Serikali toeni hizo Combination za Dini hii siyo nchi ya kidini

Serikali toeni hizo Combination za Dini hii siyo nchi ya kidini

Attachments

  • Screenshot_20240321_131350_Samsung Internet.jpg
    Screenshot_20240321_131350_Samsung Internet.jpg
    383.1 KB · Views: 3
Nimeona wameongeza combi nyingi sana kwenye kwenye elimu ya advance jambo zuri ila lina ubaya wake pia

Niende kwenye mada nchi yetu sio ya kidini yaani haifungamani na dini yeyote ile sasa serikali kwanini imeweke masomo ya dini ya kiislam na kikristo kwenye mtaahala ni kurudisha nyuma taifa letu na kuleta mkanganyiko hizo elimu zitolewee miskitini na makanisani full stop visiweke kwenye mifumo rasimi ya kiserikali

Naandika haya najua madhara ya serikali kuanza kuweka vitu vya kidini kwenye mifumo rasmi ya serikali

Sasa mfano wakristo wana madhebu mengi mno walokole waroman wapentecoste ...haya waislam kuna shia kuna suni ....mtaafundishaje maana haya madhehebu huwa yanatofautiana kwenye mambo mbali mbali kama sio kuleta fujo na mikanganyiko

Hao walimu watalipwa na nani yaani serikali ilipe walimu wa dini kama kweli ndo tumefikia huku tena katika elimu ya advance watoto narudia wasome hizo elimu huko makanisani au misikitini na madrassa ....

Naamini raisi ajae ataliangalia hili labda huyu wa sasa kaona sawa.....tunaomba rais atakae kuja atoe haya madude sijui divinity/ukristo sijui islamic knowledge hayana umuhimu wa taifa ambalo liko nyuma kisayansi na kiteknlogy mnazidi kulipoteza taifa kuleta mambo imani kwenye ulimwengu wa elimu serious zinahitaji fact sio imani .... fact ni muhimu kuliko imani ndo maana wazungu wanatupita maana wanaamini katika fact sio imani......sasa sisi imani ndo tunataka kabisa iwe elimu rasmi ni uzwazwa...

TANZANIA SIO NCHI YA KIDINI NA HAIRUSIWA HATA KUONESHA DALILI HIZO NI HATARI MNO KUWEKA MASWALA YA DINI SERIKALI

Eti necta nao wako busy watunge mitihani sijui yesu alifanya nini mara sijui mtume alifanya nini ...

Tuiheshimu tanzania hasa tanganyika mambo ya dini hatutaki toeni....kama upande wa pili znz watapenda muwakeeni ila tanganyika haiwezi jengwa kamwe na mifumo hii mnayoleta TANGANYIKA TUNATAKA WATOTO WAWE BUSY NA ELIMU DUNIA ZAIDI.....

SIJUI MAKAMBA SIJUI MAKONDA SIJUI RIDHIWAN AU YEYOTE ATAYEKUJA KUWA RAIS BAADa ya mama samia atoe haya madini kwenye elimu rasmi hayana tija kwa taifa ... taifa linahitaji sana kuendelea upande wa elimu dunia...... sio elimu ahera

Daah
 
Madhara ni makubwa sana,mojawapo watoto wataamini hakuna haja ya kuwepo sayansi bali u

Masomo ya dini yanafundishwa Kwa muda mrefu hapa Tanzania kwenye shule za serikali na binafsi.Kwenye shule za serikali mwanafunzi huamua kusoma Kwa hiyari yake mwenyewe. Sijapata kusikia shida yoyote iliyosababishwa na hili.Tahasusi mpya ambazo zimeanzishwa na zinajumuisha masomo ya dini siyo lazima Kila mwanafunzi azisome.Ninavyoona Mimi wanaopinga wanahoja/hofu ambayo hawaiweki wazi.Mtoto wako asome tahasusi ambayo unaiona ni nzuri kati ya nyingi zilizopendekezwa.
Masomo yalikuwa kama ziada sio rasmi sasa hivi yamekuwa rasmi shida wengine sijui hata kama form six mlipita......sasa hivi yamewekea na combi ndo tuna pinga hapo
 
Wewe ni mpumbavu sana. Hakuna mwalimu wa dini anayelipwa na Serikali. Walimu wa dini wanaofundisha kwenye shule za msingi na sekondari wanalipwa na madhehebu yao husika na wala siyo waajiriwa wa Serikali. Ama kama inakuuma kuona kwamba Serikali italazimika kuajiri walimu wa kufundisha lugha ya Kiarabu mashuleni tambua kuwa Kiarabu si dini na lugha tu iliyokuwepo kabla hata ya Uislam. Kuna Wakristo kibao ni wajuzi wa lugha ya Kiarabu na wanaweza kuajiriwa pia kufundisha somo hilo. Mbona huhoji walimu wanaofundisha Kiingereza na Kifaransa mashuleni?
Sidhan kama Kuna mtu anakataa kiarabu shida ni divinity na Islamic sema wewe umekurupuka tu uko mwarabu wa buza
 
Wewe ndo mjinga zamani yalikuwa kama ziada yaani sio rasm sasa yana combination zake......
Hapo ndio wamefanya vyema zaidi na kukua kimitaala.
Hatuwezi kurudi nyuma tukaacha dini badala tukaongozwa na kandanda.
Tutakuwa sisi na mashetani na wanayama hatuna tofauti.
 
Huo utaratibu viongozi wa dini zote waliukataa. Muislam wa kweli na Mkristo wa kweli hawawezi kukubali watoto wao wafundishwe dini tofauti na zao. Kingine masomo ya dini ni hiyari nyie povu linawatoka la nini?
Viongozi wengi wa dini hawana elimu dunia, mawazo yao yanatakiwa kuchukuliwa kwa uangalifu mkubwa. Katika Religious studies watu hawafundishwi dini bali wanafundushwa "kuhusu" dini na imani tofauti za dunia, zilizopo sasa na zilizowahi kuwepo huko nyuma.
 
Seriki inapaswa kugharamia huduma zinazotumiwa na watu wote; haiingii akilini kodi walipe wote ( wenye dini na wasio na dini) ila huduma - Elimu - wapewe watoto wa waumini.
 
Kwenye shule za umma kulitakiwa kuwe na Religious studies, wanafunzi wajifunze kuhusu dini zote, sio kusoma kidini kama kanisani au msikitini.
Hapa nakupinga, dini haitakiwi kuingizwa kwenye mfumo wa elimu kabisa, tuwafundishe watoto wetu sayansi Sana kuliko vitu vya kufirika visivyokuwa na ukweli
 
Nimeona wameongeza combi nyingi sana kwenye kwenye elimu ya advance jambo zuri ila lina ubaya wake pia

Niende kwenye mada nchi yetu sio ya kidini yaani haifungamani na dini yeyote ile sasa serikali kwanini imeweke masomo ya dini ya kiislam na kikristo kwenye mtaahala ni kurudisha nyuma taifa letu na kuleta mkanganyiko hizo elimu zitolewee miskitini na makanisani full stop visiweke kwenye mifumo rasimi ya kiserikali

Naandika haya najua madhara ya serikali kuanza kuweka vitu vya kidini kwenye mifumo rasmi ya serikali

Sasa mfano wakristo wana madhebu mengi mno walokole waroman wapentecoste ...haya waislam kuna shia kuna suni ....mtaafundishaje maana haya madhehebu huwa yanatofautiana kwenye mambo mbali mbali kama sio kuleta fujo na mikanganyiko

Hao walimu watalipwa na nani yaani serikali ilipe walimu wa dini kama kweli ndo tumefikia huku tena katika elimu ya advance watoto narudia wasome hizo elimu huko makanisani au misikitini na madrassa ....

Naamini raisi ajae ataliangalia hili labda huyu wa sasa kaona sawa.....tunaomba rais atakae kuja atoe haya madude sijui divinity/ukristo sijui islamic knowledge hayana umuhimu wa taifa ambalo liko nyuma kisayansi na kiteknlogy mnazidi kulipoteza taifa kuleta mambo imani kwenye ulimwengu wa elimu serious zinahitaji fact sio imani .... fact ni muhimu kuliko imani ndo maana wazungu wanatupita maana wanaamini katika fact sio imani......sasa sisi imani ndo tunataka kabisa iwe elimu rasmi ni uzwazwa...

TANZANIA SIO NCHI YA KIDINI NA HAIRUSIWA HATA KUONESHA DALILI HIZO NI HATARI MNO KUWEKA MASWALA YA DINI SERIKALI

Eti necta nao wako busy watunge mitihani sijui yesu alifanya nini mara sijui mtume alifanya nini ...

Tuiheshimu tanzania hasa tanganyika mambo ya dini hatutaki toeni....kama upande wa pili znz watapenda muwakeeni ila tanganyika haiwezi jengwa kamwe na mifumo hii mnayoleta TANGANYIKA TUNATAKA WATOTO WAWE BUSY NA ELIMU DUNIA ZAIDI.....

SIJUI MAKAMBA SIJUI MAKONDA SIJUI RIDHIWAN AU YEYOTE ATAYEKUJA KUWA RAIS BAADa ya mama samia atoe haya madini kwenye elimu rasmi hayana tija kwa taifa ... taifa linahitaji sana kuendelea upande wa elimu dunia...... sio elimu ahera

Uko sawa mkuu
Kama tulizitoa lugha zetu mama na kuweka kiswahili
Watowe dini waweke somo la uzalendo
 
Kuna watu wanafani ya dini , yaani somo la dini ndo anafanya vizuri, kuna ubaya gani mtu kubobea kwenye dini yake!!
 
Hebu ainisha hilo kosa kisheria lipo wapi?
Serikali aina dini ...na sisi tunashanga kwanini mnataka dini mashuleni wakati mnaweza kufundisha kwenye mashule yenu binafsi...wauslamu wengi kwa sababu ya upumbavu wameshindwa kugundua njama za serikali dhalimu ya ccm na bakwata kuhusu ili jambo nitakuja kuwafumbua macho kilichopo nyuma ya ili jambo wala hakifanyiki kwa maslai ya waislamu bali bakwata na ccm
 
Back
Top Bottom