Serikali: Toeni tamko Land Rover Festival liwe tukio rasmi la kufanywa kila mwaka kama tukio kubwa zaidi la kiutalii kwa Kanda ya Kaskazini

Serikali: Toeni tamko Land Rover Festival liwe tukio rasmi la kufanywa kila mwaka kama tukio kubwa zaidi la kiutalii kwa Kanda ya Kaskazini

Ubunifu ndo bidhaa adimu zaidi kwa sasa duniani ambayo endapo utaitumia vizuri unaweza kujihakikishia una survive vizuri katika dunia hii ya ushindani mkubwa.

Kwa miaka mingi, Tanzania imekuwa ikisemwa kuwa na vivutio vingi ikiwemo rasilimali, mbuga, wanyama ila kwa bahati mbaya haijaweza kuvitumia ipasavyo na kupata faida ya kweli.

Nimeshawahi kusema mara nyingi humu kuwa shida kubwa tuliyonayo watanzania ni matumizi sahihi ya rasilimali akili ambayo endapo tungeitumia vizuri tungeweza kufika mbali sana na wananchi wetu wakawa na maisha mazuri sana.

Kwa sasa duniani, Utalii ndo bidhaa ya kukupa hela nyingi zaidi kwa urahisi zaidi. Hivyo tukiutumia huu utalii vizuri inawezekana sana tukawa nchi yenye uchumi mkubwa sana.


Kama nilivyosema kwenye uzi wangu wa jana. Ubunifu uliofanywa kuhusu Land Rover Festival ni jambo kubwa sana ambalo pamoja na kutakiwa kupongezwa, ni jambo linalotakiwa kuwekewa mkakati maalum kuanzia sasa na kufanywa kama tukio kubwa zaidi la kuleta watalii wengi zaidi kutoka maeneo mbalimbali Duniani.

Tukio hili tayari limeshawafikia watu wengi katika media za kimataifa hivyo ni vyema kwa Serikali sasa kuliwekea mkakati rasmi ili liwe na muendelezo mzuri na ikiwezekana liwe tukio kubwa zaidi la kiutalii kwa Afrika.

Nategemea sasa Serikali wataweka miguu yote kwenye tukio hili na kilibrand zaidi ambapo kwa mwaka kesho washiriki watapata kuona vitu vingi zaidi vinavyohusiana na Tanzania ikiwemo utamaduni, mziki, vivutio, madini na mambo mbalimbali.

Kazi kwenu Serikali. Tunatarajia sasa tufunguke zaidi na tusiitwe tena a Sleeping giant of East Africa.

Ili wapromote land rover? Why not Toyota mkonga zilizojaa mbugani? Una uhakika land rover ni nyingi kuliko mkonga? Why so special? Muwe mnajiongeza hata kama elimu yenu ni ya kukariri. Ukiona maK anapigia debe sana kitu ujue kuna makubwa nyuma ya pazia!
 
Kila mzungu unayemuona hapa tanzania unazani ni mtalii kwa akili hizi tunasafari ndefu sana

Wazungu wengine wanakuja hapa Tanzania ni ma-expert na hawana mda wa kutalii wengine ni volunteer
Kwa hiyo wazungu wote walioshiriki jana umezungumza nao na wamekujibu kuwa wao ni experts? Hongera sana
 
Ili wapromote land rover? Why not Toyota mkonga zilizojaa mbugani? Una uhakika land rover ni nyingi kuliko mkonga? Why so special? Muwe mnajiongeza hata kama elimu yenu ni ya kukariri. Ukiona maK anapigia debe sana kitu ujue kuna makubwa nyuma ya pazia!
Kwa nini tuna siku ya kuadhimisha kifo cha Nyerere na hatuna siku ya kuadhimiaha kifo cha Babu yako?
 
Ili wapromote land rover? Why not Toyota mkonga zilizojaa mbugani? Una uhakika land rover ni nyingi kuliko mkonga? Why so special? Muwe mnajiongeza hata kama elimu yenu ni ya kukariri. Ukiona maK anapigia debe sana kitu ujue kuna makubwa nyuma ya pazia!
Makonda baada ya kununu landrover kaamua kuanzisha festival ya landrover
 
Kwa nini tuna siku ya kuadhimisha kifo cha Nyerere na hatuna siku ya kuadhimiaha kifo cha Babu yako?

Out of context ndo maana mnafeli! Unajuaje kwamba Nyerere sio babu yangu? Unanifahamu? Muwe mnajiongeza kijana
 
Ubunifu ndo bidhaa adimu zaidi kwa sasa duniani ambayo endapo utaitumia vizuri unaweza kujihakikishia una survive vizuri katika dunia hii ya ushindani mkubwa.

Kwa miaka mingi, Tanzania imekuwa ikisemwa kuwa na vivutio vingi ikiwemo rasilimali, mbuga, wanyama ila kwa bahati mbaya haijaweza kuvitumia ipasavyo na kupata faida ya kweli.

Nimeshawahi kusema mara nyingi humu kuwa shida kubwa tuliyonayo watanzania ni matumizi sahihi ya rasilimali akili ambayo endapo tungeitumia vizuri tungeweza kufika mbali sana na wananchi wetu wakawa na maisha mazuri sana.

Kwa sasa duniani, Utalii ndo bidhaa ya kukupa hela nyingi zaidi kwa urahisi zaidi. Hivyo tukiutumia huu utalii vizuri inawezekana sana tukawa nchi yenye uchumi mkubwa sana.


Kama nilivyosema kwenye uzi wangu wa jana. Ubunifu uliofanywa kuhusu Land Rover Festival ni jambo kubwa sana ambalo pamoja na kutakiwa kupongezwa, ni jambo linalotakiwa kuwekewa mkakati maalum kuanzia sasa na kufanywa kama tukio kubwa zaidi la kuleta watalii wengi zaidi kutoka maeneo mbalimbali Duniani.

Tukio hili tayari limeshawafikia watu wengi katika media za kimataifa hivyo ni vyema kwa Serikali sasa kuliwekea mkakati rasmi ili liwe na muendelezo mzuri na ikiwezekana liwe tukio kubwa zaidi la kiutalii kwa Afrika.

Nategemea sasa Serikali wataweka miguu yote kwenye tukio hili na kilibrand zaidi ambapo kwa mwaka kesho washiriki watapata kuona vitu vingi zaidi vinavyohusiana na Tanzania ikiwemo utamaduni, mziki, vivutio, madini na mambo mbalimbali.

Kazi kwenu Serikali. Tunatarajia sasa tufunguke zaidi na tusiitwe tena a Sleeping giant of East Africa.
Ana promote utalii au anatangaza biashara ya land rover ya wazungu why not Nyumbu Festival.
 
Ana promote utalii au anatangaza biashara ya land rover ya wazungu why not Nyumbu Festival.
Kuna mtalii atatoka Urusi kuja kushiriki nyumbu festival?

Gari Burundi tu hamuiuzi ndo mtu aje kutoka taifa la mbali kiasi hicho aje kushiriki?
 
Ubunifu ndo bidhaa adimu zaidi kwa sasa duniani ambayo endapo utaitumia vizuri unaweza kujihakikishia una survive vizuri katika dunia hii ya ushindani mkubwa.

Kwa miaka mingi, Tanzania imekuwa ikisemwa kuwa na vivutio vingi ikiwemo rasilimali, mbuga, wanyama ila kwa bahati mbaya haijaweza kuvitumia ipasavyo na kupata faida ya kweli.

Nimeshawahi kusema mara nyingi humu kuwa shida kubwa tuliyonayo watanzania ni matumizi sahihi ya rasilimali akili ambayo endapo tungeitumia vizuri tungeweza kufika mbali sana na wananchi wetu wakawa na maisha mazuri sana.

Kwa sasa duniani, Utalii ndo bidhaa ya kukupa hela nyingi zaidi kwa urahisi zaidi. Hivyo tukiutumia huu utalii vizuri inawezekana sana tukawa nchi yenye uchumi mkubwa sana.


Kama nilivyosema kwenye uzi wangu wa jana. Ubunifu uliofanywa kuhusu Land Rover Festival ni jambo kubwa sana ambalo pamoja na kutakiwa kupongezwa, ni jambo linalotakiwa kuwekewa mkakati maalum kuanzia sasa na kufanywa kama tukio kubwa zaidi la kuleta watalii wengi zaidi kutoka maeneo mbalimbali Duniani.

Tukio hili tayari limeshawafikia watu wengi katika media za kimataifa hivyo ni vyema kwa Serikali sasa kuliwekea mkakati rasmi ili liwe na muendelezo mzuri na ikiwezekana liwe tukio kubwa zaidi la kiutalii kwa Afrika.

Nategemea sasa Serikali wataweka miguu yote kwenye tukio hili na kilibrand zaidi ambapo kwa mwaka kesho washiriki watapata kuona vitu vingi zaidi vinavyohusiana na Tanzania ikiwemo utamaduni, mziki, vivutio, madini na mambo mbalimbali.

Kazi kwenu Serikali. Tunatarajia sasa tufunguke zaidi na tusiitwe tena a Sleeping giant of East Africa.
Mambo ya kina Pdidy
 
Hili tukio la jana lilifurahiwa sana na watengenezaji wa magari haya maana walipewa free promotion bila hata kulipia Tangazo. Angalizo tu ni kwamba watengenezaji wa magari wengine wasije kulalamika kwamba serikali ina upendeleo wa wazi kwa gari za aina hii za Land rovers na ni anti competition. ni Angalizo tu... Mkuu wa mkoa aweke wazi kwamba hii Land rover festival haina uhusiano wa moja kwa moja na serikali, vinginevyo huko mbeleni ni mziki mtamu sana.
 
Hili tukio la jana lilifurahiwa sana na watengenezaji wa magari haya maana walipewa free promotion bila hata kulipia Tangazo. Angalizo tu ni kwamba watengenezaji wa magari wengine wasije kulalamika kwamba serikali ina upendeleo wa wazi kwa gari za aina hii za Land rovers na ni anti competition. ni Angalizo tu... Mkuu wa mkoa aweke wazi kwamba hii Land rover festival haina uhusiano wa moja kwa moja na serikali, vinginevyo huko mbeleni ni mziki mtamu sana.
Imesemwa kwa nini Land Rover.

Ndo gari ya kwanza kupeleka watalii mbugani miaka ya zamani biashara ilipoanza.

Hakuna shida ikitumika kwa maslahi ya uchumi wa Nchi
Ingekuwa kosa kama Serikali ingetoa Tangazo kwa wananchi kuwakataza kutotumia gari yeyote zaidi ya Land Rover.
 
Pamoja na kuwa member ya siku nyingi humu unaonekana bado sio mzoefu wa hili jukwaa kama leo unaniita mimi makonda

My brother inaonekana una shida ya ufahamu hujaona neno "huenda" nani anakujua kwa majina feki ya jf? Sikujui wala hunijui so cool down
 
Back
Top Bottom