Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo kwa akili zako unadhani Dubai ilikuwa vile na ipo vile kwa asili tu au kwa kutokea tu??Dubai unaifananisha na arusha
Wewe ndo huna-exposure kama kilimanjaro marathano serikali imeshindwa kuiboresha na hatimaye kuvutia watalii sembuse hio landrover festivalTatizo lenu ni ushamba tu na kukosa exposure!
Mbaya zaidi hamjui dunia inavyoenda. Tokeni vijijini huko tafuteni hata passport muende nje ya Tanzania kwenye mataifa ya wenye akili mjione kuwa mnaishi zama za mawe.
We ndo mshamba kuiweka dubai na arusha sentensi mojaKwa hiyo kwa akili zako unadhani Dubai ilikuwa vile na ipo vile kwa asili tu au kwa kutokea tu??
Hujui kwa nini Dubai inakuwa kivutio kwa watu wengi duniani? Unadhani ni kwa sababu ya akili zenu za kishamba hizo?
Makubwa sana......nasikia.....Mtoto wa Sita aah au basiiiMakonda ana makalio makubwa
Land Rover is well known brand! Tena Worldwide!Kwa nini isiwe Maasai Festival?
Tafuta passport member nje ya Tanzania upate hata exposure. Ushamba mzigo sanaWe ndo mshamba kuiweka dubai na arusha sentensi moja
Mtalii aje ashangae msafara wa landrover hiki ni kibwekaLand Rover is well known brand! Tena Worldwide!
Pia kwa mujibu wa maelezo ya wanedesha watalii ndo gari ya kwanza kutumika kuingiza watalii mbugani. So kuna sababu ya msingi kuifanya hivyo.
Hii hata akiisikia mrusi atashawishika kusafiri kuja kushiriki kutoka Urusi.
Utamaduni wa Mmasai unaweza kuweka kama package ya vitu vitakavyokuwa displayed kwenye hilo Tamasha. Ni akili tu
Mtalii aje ashangae msafara wa landrover arusha na unajiona kabisa unaakiliTafuta passport member nje ya Tanzania upate hata exposure. Ushamba mzigo sana
Wale watalii walioshiriki jana hujawaona?Mtalii aje ashangae msafara wa landrover hiki ni kibweka
Kiwanda cha nyumbu tangu kiumbwe kimeshatengeneza magari mangapi?Ni ubunifu wa kijinga kutangaza biashara zisizo zenu. Bora ubunifu ungehusisha gari za Masoud Kipanya au gari la Nyumbu liliotengezwa Tanzania. Au ingekuwa afadhali kama Tanzania tungekuwa na hisa kwenye kiwanda cha landrover.
Tunaweza kuboresha KLM marathon na hili la landrover likatazamwa lisipotelee hewani.Wewe ndo huna-exposure kama kilimanjaro marathano serikali imeshindwa kuiboresha na hatimaye kuvutia watalii sembuse hio landrover festival
Mtalii anataka kitu cha utofauti ili atembelee nchi yako
Hamna baya tajiriWenye subaru mnatuchukuliaje lkn? Haahaha
Liambatane na wiki ya Utalii,Kili ExpoUbunifu ndo bidhaa adimu zaidi kwa sasa duniani ambayo endapo utaitumia vizuri unaweza kujihakikishia una survive vizuri katika dunia hii ya ushindani mkubwa.
Kwa miaka mingi, Tanzania imekuwa ikisemwa kuwa na vivutio vingi ikiwemo rasilimali, mbuga, wanyama ila kwa bahati mbaya haijaweza kuvitumia ipasavyo na kupata faida ya kweli.
Nimeshawahi kusema mara nyingi humu kuwa shida kubwa tuliyonayo watanzania ni matumizi sahihi ya rasilimali akili ambayo endapo tungeitumia vizuri tungeweza kufika mbali sana na wananchi wetu wakawa na maisha mazuri sana.
Kwa sasa duniani, Utalii ndo bidhaa ya kukupa hela nyingi zaidi kwa urahisi zaidi. Hivyo tukiutumia huu utalii vizuri inawezekana sana tukawa nchi yenye uchumi mkubwa sana.
Kama nilivyosema kwenye uzi wangu wa jana. Ubunifu uliofanywa kuhusu Land Rover Festival ni jambo kubwa sana ambalo pamoja na kutakiwa kupongezwa, ni jambo linalotakiwa kuwekewa mkakati maalum kuanzia sasa na kufanywa kama tukio kubwa zaidi la kuleta watalii wengi zaidi kutoka maeneo mbalimbali Duniani.
Tukio hili tayari limeshawafikia watu wengi katika media za kimataifa hivyo ni vyema kwa Serikali sasa kuliwekea mkakati rasmi ili liwe na muendelezo mzuri na ikiwezekana liwe tukio kubwa zaidi la kiutalii kwa Afrika.
Nategemea sasa Serikali wataweka miguu yote kwenye tukio hili na kilibrand zaidi ambapo kwa mwaka kesho washiriki watapata kuona vitu vingi zaidi vinavyohusiana na Tanzania ikiwemo utamaduni, mziki, vivutio, madini na mambo mbalimbali.
Kazi kwenu Serikali. Tunatarajia sasa tufunguke zaidi na tusiitwe tena a Sleeping giant of East Africa.
Alichofanya jana makonda kamwe hakiwezi vutia watalii sana sana kinaonyesha ufahari wa watuTunaweza kuboresha KLM marathon na hili la landrover likatazamwa lisipotelee hewani.
Binadamu anataka sababu ya kustarehe baada ya kazi. Makonda yupo sahihi, mji wa Arusha ulipata ugeni jana kutoka nchi jirani. Imagine iwapo itaendelea hivi kila mwaka. Kwanini watalii wasiwepo?
madem wana shenyentwa balaa 😂Bro!!! Kama demu wako alienda peke yake arusha Festival ninakupa Pole.(hata kama alikwambia naenda na friends)
Kwenye Festival kama hivi mademu huwa wanapigwa sana kuni *****!!!
Kwa hio ni Carnival sio Festival tena?Bro!!! Kama demu wako alienda peke yake arusha Festival ninakupa Pole.(hata kama alikwambia naenda na friends)
Kwenye Festival kama hivi mademu huwa wanapigwa sana kuni *****!!!
Tatizo una roho mbaya na chuki dhidi ya aliyepewa/ mwenyenacho.Alichofanya jana makonda kamwe hakiwezi vutia watalii sana sana kinaonyesha ufahari wa watu
Kila mzungu unayemuona hapa tanzania unazani ni mtalii kwa akili hizi tunasafari ndefu sanaWale watalii walioshiriki jana hujawaona?