DOKEZO Serikali tusaidieni wananchi, magari yanayouzwa kwenye yard za Wapakistan mitaa ya Morocco na Victoria ni mabovu sana

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Wamefuta 1 au 2 yaani ilikuwa na km217,000 au km117,000. Gari wanajua ni nzuri pamoja na km hizo ila wanajua ukiona hizo km hutanunua kwahio wanafuta tu hio 1 au 2 kukuridhisha. Gari ya 2002 itakuwaje na km12,000?
Niliagiza kutoka japan baada ya kuangalia details zote kwenye mtandao, unaweza kuta ilikuwa haitumiki mara kwa mara au mwenye gari hana safari au mizunguko mingi, au alikuwa na gari nyingine pia. Japan siyo kama bongo ambapo wengi wanakuwa na gari moja na wanazurura huku na huko bila mpangilio, wajapan wengi wana discipline ya hali ya juu ya maisha...​
 
Gari yoyote used kutoka nje haikosi hitilafu mkuu
Labda mtu akanunue showroom toyota au dt dobie mapugu Road huko

Ova

Sio kweli nina gari nimenunua mwaka wa tatu huu naitumia na nimesha badilisha tairi mara mbili kwa jinsi ninavyo safiri nayo sana mikoani hata Battery iliyokuja nayo tu sijawahi hata kuifungua hapo ilipo sembuse kuibadilisha ni tairi na normal service tu ilikuja na km. 63,000 hivi na sasa hivi ina km 100,000 +.
 
Wamefuta 1 au 2 yaani ilikuwa na km217,000 au km117,000. Gari wanajua ni nzuri pamoja na km hizo ila wanajua ukiona hizo km hutanunua kwahio wanafuta tu hio 1 au 2 kukuridhisha. Gari ya 2002 itakuwaje na km12,000?
Hivi mkuu, unapobadilisha ile odometre, kumbukumbu za kilometa zinazosoma kwenye odometre mpya zinakua za gari toka iliponunuliwa au za toka odometer ilipobadilishwa??

Msingi wa swali ni kuwa baadhi ya web za japan huwa unaona wameandika kabisa Changed odometer kama detail kwenye gari wauzalo
 
Zitasoma za odometer mpya. Hii nayo ni njia rahisi ya kucheza na km za gari kwa wauzaji.
 
Jp au Ulaya mtu hawezi kununua gari kama hana matumizi nayo. Anyway it's all good.
 
Umenkumbusha jaba. Hamhitaji serikali kuwasaidia. Jisaidieni wenyewe. Nenda choma moto kila kitu kwisha mchezo
 
Gari yeyoye chini ya 100,000 imechezewa, na gari nzuri sio hizo odo ni kuipeleka fundi akague tu
Jamaa yangu alinunua jan international ina 159,000 km hadi leo ina miaka zaidi ya 5 na bado inadunda na haijamsumbua
Janmotors wanauza gari kama ilivokuja...na kama kuna issues wanakuambia, na wanakumbia wakufixie au wakupunguzie bei ukafix kwa fundi wako yet unanunua price ya chini..na wanakupa auction details zote
 
Hata uniue yard sipaamini
Au kununua tu kwa mtu.usiyemjua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…