Serikali tutafutie wanunuzi wa mahindi

Serikali tutafutie wanunuzi wa mahindi

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Huku vijijini tumevuna mahindi
Mahindi yapo mengi mno.
Wakulima hatuna wanunuzi wa mazao haya ya mahindi, Sasa tunavuna na msimu wa kupanda unaanza tunapanda tukiwa na mahindi mengi ndani

Tunawekeza pesa, nguvu na muda kulima ila tukivuna tunakosa bei na hata wateja wa bei ndogo hatuwaoni.
Tutaishije sisi wakulima.
Au tuje Kariakoo tuwe mawinga

Huku kwetu ndio ya mahindi ukipata mteja wa bei ya juu ni sh 5000
Ila kawaida kuuza ndio elfu 3000

Serikali tunaomba muwashawishi wateja waje kutupa japo bei nzuri kidogo

Au Fanya mpango serikali iyanunue na kuwapa wanafunzi shule wanashinda njaa

Mahindi ni mengi
Kama Kuna mteja yupo serious njoo PM Nina Tani kadhaa
Nipo Ngara njoo tufanye biashara
 
Huku vijijini tumevuna mahindi
Mahindi yapo mengi mno.
Wakulima hatuna wanunuzi wa mazao haya ya mahindi, Sasa tunavuna na msimu wa kupanda unaanza tunapanda tukiwa na mahindi mengi ndani

Tunawekeza pesa, nguvu na muda kulima ila tukivuna tunakosa bei na hata wateja wa bei ndogo hatuwaoni.
Tutaishije sisi wakulima.
Au tuje Kariakoo tuwe mawinga

Huku kwetu ndio ya mahindi ukipata mteja wa bei ya juu ni sh 5000
Ila kawaida kuuza ndio elfu 3000

Serikali tunaomba muwashawishi wateja waje kutupa japo bei nzuri kidogo

Au Fanya mpango serikali iyanunue na kuwapa wanafunzi shule wanashinda njaa

Mahindi ni mengi
Kama Kuna mteja yupo serious njoo PM Nina Tani kadhaa
Nipo Ngara njoo tufanye biashara
Gunia moja kubwa la kilo 100 naweza kupata kwa sh ngapi?
 
Huku vijijini tumevuna mahindi
Mahindi yapo mengi mno.
Wakulima hatuna wanunuzi wa mazao haya ya mahindi, Sasa tunavuna na msimu wa kupanda unaanza tunapanda tukiwa na mahindi mengi ndani

Tunawekeza pesa, nguvu na muda kulima ila tukivuna tunakosa bei na hata wateja wa bei ndogo hatuwaoni.
Tutaishije sisi wakulima.
Au tuje Kariakoo tuwe mawinga

Huku kwetu ndio ya mahindi ukipata mteja wa bei ya juu ni sh 5000
Ila kawaida kuuza ndio elfu 3000

Serikali tunaomba muwashawishi wateja waje kutupa japo bei nzuri kidogo

Au Fanya mpango serikali iyanunue na kuwapa wanafunzi shule wanashinda njaa

Mahindi ni mengi
Kama Kuna mteja yupo serious njoo PM Nina Tani kadhaa
Nipo Ngara njoo tufanye biashara
Lete geita au kahama bei ndoo lita 20 15k
 
Huku vijijini tumevuna mahindi
Mahindi yapo mengi mno.
Wakulima hatuna wanunuzi wa mazao haya ya mahindi, Sasa tunavuna na msimu wa kupanda unaanza tunapanda tukiwa na mahindi mengi ndani

Tunawekeza pesa, nguvu na muda kulima ila tukivuna tunakosa bei na hata wateja wa bei ndogo hatuwaoni.
Tutaishije sisi wakulima.
Au tuje Kariakoo tuwe mawinga

Huku kwetu ndio ya mahindi ukipata mteja wa bei ya juu ni sh 5000
Ila kawaida kuuza ndio elfu 3000

Serikali tunaomba muwashawishi wateja waje kutupa japo bei nzuri kidogo

Au Fanya mpango serikali iyanunue na kuwapa wanafunzi shule wanashinda njaa

Mahindi ni mengi
Kama Kuna mteja yupo serious njoo PM Nina Tani kadhaa
Nipo Ngara njoo tufanye biashara

Upo hapo ngara umekaa tu na mahindi wakati jirani yako Kigoma ndoo 14,000! Yapeleke hapo ukavute pesa chap.
 
Changamoto za kilimo. Hope serikali itasaidia
 
Back
Top Bottom