DOKEZO Serikali tusaidieni wananchi, magari yanayouzwa kwenye yard za Wapakistan mitaa ya Morocco na Victoria ni mabovu sana

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mtu anakula rushwa kuficha ushahidi, akishirikiana na matapeli.

Halafu anailalamikia serikali imsaidie.

Serikali itakusaidia vipi wakati ushakula rushwa kuharibu ushahidi?

Hao ndiyo wabongo wengi walivyo.

Contradictions.
Kwanza huyo ashaambiwa hizo gari ni used from Japan alitegemea nini zaidi

Hayo mambo ya kuchezea km,kupiga rangi na kunyoosha body ya zilizotoka nje haikuanza leo wala jana

Kama mfuko wake ni mzuri aende show room za toyota wamuagizie gari
0 km ...analetewa gari anachana maplastik ndani kwenye viti,usukani nk.....anakuta mpk menu ya kitabu kuhusu gari [emoji1]

Alafu huyo jamaa ashachkua mln 1 sasa anacholalamika nini kama rushwa ashapokea

Ova
 
Wivu unakusumbua. Fidia kwa harassment niliyopata
Maana yangu ni kwamba, usingelileta hilo jambo hadharani tena, kwa sababu ulishanyamazishwa kwa rushwa.

Rushwa ile ulipewa ili yaishe, lakini wewe ukapokea na ukayaendeleza!

Ndiyo nikakueleza katika comment yangu ile kuwa hauwezi kukaripia na kulilaani jambo unalolipenda kulifanya mwenyewe.

Uhujumu na rushwa hubebeshwa mbeleko moja, mashitaka yake husomwa kwa pamoja: "rushwa na uhujumu uchumi".

Kwako wewe na hao Wapakstani ni nani anayeweza kumtoa kibanzi mwenzake kwenye jicho?

Hii nchi raia wake tulishakuwa corrupted sana kupita kiwango cha ustahimilivu waalah!
 
Hata huko Japan kuna watu wanacheza na Odomometer
 
[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wewe unaujua sana mrorongo wa figisu za kwenye maYard!

Mambo uliyoelezea, ndiyo sahihi ya kuangalia kabla ya kununua na siyo Odometer (km)!

Kwenda na fundi inaweza ikasaidia ama isikusaidie sana kama fundi huyo ni "macho pilu pilu" na kumcontrol yataka akili za ziada kwa kweli.
 
Nakumbuka juzi TRA wakati wanatoa training ya UPGRADED E FILLING SYSTEM mkufunzi alisema "najua kuna watu wamekuja ili kuijua system na kuichezea kufanya uharibifu
Tafadhini acheni"
Sisi ndo wabongo bwana.

Hakuna kitu cha hovyo na chepesi cha kuchezea kama mfumo.
Sababu mfumo ni programing na KILA program Ina weakness yake,pale pale penye weakness ndipo mswahili anatengezea maisha.
Mifumo ni kwa ajili ya wenzetu Ulaya,kule mtu analipwa package ya kutosha hawezi kosa package kwa kupata kiduchu kwenye mfumo.
Mswahili yupo radhi akalipwe elf 5 masaa 12 KWA muhindi lkn ni lazima tu atamuibia.
 
Kama hiyo site ishakua shut down basi ni biashara kubwa
 
Ya kwangu ni ya mwaka 2000, wakati naagiza Japan ilisoma km 17,000, mwaka wa sita sasa ndo ipo km 62,000.......kununua gari yenye zaidi ya km laki moja naona ni kama kujilipua.​
 
Nazani pia ni hapo morocco unaozungumzia


Nilishakuta wanamafundi wengi na wanatest magari kila mda mabovu

Nikashangaa wanatengeneza gari kitu very important na ngumu kuharibika kwa gari mpya lakini mafundi wanatengeneza ili wamtumie mteja

Gari zao mbovu kabisa

Sasa sijui ni batch au gari zao zote mbovu
 
Na idara ya Usalama wa Taifa haiko mbali na madudu haya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…