The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Sasa hivi wasambazaji unga wamekua wengi, kila mfuko na jina lakeNdugu ongeza thamani ya hayo mahindi,usiishe kuvuna tu na kuuza,fikiria kuanza kuzalisha unga.
Mifuko itakusumbua mwanzoni ila ukishapata logo yako wanakua wanakuprintia tu ya kilo 10,20 na 5 kegs
Khaaa! Kumbe mnawekaga dawa hazina madhara?Kwa kiasi chako ulichonacho sikushauri uweke dawa
ni mfuko flani iv unapatikana kwenye maduka ya pembejeo za kilimo unaingia ujazo wa 100kg,ni special kwa ajili ya kutunza nafakaNdo ikoje
Asante.ni mfuko flani iv unapatikana kwenye maduka ya pembejeo za kilimo unaingia ujazo wa 100kg,ni special kwa ajili ya kutunza nafaka
Ni kweli kwa Dar kila mtu na Jina lake na kila mtu anauza ,chakula hakikosi mlaji,Sasa hivi wasambazaji unga wamekua wengi, kila mfuko na jina lake
Huna mme, watoto au wanajumuiya wa kukusaidia kuyalaNdio nakula, lakini kwa ulaji wangu haya yanaweza kupiga hata miezi 6-9 ndio maana nataka kuyaweka jinsi ambayo wadudu hawatoingia.
Hapo kwenye sana,hapoHazina madhara sana
Nipo na mume wangu wawili tuHuna mme, watoto au wanajumuiya wa kukusaidia kuyala
Atakuwa siyo msukuma kama Mimi huyo mwanamumeNipo na mume wangu wawili tu
Kila siku hatuwezi kula maharage.Atakuwa siyo msukuma kama Mimi huyo mwanamume
Tena umenikumbusha, Lucas Mwashambwa naomba unirlekeze jinsi ya kuhifadhi maharage yasiingiliwe na wadudu.Mwoshambwa anafaidi
Sio kwamba upo nae pika pakuaTena umenikumbusha, Lucas Mwashambwa naomba unirlekeze jinsi ya kuhifadhi maharage yasiingiliwe na wadudu.
Kwani wewe hunifahamu mimi ni nani? Au unataka ukapewe maelekezo kituo cha polisi kilicho karibu nawe kwa rungu la mkanye Mwanao?Huna mme, watoto au wanajumuiya wa kukusaidia kuyala
ephen_ asante kushukuruAsante.