Pfizer
JF-Expert Member
- Mar 25, 2021
- 590
- 807
Kauli hiyo imetolewa leo na Naibu Waziri wa Nchi, Utumishi na Utawala Bora Ndg. Ridhiwani Kikwete wakati anajibu maswali yaliyoulizwa na Mbunge wa Ngara Ndg. George Ruhuro Bungeni Dodoma.
Akieleza Naibu Waziri Kikwete amesema kuwa baada ya uhakiki wa taarifa za walimu ilibainika kuwa Walimu wapatao 52,551 wamefuzu vigezo vya kupandishwa madaraja ikiwemo Walimu 148 wa Halmashauri ya Ngara na wengine 54442 ambao walikuwa hawajapangwa katika madaraja ya kimshahara wakiwemo Walimu 540 watapangwa katika madaraja husika kwa njia ya Mserereko.
Akieleza Naibu Waziri Kikwete amesema kuwa baada ya uhakiki wa taarifa za walimu ilibainika kuwa Walimu wapatao 52,551 wamefuzu vigezo vya kupandishwa madaraja ikiwemo Walimu 148 wa Halmashauri ya Ngara na wengine 54442 ambao walikuwa hawajapangwa katika madaraja ya kimshahara wakiwemo Walimu 540 watapangwa katika madaraja husika kwa njia ya Mserereko.