuni haki za watoto.
Unataka kunifundisha mtu wa pwani kuhusu baraghashia?Baraghashia inashonwa kulingana na maumbile.
Kwa comment hii sidhani kama wewe upo kwenye kundi la wanaume kiufupi "UME LEFT" ukibisha bisha kwa hojaChogo Sio tatizo ni wewe 👆👆 mtazamo wako unamashaka
Kwa hiyo govi nalo ni haki, mbona lakatwa kama ni hakiNdio ni haki yake , amezaliwa nayo Kwa nini uibadilishe bila idhini yake.
Kwani Mungu ndio amesema ufanye hivyo?
Hahahaha