Kauli hiyo imetolewa leo na Naibu Waziri wa Nchi, Utumishi na Utawala Bora Ndg. Ridhiwani Kikwete wakati anajibu maswali yaliyoulizwa na Mbunge wa Ngara Ndg. George Ruhuro Bungeni Dodoma.
Akieleza Naibu Waziri Kikwete amesema kuwa baada ya uhakiki wa taarifa za walimu ilibainika kuwa Walimu wapatao 52,551 wamefuzu vigezo vya kupandishwa madaraja ikiwemo Walimu 148 wa Halmashauri ya Ngara na wengine 54442 ambao walikuwa hawajapangwa katika madaraja ya kimshahara wakiwemo Walimu 540 watapangwa katika madaraja husika kwa njia ya Mserereko.
Nimeshangaa sana naibu waziri kuongelea walimu wa 2013 wakati hawa walipanda 2019 na pia mwaka 2023 wamepanda,wakati walimu wa 2014 na 2015 toka wameajiliwa hadi leo hii wana daraja moja tu wakati walitakiwa kuwa wanalotafuta daraja la tatu.
Mwasisi wa hizi changamoto ni yule baba anayesifiwa sana na watu wa kanda flani. Kwa maoni yangu, jamaa aliharibu momentum ya vitu vingi. Niweke nukta hapa kwa sasa.
View attachment 2953361
kauli hiyo imetolewa leo na Naibu Waziri wa Nchi, Utumishi na Utawala Bora Ndg. Ridhiwani Kikwete wakati anajibu maswali yaliyoulizwa na Mbunge wa Ngara Ndg. George Ruhuro Bungeni Dodoma.
Akieleza Naibu Waziri Kikwete amesema kuwa baada ya uhakiki wa taarifa za walimu ilibainika kuwa Walimu wapatao 52,551 wamefuzu vigezo vya kupandishwa madaraja ikiwemo Walimu 148 wa Halmashauri ya Ngara na wengine 54442 ambao walikuwa hawajapangwa katika madaraja ya kimshahara wakiwemo Walimu 540 watapangwa katika madaraja husika kwa njia ya Mserereko.
WALIMU 52551 KUNEEMEKA NA UPANDISHAJI MADARAJA KWA NJIA YA MSEREREKO -KIKWETE
kauli hiyo imetolewa leo na Naibu Waziri wa Nchi, Utumishi na Utawala Bora Ndg. Ridhiwani Kikwete wakati anajibu maswali yaliyoulizwa na Mbunge wa Ngara Ndg. George Ruhuro Bungeni Dodoma.
Akieleza Naibu Waziri Kikwete amesema kuwa baada ya uhakiki wa taarifa za walimu ilibainika kuwa Walimu wapatao 52,551 wamefuzu vigezo vya kupandishwa madaraja ikiwemo Walimu 148 wa Halmashauri ya Ngara Na wengine 54442 ambao walikuwa hawajapangwa katika madaraja ya kimshahara wakiwemo Walimu 540 watapangwa katika madaraja husika kwa njia ya Mserereko.