Nyamesocho
JF-Expert Member
- May 5, 2023
- 487
- 1,287
Hakuna,Kama yupo tupe referenceKwani hakuna wanasayansi wenye imani za dini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna,Kama yupo tupe referenceKwani hakuna wanasayansi wenye imani za dini?
Msomi wa kiislam. Huyo mmoja tuHakuna,Kama yupo tupe reference
DaahNimeona wameongeza combi nyingi sana kwenye kwenye elimu ya advance jambo zuri ila lina ubaya wake pia
Niende kwenye mada nchi yetu sio ya kidini yaani haifungamani na dini yeyote ile sasa serikali kwanini imeweke masomo ya dini ya kiislam na kikristo kwenye mtaahala ni kurudisha nyuma taifa letu na kuleta mkanganyiko hizo elimu zitolewee miskitini na makanisani full stop visiweke kwenye mifumo rasimi ya kiserikali
Naandika haya najua madhara ya serikali kuanza kuweka vitu vya kidini kwenye mifumo rasmi ya serikali
Sasa mfano wakristo wana madhebu mengi mno walokole waroman wapentecoste ...haya waislam kuna shia kuna suni ....mtaafundishaje maana haya madhehebu huwa yanatofautiana kwenye mambo mbali mbali kama sio kuleta fujo na mikanganyiko
Hao walimu watalipwa na nani yaani serikali ilipe walimu wa dini kama kweli ndo tumefikia huku tena katika elimu ya advance watoto narudia wasome hizo elimu huko makanisani au misikitini na madrassa ....
Naamini raisi ajae ataliangalia hili labda huyu wa sasa kaona sawa.....tunaomba rais atakae kuja atoe haya madude sijui divinity/ukristo sijui islamic knowledge hayana umuhimu wa taifa ambalo liko nyuma kisayansi na kiteknlogy mnazidi kulipoteza taifa kuleta mambo imani kwenye ulimwengu wa elimu serious zinahitaji fact sio imani .... fact ni muhimu kuliko imani ndo maana wazungu wanatupita maana wanaamini katika fact sio imani......sasa sisi imani ndo tunataka kabisa iwe elimu rasmi ni uzwazwa...
TANZANIA SIO NCHI YA KIDINI NA HAIRUSIWA HATA KUONESHA DALILI HIZO NI HATARI MNO KUWEKA MASWALA YA DINI SERIKALI
Eti necta nao wako busy watunge mitihani sijui yesu alifanya nini mara sijui mtume alifanya nini ...
Tuiheshimu tanzania hasa tanganyika mambo ya dini hatutaki toeni....kama upande wa pili znz watapenda muwakeeni ila tanganyika haiwezi jengwa kamwe na mifumo hii mnayoleta TANGANYIKA TUNATAKA WATOTO WAWE BUSY NA ELIMU DUNIA ZAIDI.....
SIJUI MAKAMBA SIJUI MAKONDA SIJUI RIDHIWAN AU YEYOTE ATAYEKUJA KUWA RAIS BAADa ya mama samia atoe haya madini kwenye elimu rasmi hayana tija kwa taifa ... taifa linahitaji sana kuendelea upande wa elimu dunia...... sio elimu ahera
Wewe ndo mjinga zamani yalikuwa kama ziada yaani sio rasm sasa yana combination zake......Acha utoto na ujinga wewe.Hayo masomo yapo zamani na hayajawahi kuleta shida.
Madhara ni makubwa sana,mojawapo watoto wataamini hakuna haja ya kuwepo sayansi bali u
Masomo yalikuwa kama ziada sio rasmi sasa hivi yamekuwa rasmi shida wengine sijui hata kama form six mlipita......sasa hivi yamewekea na combi ndo tuna pinga hapoMasomo ya dini yanafundishwa Kwa muda mrefu hapa Tanzania kwenye shule za serikali na binafsi.Kwenye shule za serikali mwanafunzi huamua kusoma Kwa hiyari yake mwenyewe. Sijapata kusikia shida yoyote iliyosababishwa na hili.Tahasusi mpya ambazo zimeanzishwa na zinajumuisha masomo ya dini siyo lazima Kila mwanafunzi azisome.Ninavyoona Mimi wanaopinga wanahoja/hofu ambayo hawaiweki wazi.Mtoto wako asome tahasusi ambayo unaiona ni nzuri kati ya nyingi zilizopendekezwa.
Sidhan kama Kuna mtu anakataa kiarabu shida ni divinity na Islamic sema wewe umekurupuka tu uko mwarabu wa buzaWewe ni mpumbavu sana. Hakuna mwalimu wa dini anayelipwa na Serikali. Walimu wa dini wanaofundisha kwenye shule za msingi na sekondari wanalipwa na madhehebu yao husika na wala siyo waajiriwa wa Serikali. Ama kama inakuuma kuona kwamba Serikali italazimika kuajiri walimu wa kufundisha lugha ya Kiarabu mashuleni tambua kuwa Kiarabu si dini na lugha tu iliyokuwepo kabla hata ya Uislam. Kuna Wakristo kibao ni wajuzi wa lugha ya Kiarabu na wanaweza kuajiriwa pia kufundisha somo hilo. Mbona huhoji walimu wanaofundisha Kiingereza na Kifaransa mashuleni?
Hapo ndio wamefanya vyema zaidi na kukua kimitaala.Wewe ndo mjinga zamani yalikuwa kama ziada yaani sio rasm sasa yana combination zake......
Viongozi wengi wa dini hawana elimu dunia, mawazo yao yanatakiwa kuchukuliwa kwa uangalifu mkubwa. Katika Religious studies watu hawafundishwi dini bali wanafundushwa "kuhusu" dini na imani tofauti za dunia, zilizopo sasa na zilizowahi kuwepo huko nyuma.Huo utaratibu viongozi wa dini zote waliukataa. Muislam wa kweli na Mkristo wa kweli hawawezi kukubali watoto wao wafundishwe dini tofauti na zao. Kingine masomo ya dini ni hiyari nyie povu linawatoka la nini?
Hapa nakupinga, dini haitakiwi kuingizwa kwenye mfumo wa elimu kabisa, tuwafundishe watoto wetu sayansi Sana kuliko vitu vya kufirika visivyokuwa na ukweliKwenye shule za umma kulitakiwa kuwe na Religious studies, wanafunzi wajifunze kuhusu dini zote, sio kusoma kidini kama kanisani au msikitini.
Ni ukweli kabisaMambo ya mzee ruksa yanarudi sasa. Hayo masomo ya dini hayalengi Wakristo.
Uko sawa mkuuNimeona wameongeza combi nyingi sana kwenye kwenye elimu ya advance jambo zuri ila lina ubaya wake pia
Niende kwenye mada nchi yetu sio ya kidini yaani haifungamani na dini yeyote ile sasa serikali kwanini imeweke masomo ya dini ya kiislam na kikristo kwenye mtaahala ni kurudisha nyuma taifa letu na kuleta mkanganyiko hizo elimu zitolewee miskitini na makanisani full stop visiweke kwenye mifumo rasimi ya kiserikali
Naandika haya najua madhara ya serikali kuanza kuweka vitu vya kidini kwenye mifumo rasmi ya serikali
Sasa mfano wakristo wana madhebu mengi mno walokole waroman wapentecoste ...haya waislam kuna shia kuna suni ....mtaafundishaje maana haya madhehebu huwa yanatofautiana kwenye mambo mbali mbali kama sio kuleta fujo na mikanganyiko
Hao walimu watalipwa na nani yaani serikali ilipe walimu wa dini kama kweli ndo tumefikia huku tena katika elimu ya advance watoto narudia wasome hizo elimu huko makanisani au misikitini na madrassa ....
Naamini raisi ajae ataliangalia hili labda huyu wa sasa kaona sawa.....tunaomba rais atakae kuja atoe haya madude sijui divinity/ukristo sijui islamic knowledge hayana umuhimu wa taifa ambalo liko nyuma kisayansi na kiteknlogy mnazidi kulipoteza taifa kuleta mambo imani kwenye ulimwengu wa elimu serious zinahitaji fact sio imani .... fact ni muhimu kuliko imani ndo maana wazungu wanatupita maana wanaamini katika fact sio imani......sasa sisi imani ndo tunataka kabisa iwe elimu rasmi ni uzwazwa...
TANZANIA SIO NCHI YA KIDINI NA HAIRUSIWA HATA KUONESHA DALILI HIZO NI HATARI MNO KUWEKA MASWALA YA DINI SERIKALI
Eti necta nao wako busy watunge mitihani sijui yesu alifanya nini mara sijui mtume alifanya nini ...
Tuiheshimu tanzania hasa tanganyika mambo ya dini hatutaki toeni....kama upande wa pili znz watapenda muwakeeni ila tanganyika haiwezi jengwa kamwe na mifumo hii mnayoleta TANGANYIKA TUNATAKA WATOTO WAWE BUSY NA ELIMU DUNIA ZAIDI.....
SIJUI MAKAMBA SIJUI MAKONDA SIJUI RIDHIWAN AU YEYOTE ATAYEKUJA KUWA RAIS BAADa ya mama samia atoe haya madini kwenye elimu rasmi hayana tija kwa taifa ... taifa linahitaji sana kuendelea upande wa elimu dunia...... sio elimu ahera
Dini za kazi gani mashuleni ya serikali [emoji117][emoji205][emoji205][emoji205]Kwenye shule za umma kulitakiwa kuwe na Religious studies, wanafunzi wajifunze kuhusu dini zote, sio kusoma kidini kama kanisani au msikitini.
Serikali aina dini ...na sisi tunashanga kwanini mnataka dini mashuleni wakati mnaweza kufundisha kwenye mashule yenu binafsi...wauslamu wengi kwa sababu ya upumbavu wameshindwa kugundua njama za serikali dhalimu ya ccm na bakwata kuhusu ili jambo nitakuja kuwafumbua macho kilichopo nyuma ya ili jambo wala hakifanyiki kwa maslai ya waislamu bali bakwata na ccmHebu ainisha hilo kosa kisheria lipo wapi?