Serikali: Wanafunzi waliopata mimba kuendelea na Masomo katika mfumo rasmi

Serikali: Wanafunzi waliopata mimba kuendelea na Masomo katika mfumo rasmi

Hv huyu mama hakuwa wazir wa wizara hii wakati wa jiwe? Hakika wanafiki watakuwa ktk tabaka la chini kabsa la moto
Kabisa mkuu. Hii itafacilitate hao wadada wa persue dreams zao na kutokua tegemezi hapo baadae. Heko kwa mama Ndalichako kwa kugundua hao wadada wasiposoma jamii ndio inaathirika zaidi kulea huo mzigo.
 
Wakuu,

Nikiwa katika harakati za mjini, nikakuta vijana wa kijiweni wanamsimamisha binti... binti naye akawa hana habari nao anaendelea na mwendo wake.

Wale vijana wakaanza kuambiana huku wakichekelea: "Samia kasema, saahivi tunawatia 'mzigo' afu wanarudi maskuli".

Msela mmoja akawa anawabishia wenzake kwamba sio kweli, wanadanganya, hilo haliwezekani. Wenzake wote wakamcheka na kumshangaa mno kwamba yupo mjini kizembe, iweje hana hizo news wakati media zote zilitangaza!

I was surprised hiyo discussion yao.

My Take:

Mama Ndalichako (Waziri wa Elimu), hilo tamko lako kuhusu wasichana wenye mimba kurudi shuleni limetafsiriwa tofauti kabisa huku kwenye ground. Vijana wengi mtaani wanachukulia kwamba sasa ni 'green light' kutafuna mabinti wa shule!

Serikali fanyeni jambo haraka kuhusu hili. Otherwise, a massive negative impact mtaiona very soon, just within a year!

-Kaveli-
 
Mtoto wa kike kadungwa mimba atalea Nani Hadi huyo binti arudi shule?
Mwanafunzi akipata mimba atatakiwa kurudi shule hiyo mimba atailea nani serikali,wafadhili au wazazi? Wanasheria na viongozi wa dini naomba maoni

Nitoe mifano live

Moja mtoto wa kike wa Samia kadungwa mimba shule atalea Nani Hadi huyo binti arudi shule?

Pili Mtoto wa Ndugai Spika
kadungwa mimba shule atalea Nani Hadi huyo binti arudi shule?

Tatu mtoto wa jaji mkuu
Kadungwa mimba shule atalea Nani Hadi huyo binti arudi shule?

Nne mtoto wa wakili wa kujitegemea kadungwa mimba shule atalea Nani Hadi huyo binti arudi shule?

Tano mtoto wa shehe mkuu wa Bakwata Shehe Zuberi
kadungwa mimba shule atalea Nani Hadi huyo binti arudi shule?

Sita mtoto wa kiongozi wa Shura ya Maimamu na kiongozi wa Answar Sunna
kadungwa mimba shule atalea Nani Hadi huyo binti arudi shule?

Saba mtoto wa kike wa Askofu Shoo au Bagonza au Askofu Mwamakula au mtoto wa Baba Askofu kakobe,Gwajima au Askofu Gamanywa au Askofu mkuu wa TAG au EAGT Mwingira au Kanisa Pentecoste kadungwa shule atalea Nani Hadi huyo binti arudi shule?

Nane mtoto wa mkatoliki swafi mwanawe kadungwa mimba shule atalea Nani Hadi huyo binti arudi shule? Baraza la maaskofu katoliki jibu tafadhali

Tisa mtoto wa Maskini asiye na uwezo wowote kabisa mwanawe kadungwa mimba shule na mtoto maskini pia Nani atalea Hadi arudi shule

Wanasheria, viongozi wa dini ,mawakili na msio na dini na wazazi karibuni jukwaani maoni yenu tafadhali Nani atakuwa responsible na gharama kuanzia kulea mimba ,kujifungua ,kulea mtoto na mama yake na kugharimia malezi ya huyo mtoto mama yake akirudi shule?
 
kwani wa kwako akidungwa mimba nani atamlea, si we mwenyewe.
 
Negotiable price tu! Hata mama wa alietia mimba anakabidhiwa.. simpo mkuu (haya ndio tunayoyaweza)

Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
Hizo pesa sio donation Ni mkopo ambao kila mtanzania atawajibika kuulipa hakukuwa na clause kwenye mkopo kuwa nani atakuwa responsible kwenye cost za hizo mimba kuanzia kutungwa, kuzaa, kulea, kujifungua na kulea mtoto hadi mama mzazi was mtoto kurudi shule Nani Ali negotiate huo mkopo hakuona Hilo? Kuwa Kuna issues? Issue sio tu mzazi kurudi shule Kuna issues hakutake consideration huyo negotiator?
 
Hufahamu kwamba mabeberu teyari wanajiandaa kutenga fungu kwa ajili ya kusaidia watoto wenye mimba.
 
Mtoto wa kike kadungwa mimba atalea Nani Hadi huyo binti arudi shule?
Mwanafunzi akipata mimba atatakiwa kurudi shule hiyo mimba atailea nani serikali,wafadhili au wazazi? Wanasheria na viongozi wa dini naomba maoni

Nitoe mifano live

Moja mtoto wa kike wa Samia kadungwa mimba shule atalea Nani Hadi huyo binti arudi shule?

Pili Mtoto wa Ndugai Spika
kadungwa mimba shule atalea Nani Hadi huyo binti arudi shule?

Tatu mtoto wa jaji mkuu
Kadungwa mimba shule atalea Nani Hadi huyo binti arudi shule?

Nne mtoto wa wakili wa kujitegemea kadungwa mimba shule atalea Nani Hadi huyo binti arudi shule?

Tano mtoto wa shehe mkuu wa Bakwata Shehe Zuberi
kadungwa mimba shule atalea Nani Hadi huyo binti arudi shule?

Sita mtoto wa kiongozi wa Shura ya Maimamu na kiongozi wa Answar Sunna
kadungwa mimba shule atalea Nani Hadi huyo binti arudi shule?

Saba mtoto wa kike wa Askofu Shoo au Bagonza au Askofu Mwamakula au mtoto wa Baba Askofu kakobe,Gwajima au Askofu Gamanywa au Askofu mkuu wa TAG au EAGT Mwingira au Kanisa Pentecoste kadungwa shule atalea Nani Hadi huyo binti arudi shule?

Nane mtoto wa mkatoliki swafi mwanawe kadungwa mimba shule atalea Nani Hadi huyo binti arudi shule? Baraza la maaskofu katoliki jibu tafadhali

Tisa mtoto wa Maskini asiye na uwezo wowote kabisa mwanawe kadungwa mimba shule na mtoto maskini pia Nani atalea Hadi arudi shule

Wanasheria, viongozi wa dini ,mawakili na msio na dini na wazazi karibuni jukwaani maoni yenu tafadhali Nani atakuwa responsible na gharama kuanzia kulea mimba ,kujifungua ,kulea mtoto na mama yake na kugharimia malezi ya huyo mtoto mama yake akirudi shule?
Ndugu yangu huyo mtoto halazimishwi kurudi shule ni hiari yake yeye na wazee wake ndio wataamuwa kama arudi shule au alee na kuendelea kutotowa watoto wengine serikali hapo haihusiki, serikali imetowa fursa kwa anaetaka kuendelea na masomo apewe fursa.
 
Mtoto wa kike kadungwa mimba atalea Nani Hadi huyo binti arudi shule?
Mwanafunzi akipata mimba atatakiwa kurudi shule hiyo mimba atailea nani serikali,wafadhili au wazazi? Wanasheria na viongozi wa dini naomba maoni

Nitoe mifano live

Moja mtoto wa kike wa Samia kadungwa mimba shule atalea Nani Hadi huyo binti arudi shule?

Pili Mtoto wa Ndugai Spika
kadungwa mimba shule atalea Nani Hadi huyo binti arudi shule?

Tatu mtoto wa jaji mkuu
Kadungwa mimba shule atalea Nani Hadi huyo binti arudi shule?

Nne mtoto wa wakili wa kujitegemea kadungwa mimba shule atalea Nani Hadi huyo binti arudi shule?

Tano mtoto wa shehe mkuu wa Bakwata Shehe Zuberi
kadungwa mimba shule atalea Nani Hadi huyo binti arudi shule?

Sita mtoto wa kiongozi wa Shura ya Maimamu na kiongozi wa Answar Sunna
kadungwa mimba shule atalea Nani Hadi huyo binti arudi shule?

Saba mtoto wa kike wa Askofu Shoo au Bagonza au Askofu Mwamakula au mtoto wa Baba Askofu kakobe,Gwajima au Askofu Gamanywa au Askofu mkuu wa TAG au EAGT Mwingira au Kanisa Pentecoste kadungwa shule atalea Nani Hadi huyo binti arudi shule?

Nane mtoto wa mkatoliki swafi mwanawe kadungwa mimba shule atalea Nani Hadi huyo binti arudi shule? Baraza la maaskofu katoliki jibu tafadhali

Tisa mtoto wa Maskini asiye na uwezo wowote kabisa mwanawe kadungwa mimba shule na mtoto maskini pia Nani atalea Hadi arudi shule

Wanasheria, viongozi wa dini ,mawakili na msio na dini na wazazi karibuni jukwaani maoni yenu tafadhali Nani atakuwa responsible na gharama kuanzia kulea mimba ,kujifungua ,kulea mtoto na mama yake na kugharimia malezi ya huyo mtoto mama yake akirudi shule?
Mimi kitu ambacho mpaka leo hakijaniingiaga akilini ni suala la mama kuendelea na shule wakati baba amefungwa gerezani miaka 30! Yaani mama amlee mtoto peke yake miaka yote ya maisha yake, na mtoto akose malezi ya baba. [emoji24][emoji24][emoji24]. Wajinga wanashangilia kuwa wamemkomoa mwanaume kumbe ni mateso kwa huyo mzazi wa kike na maisha yaliyojaa msongo kwa mtoto.

Na sijui mtoto anakua anaambiwa baba yako yuko wapi? Na kama ni gerezani alifungwa kwa kosa gani? Kama kosa la baba yake lililomfanya akafungwa miaka 30 ni kumzaa yeye, sijui huyo mtoto kama atajiona ana thamani!!! Yaani baba kunizaa mimi ilikuwa makosa?? Kwa hiyo sikutakiwa kuzaliwa??? Inafikirisha sana.

Na kama lengo ni kuzuia mimba kwa nini isiwekwe sheria hata ya mtoto wa kike kufungwa au kupewa adhabu yoyote? Baba afungwe miaka 30 lakini mtoto wa kike waweke hata miaka mi3 tu inatosha. Uje uone kama mtoto wa kike mwanafunzi atakubali kukuvulia kizembe. Hawa watoto wa sasa ni watu wazima kabisa kiakili na kimatendo. Hakuna anaebakwa, asilimia kubwa wapo kwenye mahusiano kama watu wazima tu. Na nani ana justify kuwa wa kiume ndo chanzo all the time? Kuna mazingira mengi ambayo wa kike anakuwa chanzo. Hawa wa siku hizi hadi kutongoza mwanaume kwenye simu wanatongoza. Kumuadhibu wa kiume tu ni kuonea jinsia ya kiume na sijajua lengo hasa huwa ni nini.


Wanafunzi wa kike hata hiki kidogo walichokuwa wanajilinda ni kwa kuogopa kuwa akipewa mimba ataachishwa shule na kukatiza ndoto zake. Hii ilikuwa adhabu inayomuogopesha. Sasa hivi unaiondoa alafu unategemea kuzuia mimba mashuleni au unapanga kufungua clinic shuleni? Maana itafika hatua itakuwa ni fashion kwa wanafunzi, kiasi kwamba itaonekana ndio ujanja na ambae hajazaa ni mshamba na wanamcheka.

Tujifunze kufikiria kwa kina kuokoa kizazi chetu. Tusipokee kila kitu tunacholetewa, na sisi tuna akili zetu, tuzitumie. Na namna nzuri ya kumuinua mtoto wa kike ni kumpandisha amfikie wa kiume, na wala sio kumshusha wa kiume alingane na wa kike.

Nawasilisha.

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Ndugu yangu huyo mtoto halazimishwi kurudi shule ni hiari yake yeye na wazee wake ndio wataamuwa kama arudi shule au alee na kuendelea kutotowa watoto wengine serikali hapo haihusiki, serikali imetowa fursa kwa anaetaka kuendelea na masomo apewe fursa.
Huo ni mkopo sio hisani ya serikali kupenda Wazazi wanafunzi ni mkopo Tena wa pesa za kigeni ambazo hata mtu mwenye mtoto ambaye hajazaa shule ataulipa ingekuwa grant au donation au serikali imetenga bajeti Sina shida lakini ni mkopo unaotakiwa kulipwa na aliyemo na asiyekuwemo kwenye hizo mimba. Sio serikali imetoa fursa imekopa mikopo yenye riba
 
Hizo pesa sio donation Ni mkopo ambao kila mtanzania atawajibika kuulipa hakukuwa na clause kwenye mkopo kuwa Nani atakuwa responsible kwenye cost za hizo mimba kuanzia kutungwa,kuzaa,kulea ,kujifungua na kulea mtoto hadi mama mzazi was mtoto kurudi shule Nani Ali negotiate huo mkopo hakuona Hilo? Kuwa Kuna issues ? Issue sio tu mzazi kurudi shule Kuna issues hakutake consideration huyo negotiator?
Sindo tutarud kulaumiana.. [emoji38] "mama na mwana" gharama z hapo zitamkumba hadi anaetegemewa na mama! Usijal kaka tutawakumbusha itakapofikia

Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
 
Kama ulikuwa unadhani, jambo hili lina mgusa maskini, hilo sahau! Watoto wa vigogo ndo wanalengwa, ili mtoto wa maskini aliyeshindwa kwenda shule kwa ajili ya ufukara, ndiye atakaye lea huyo mtoto wa mtoto (mjukuu) wa kigogo, mama yake akirudi shuleni kudungwa nyingine.

Maana wameona njia walizozitumia awali za kuwadunga sindano za kuzuia uzazi na kuchomoa vijuzi, ili watoto waendelea kuhudhuria masomo, zimewagharimu pakubwa baada ya binti zao kuharibiwa mifuko ya uzazi, na kushindwa kuwapatia wajukuu. Mwisho wa ubaya ni aibu na fedheha.
 
Back
Top Bottom