Tumwesige senior
JF-Expert Member
- Jan 28, 2013
- 3,506
- 6,305
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Luca ee nisamehe ndugu yangu wewe ni familia sikujua ndugu yanguKwani wewe hunifahamu mimi ni nani? Au unataka ukapewe maelekezo kituo cha polisi kilicho karibu nawe kwa rungu la mkanye Mwanao?
Nimeshaonywa hapo juu na kiongozi wa chama na serikali bas acha nikae mbaliKila siku hatuwezi kula maharage.
Yangekuwa mengi ningesema tuyaweke Dawa . Ila kwa hayo ni kidogo sana na nisingependa yawekwe dawa wakati tunaendelea kuyatumia. Dawa zina athari na madhara miaka ya mbele .tusipende kuijazia sumu miili yetu.Tena umenikumbusha, Lucas Mwashambwa naomba unirlekeze jinsi ya kuhifadhi maharage yasiingiliwe na wadudu.
Asante lucas.Yangekuwa mengi ningesema tuyaweke Dawa . Ila kwa hayo ni kidogo sana na nisingependa yawekwe dawa wakati tunaendelea kuyatumia. Dawa zina athari na madhara miaka ya mbele .tusipende kuijazia sumu miili yetu.
tunakuwa tunaua na kuharibu na kuathiri vingi sana miilini mwetu ephen. Tunaweza tusione leo athari ila ikaja onekana miaka ya mbele huko na tusijue hata chanzo chake .
maana tutakuwa tumesahau kuwa tumewahi kuweka dawa kwenye maharage.
Nisamehe ephen wangu kwa kuandika kwa kirefu ndio maana nimeweka kwenye aya ili usome mpaka utakapotaka kuishia halafu pengine utamaliziaga wakati mwingine.
mkuu saiv yameshuka bei huku yana 500/kgNatafuta mteja wa 800 kg1
na bado yanazidi kushukaDaah tuna hali wakulima
hapana ni kusoma upepo tu inapofika mwez wa 11 au 12 unakuwa ushauza mzigoTuache kulima twende Dar es salaam tuwe chawa wa mama
Inaumiza thana kwakweliTunayo mengi na tunapanda hivi karibu
sisi huku tumeshavunaWalikuwa wanatuokoa WFP ila nao mwaka huu hawakuwa
Mahindi tunayo majumbani, mwezi wa 5 tunavuna tena
gunia la kilo ngapi?Kumbe mahindi yapo mkuu naomba nichek naitaji tani 12 kila gunia nitalipia 80 natafuta mwenyewe nakuja mpaka ulipo nichek watsap 0743014032