Serikali toeni hizo Combination za Dini hii siyo nchi ya kidini

Serikali toeni hizo Combination za Dini hii siyo nchi ya kidini

Masomo ya dini yanafundishwa Kwa muda mrefu hapa Tanzania kwenye shule za serikali na binafsi.Kwenye shule za serikali mwanafunzi huamua kusoma Kwa hiyari yake mwenyewe. Sijapata kusikia shida yoyote iliyosababishwa na hili.Tahasusi mpya ambazo zimeanzishwa na zinajumuisha masomo ya dini siyo lazima Kila mwanafunzi azisome.Ninavyoona Mimi wanaopinga wanahoja/hofu ambayo hawaiweki wazi.Mtoto wako asome tahasusi ambayo unaiona ni nzuri kati ya nyingi zilizopendekezwa.
Ndiyo maana tumeanza kushuhudia magaidi na mitume feki ya kikristo kwa sababu ya huu upumbavu ushabiki wakidini hadi mashuleni ..miaka ya nyuma huu upuuzi ulikuwa ni ngumu sana kufanyika
 
Wasiwasi wako ni nini?, je ingewekwa comb. ya dini moja siungepasuka.
 
Masomo yalikuwa kama ziada sio rasmi sasa hivi yamekuwa rasmi shida wengine sijui hata kama form six mlipita......sasa hivi yamewekea na combi ndo tuna pinga hapo
Bado Sijapata mantiki ya hoja ya kupinga tahasusi mpya.Ina maana mwanafunzi anaposoma Somo la dini na masomo mengine mawili tena Kwa hiyari yake ni madhara gani hutokea?.Mbona wanapoenda vyuo vikuu zipo shahada zinazohusu dini.Nilidhani labda watakosa maarifa ya awali wanapoanza shahada zao lakini hujagusia hilo.
 
Viongozi wengi wa dini hawana elimu dunia, mawazo yao yanatakiwa kuchukuliwa kwa uangalifu mkubwa. Katika Religious studies watu hawafundishwi dini bali wanafundushwa "kuhusu" dini na imani tofauti za dunia, zilizopo sasa na zilizowahi kuwepo huko nyuma.
Hii ni philosophy nafkir ipo kwen general studies.
 
Nimeona wameongeza combi nyingi sana kwenye kwenye elimu ya advance jambo zuri ila lina ubaya wake pia

Niende kwenye mada nchi yetu sio ya kidini yaani haifungamani na dini yeyote ile sasa serikali kwanini imeweke masomo ya dini ya kiislam na kikristo kwenye mtaahala ni kurudisha nyuma taifa letu na kuleta mkanganyiko hizo elimu zitolewee miskitini na makanisani full stop visiweke kwenye mifumo rasimi ya kiserikali

Naandika haya najua madhara ya serikali kuanza kuweka vitu vya kidini kwenye mifumo rasmi ya serikali

Sasa mfano wakristo wana madhebu mengi mno walokole waroman wapentecoste ...haya waislam kuna shia kuna suni ....mtaafundishaje maana haya madhehebu huwa yanatofautiana kwenye mambo mbali mbali kama sio kuleta fujo na mikanganyiko

Hao walimu watalipwa na nani yaani serikali ilipe walimu wa dini kama kweli ndo tumefikia huku tena katika elimu ya advance watoto narudia wasome hizo elimu huko makanisani au misikitini na madrassa ....

Naamini raisi ajae ataliangalia hili labda huyu wa sasa kaona sawa.....tunaomba rais atakae kuja atoe haya madude sijui divinity/ukristo sijui islamic knowledge hayana umuhimu wa taifa ambalo liko nyuma kisayansi na kiteknlogy mnazidi kulipoteza taifa kuleta mambo imani kwenye ulimwengu wa elimu serious zinahitaji fact sio imani .... fact ni muhimu kuliko imani ndo maana wazungu wanatupita maana wanaamini katika fact sio imani......sasa sisi imani ndo tunataka kabisa iwe elimu rasmi ni uzwazwa...

TANZANIA SIO NCHI YA KIDINI NA HAIRUSIWA HATA KUONESHA DALILI HIZO NI HATARI MNO KUWEKA MASWALA YA DINI SERIKALI

Eti necta nao wako busy watunge mitihani sijui yesu alifanya nini mara sijui mtume alifanya nini ...

Tuiheshimu tanzania hasa tanganyika mambo ya dini hatutaki toeni....kama upande wa pili znz watapenda muwakeeni ila tanganyika haiwezi jengwa kamwe na mifumo hii mnayoleta TANGANYIKA TUNATAKA WATOTO WAWE BUSY NA ELIMU DUNIA ZAIDI.....

SIJUI MAKAMBA SIJUI MAKONDA SIJUI RIDHIWAN AU YEYOTE ATAYEKUJA KUWA RAIS BAADa ya mama samia atoe haya madini kwenye elimu rasmi hayana tija kwa taifa ... taifa linahitaji sana kuendelea upande wa elimu dunia...... sio elimu ahera

Hivi serikali inafundisha dini ili iwaje?
 
Jambo usilolijua mtoa mada dini aiwezi tengna na siasa kwani dini na siasa za utawala mpango wao ni mmoja.
 
hakuna kutumika kodi za raia kwenye dini.kwani hao watoto wanaosoma hayo masomo ya dini si ndo wazazi wao wanalipa hizo kodi?
Hoja ya muda. Nakataa sababu hata elimu ya dini nayo ni elimu inayotakiwa ipewe muda tena wa kutosha.kusoma dini sio kupoteza muda.
Kodi zikikusanywa huwa zina alama hii imetoka kwa mwabudu mawe, hii kwa muislamu, hii kwa mkristo..kodi ninayotoa mimi mkristo sitaki itumike kulipa mshahara wa mwalimu anayefundisha dini nyingine..lakin pia, kwa vile ni utashi wa mwanafunzi kuchagua combi inaweza tokea wanafunzi wa dini moja wanaosoma dini yao ni wachache halafu wanaosoma dini nyingine ni wengi matokeo ni km watu wa dini yenye wanafunzi wachache wanagharimia masomo ya dini isiyo yao ambayo ina wanafunzi wengi!
 
Nimeona wameongeza combi nyingi sana kwenye kwenye elimu ya advance jambo zuri ila lina ubaya wake pia

Niende kwenye mada nchi yetu sio ya kidini yaani haifungamani na dini yeyote ile sasa serikali kwanini imeweke masomo ya dini ya kiislam na kikristo kwenye mtaahala ni kurudisha nyuma taifa letu na kuleta mkanganyiko hizo elimu zitolewee miskitini na makanisani full stop visiweke kwenye mifumo rasimi ya kiserikali

Naandika haya najua madhara ya serikali kuanza kuweka vitu vya kidini kwenye mifumo rasmi ya serikali

Sasa mfano wakristo wana madhebu mengi mno walokole waroman wapentecoste ...haya waislam kuna shia kuna suni ....mtaafundishaje maana haya madhehebu huwa yanatofautiana kwenye mambo mbali mbali kama sio kuleta fujo na mikanganyiko

Hao walimu watalipwa na nani yaani serikali ilipe walimu wa dini kama kweli ndo tumefikia huku tena katika elimu ya advance watoto narudia wasome hizo elimu huko makanisani au misikitini na madrassa ....

Naamini raisi ajae ataliangalia hili labda huyu wa sasa kaona sawa.....tunaomba rais atakae kuja atoe haya madude sijui divinity/ukristo sijui islamic knowledge hayana umuhimu wa taifa ambalo liko nyuma kisayansi na kiteknlogy mnazidi kulipoteza taifa kuleta mambo imani kwenye ulimwengu wa elimu serious zinahitaji fact sio imani .... fact ni muhimu kuliko imani ndo maana wazungu wanatupita maana wanaamini katika fact sio imani......sasa sisi imani ndo tunataka kabisa iwe elimu rasmi ni uzwazwa...

TANZANIA SIO NCHI YA KIDINI NA HAIRUSIWA HATA KUONESHA DALILI HIZO NI HATARI MNO KUWEKA MASWALA YA DINI SERIKALI

Eti necta nao wako busy watunge mitihani sijui yesu alifanya nini mara sijui mtume alifanya nini ...

Tuiheshimu tanzania hasa tanganyika mambo ya dini hatutaki toeni....kama upande wa pili znz watapenda muwakeeni ila tanganyika haiwezi jengwa kamwe na mifumo hii mnayoleta TANGANYIKA TUNATAKA WATOTO WAWE BUSY NA ELIMU DUNIA ZAIDI.....

SIJUI MAKAMBA SIJUI MAKONDA SIJUI RIDHIWAN AU YEYOTE ATAYEKUJA KUWA RAIS BAADa ya mama samia atoe haya madini kwenye elimu rasmi hayana tija kwa taifa ... taifa linahitaji sana kuendelea upande wa elimu dunia...... sio elimu ahera

Zibaki hapo hapo,

Mungu ana umuhimu ktk maisha yetu,

Wazazi hawana muda wa kukaa na watoto, huko mashuleni nahisi ni muhimu wakafundishwa.
 
Ndg tunapambana na kufufua maadili kuanzia ngazi ya familia hadi shule chuo.
Ufisadi usiomithirika wa sasa tumekubaliana chanzo ni tamaa na ubinafsi uliopitiliza kwa kukosa hofu ya Mungu!
(kumcha Mungu ni chanzo cha maarifa)
Hadi kiongozi/mtumishi anaiba kiasi hata asichojua ni cha nini!
....Nashauri pia serkali tuliwekee mkazo wa kimtaala somo la saikolojia na sociolojia ili kupamabana na kiasi kikubwa cha tatizo la afya ya akili nchini!
Ukienda makanisani hasa yanayojinasibu kwa miujiza ndo utaelewa ukubwa wa tatizo! kuanzia wasomi hadi mbumbumbu wanahangaika na miujiza! sio tena kuutafuta ufalme wa Mungu wala baraka katika utendaji wao!(kuna kanisa Pastor anapiga simu mbinguni Mungu anatuma muamala na waumin wanaamin na kuwasha simu kama fiesta)
 
Zibaki hapo hapo,

Mungu ana umuhimu ktk maisha yetu,

Wazazi hawana muda wa kukaa na watoto, huko mashuleni nahisi ni muhimu wakafundishwa.
Mfundishiwe katika makanisa na misikiti yenu
 
Back
Top Bottom