Serikali watu wenye akili Sana Kama Mshana Jr, Bams, Robert Heriel kwanini msiwatumie wakaipeleka nchi Mbele?

Serikali watu wenye akili Sana Kama Mshana Jr, Bams, Robert Heriel kwanini msiwatumie wakaipeleka nchi Mbele?

Hii nchi yetu inaonekana hipo Katika dimbwi la Umasikini mkubwa kwa kukosa watu wenye MAARIFA ya kuipeleka nchi Mbele.

Mtu Kama
Mshana Jr
Robert Heriel Mtibeli
Bams

Kwanini msiwaingize huko serikalini wakaisaidia nchi yetu kuvuka baada ya miaka 60 ya kuogelea Katika umasikini uliotukuka.

Serikali Kama mtaendelea kuwakumbatia watu ambao hawana akili na MAARIFA eti ndo waongoze nchi Basi Umasikini utaendelea kuwa Wimbo wa Taifa.

Serikali inabidi ku-recruit watu wa consultation ambao at the end wataisadia serikali kupiga hatua
Umemsahau shemeji Yangu Mpwayungu Village
 
Hii nchi yetu inaonekana hipo Katika dimbwi la Umasikini mkubwa kwa kukosa watu wenye MAARIFA ya kuipeleka nchi Mbele.

Mtu Kama
Mshana Jr
Robert Heriel Mtibeli
Bams

Kwanini msiwaingize huko serikalini wakaisaidia nchi yetu kuvuka baada ya miaka 60 ya kuogelea Katika umasikini uliotukuka.

Serikali Kama mtaendelea kuwakumbatia watu ambao hawana akili na MAARIFA eti ndo waongoze nchi Basi Umasikini utaendelea kuwa Wimbo wa Taifa.

Serikali inabidi ku-recruit watu wa consultation ambao at the end wataisadia serikali kupiga hatua
Umemsahau Mpwayungu Village
 
Bila katiba mpya itakayoweza kuwafunga viongozi hakuna kitu hata aje nani,
Madaraka matamu asikwambie mtu!
Kuna mmoja tu kipindi Cha magu alipanda kidogo tu akawa anatembelea land cruiser mkonge aliporomosha lodge tatu kwa mpigo,
Kwa katiba na Sheria za Sasa mtu akipata nafasi anakula tu hata mimi ikitokea nitakula tu!
ISHU NI KATIBA MPYA ITAKAYO WAADABISHA WALA 10% !
 
Hii nchi yetu inaonekana hipo Katika dimbwi la Umasikini mkubwa kwa kukosa watu wenye MAARIFA ya kuipeleka nchi Mbele.

Mtu Kama
Mshana Jr
Robert Heriel Mtibeli
Bams

Kwanini msiwaingize huko serikalini wakaisaidia nchi yetu kuvuka baada ya miaka 60 ya kuogelea Katika umasikini uliotukuka.

Serikali Kama mtaendelea kuwakumbatia watu ambao hawana akili na MAARIFA eti ndo waongoze nchi Basi Umasikini utaendelea kuwa Wimbo wa Taifa.

Serikali inabidi ku-recruit watu wa consultation ambao at the end wataisadia serikali kupiga hatua
Dr Haya Land, kwanza nashukuru kwa kuniona mimi na hao wenzangu wawili wanaweza kuwa na mchango wa kulisaidia Taifa letu. Najua wapo zaidi ya sisi watatu uliotutaja. Lakini hata kukawa na mtu mmoja au wawili ambao wakaona una kitu ambacho kinaweza kuwasaidia wengine, ni jambo la heri.

Kifupi, binafsi nimeyafanyia kazi makampuni na taasisi mbalimbali za kimataifa kwenye sekta yangu, na kwa kiasi fulani nje ya sekta. Pia nimekuwa mshiriki na mwalikwa maalum wa ASX ambayo ndiyo main stock exchange nchini Australia. Na mara mbili niliombwa na Serikali za nchi mbili kusaidia kuwapata wawekezaji wa kigeni kwenda kuwekza nchini mwao. Niliifanya kazi hiyo, na ninashukuru kwa mafanikio makubwa.

Kwa ujumla, ni baada ya mialiko hiyo miwili, nilijisikia vibaya kwamba nafanyia kazi mataifa mengine, wakati sijafanya hivyo kwa nchi yangu. Kwa dhamira njema kabisa, nilikusudia kutoa mawazo yangu kuhusiana na mambo kadhaa kwenye uwekezaji mkubwa maana ndiyo suluhisho kubwa kabisa la tatizo la ajira, mapato duni ya Serikali na mishahara midogo ya waajiriwa wengi. Nilivyokuja nchini nilifanya initiative ya kutaka kumwona Rais, kwa dhamira njema ya kutoa practical advice, niliandaa na waraka mfupi. Niliongea na watu fulani ndani ya Serikali, wakasifu sana. Wakanipa cobtacts za watu wanaoweza kunifanyia arrangement. Lakini kwenye hizo jitihada za kumwona Rais nikaishia kuombwa pesa milioni 100 eti ili waweze kunifanyia arrangement ya kumwona Rais. Nikaona ni upuuzi. Maana mawazo yao ni kama kila anayetaka kumwona Rais anaenda kutafuta ajira/ulaji. Binafsi nilikuwa tayari kuwapa mchango wangu wa ushauri bila ya kuhitaji hata shilingi ya Serikali, sikuwa natafuta kazi kwa sababu nilikuwa nayo.

Nchi hii kuna mambo ya ajabu sana ya kukatisha tamaa. Watu wakati wote wanafikiria hela tu iwe kwa uhalali au kwa njia chafu. Sijui kama kuna watu wengine hapa JF walitaka appointment na Rais, wanaweza kueleza experience yao. Hiyo ilikuwa ni awamu hii ya 6. Lakini hata awamu iliyopita, nilielezea hicho kisa changu kwa baadhi ya watu, nikaambiwa na jamaa ambaye alitaka kumwona Rais, yeye aliambiwa atoe milioni 400. Alitoa milioni 20, ilichukuliwa ikaliwa, na Rais hakumwona eti pesa hiyo ilikuwa kidogo mno. Na hiyo siyo kwamba anaitaka Rais bali wale wasaidizi wake au watu wenye easy access na Rais (na uwezekano mkubwa hata Rais mwenyewe hajui kuwa kumwona yeye wasaidizi wake wanawatoza watu pesa). Nikaambiwa kuwa eti ni utaratibu uliozoeleka. Na kwamba hata baadhi ya mawaziri ambao wana access kubwa na Rais ni wale ambao wanatoa tips za mara kwa mara kwa wasaidizi wa Rais (tip yenyewe, wanaongelea milioni 10 au zaidi). Nikaamua kufanya uchunguzi zaidi, nikakutana na mwingine ambaye wakati wa utawala wa awamu ya 4, aliweza kuonana na Kikwete lakini aliambiwa atoe milioni 30, baada ya kubembeleza sana alitoa milioni 20.

Sasa kwenye ofisi kubwa kama hiyo, inakuwa corrupt kiasi hicho, huku chini unatarajia nini? Yaani nitoe pesa ili nimwone Rais, kwa kipi ninachokitafuta?

Kwa hiyo, wakati fulani ni aheri kuishia kutoa michango yetu huku kwenye mitandao, japo inakuwa ni kwa wepesi sana, huenda itasomwa kuliko kuhangaika kwa namna nyingine ambazo zitakukatisha tamaa.

Zipo familia ambazo kwao Ikulu ni kama nyumbani kwa jirani yao. Wao wanaenda wajati wowote wakitaka, wanaongea na Rais muda wowote wakitaka, wanaweza kumwunganisha mtu yeyote kukutana na Rais wakitaka, lakini kwa wengine nje ya hizo familia za utawala, ni kazi sana kumfikia Rais hata kama watu hao wana jambo jema kiasi gani.

Nchi yetu siyo kwamba haina watu wanaoweza kuisaidia bali hakuna mfumo ambao unatoa nafasi ya faida ya kuwa na watu wengi. Faida ya kuwa na watu wengi, ni uwezekano wa kupata fikra mbalimbali na mpya kutoka kwa watu mbalimbali. Nchini mwetu hiyo faida tumeikataa. Ndiyo maana huko Serikalini, iwe ni mawaziri, wakurugenzi wakuu, wakuu wa mikoa, wakurugenzi wa mashirika, nakadiria ni zaidi ya 80% majina huwa ni yale yale ya watu waliozoeleka.

Watu ni wale wale, fikra ni zile zile, mbinu ni zile zile, mifumo ni ile, lakini tunatarajia mwakakesho tushuhudie matokeo tofauti. Kama leo hii unaishi na kutenda vile vile kama ilivyokuwa mwakajuzi na mwakajana, kwa nini utegemee mwaka kesho kutakuwa na matokeo tofauti? Kama tunataka mwakakesho iwe tofauti na mwakajuzi na mwakajana, yabidi kutafakari ni nini tunachokifanya leo kilicho tofauti na mwakajana na mwakajuzi.
 
Dr Haya Land, kwanza nashukuru kwa kuniona mimi na hao wenzangu wawili wanaweza kuwa na mchango wa kulisaidia Taifa letu. Najua wapo zaidi ya sisi watatu uliotutaja. Lakini hata kukawa na mtu mmoja au wawili ambao wakaona una kitu ambacho kinaweza kuwasaidia wengine, ni jambo la heri.

Kifupi, binafsi nimeyafanyia kazi makampuni na taasisi mbalimbali za kimataifa kwenye sekta yangu, na kwa kiasi fulani nje ya sekta. Pia nimekuwa mshiriki na mwalikwa maalum wa ASX ambayo ndiyo main stock exchange nchini Australia. Na mara mbili niliombwa na Serikali za nchi mbili kusaidia kuwapata wawekezaji wa kigeni kwenda kuwekza nchini mwao. Niliifanya kazi hiyo, na ninashukuru kwa mafanikio makubwa.

Kwa ujumla, ni baada ya mialiko hiyo miwili, nilijisikia vibaya kwamba nafanyia kazi mataifa mengine, wakati sijafanya hivyo kwa nchi yangu. Kwa dhamira njema kabisa, nilikusudia kutoa mawazo yangu kuhusiana na mambo kadhaa kwenye uwekezaji mkubwa maana ndiyo suluhisho kubwa kabisa la tatizo la ajira, mapato duni ya Serikali na mishahara midogo ya waajiriwa wengi. Nilivyokuja nchini nilifanya initiative ya kutaka kumwona Rais, kwa dhamira njema ya kutoa practical advice, niliandaa na waraka mfupi. Niliongea na watu fulani ndani ya Serikali, wakasifu sana. Wakanipa cobtacts za watu wanaoweza kunifanyia arrangement. Lakini kwenye hizo jitihada za kumwona Rais nikaishia kuombwa pesa milioni 100 eti ili waweze kunifanyia arrangement ya kumwona Rais. Nikaona ni upuuzi. Maana mawazo yao ni kama kila anayetaka kumwona Rais anaenda kutafuta ajira/ulaji. Binafsi nilikuwa tayari kuwapa mchango wangu wa ushauri bila ya kuhitaji hata shilingi ya Serikali, sikuwa natafuta kazi kwa sababu nilikuwa nayo.

Nchi hii kuna mambo ya ajabu sana ya kukatisha tamaa. Watu wakati wote wanafikiria hela tu iwe kwa uhalali au kwa njia chafu. Sijui kama kuna watu wengine hapa JF walitaka appointment na Rais, wanaweza kueleza experience yao. Hiyo ilikuwa ni awamu hii ya 6. Lakini hata awamu iliyopita, nilielezea hicho kisa changu kwa baadhi ya watu, nikaambiwa na jamaa ambaye alitaka kumwona Rais, yeye aliambiwa atoe milioni 400. Alitoa milioni 20, ilichukuliwa ikaliwa, na Rais hakumwona eti pesa hiyo ilikuwa kidogo mno. Na hiyo siyo kwamba anaitaka Rais bali wale wasaidizi wake au watu wenye easy access na Rais (na uwezekano mkubwa hata Rais mwenyewe hajui kuwa kumwona yeye wasaidizi wake wanawatoza watu pesa). Nikaambiwa kuwa eti ni utaratibu uliozoeleka. Na kwamba hata baadhi ya mawaziri ambao wana access kubwa na Rais ni wale ambao wanatoa tips za mara kwa mara kwa wasaidizi wa Rais (tip yenyewe, wanaongelea milioni 10 au zaidi). Nikaamua kufanya uchunguzi zaidi, nikakutana na mwingine ambaye wakati wa utawala wa awamu ya 4, aliweza kuonana na Kikwete lakini aliambiwa atoe milioni 30, baada ya kubembeleza sana alitoa milioni 20.

Sasa kwenye ofisi kubwa kama hiyo, inakuwa corrupt kiasi hicho, huku chini unatarajia nini? Yaani nitoe pesa ili nimwone Rais, kwa kipi ninachokitafuta?

Kwa hiyo, wakati fulani ni aheri kuishia kutoa michango yetu huku kwenye mitandao, japo inakuwa ni kwa wepesi sana, huenda itasomwa kuliko kuhangaika kwa namna nyingine ambazo zitakukatisha tamaa.

Zipo familia ambazo kwao Ikulu ni kama nyumbani kwa jirani yao. Wao wanaenda wajati wowote wakitaka, wanaongea na Rais muda wowote wakitaka, wanaweza kumwunganisha mtu yeyote kukutana na Rais wakitaka, lakini kwa wengine nje ya hizo familia za utawala, ni kazi sana kumfikia Rais hata kama watu hao wana jambo jema kiasi gani.

Nchi yetu siyo kwamba haina watu wanaoweza kuisaidia bali hakuna mfumo ambao unatoa nafasi ya faida ya kuwa na watu wengi. Faida ya kuwa na watu wengi, ni uwezekano wa kupata fikra mbalimbali na mpya kutoka kwa watu mbalimbali. Nchini mwetu hiyo faida tumeikataa. Ndiyo maana huko Serikalini, iwe ni mawaziri, wakurugenzi wakuu, wakuu wa mikoa, wakurugenzi wa mashirika, nakadiria ni zaidi ya 80% majina huwa ni yale yale ya watu waliozoeleka.

Watu ni wale wale, fikra ni zile zile, mbinu ni zile zile, mifumo ni ile, lakini tunatarajia mwakakesho tushuhudie matokeo tofauti. Kama leo hii unaishi na kutenda vile vile kama ilivyokuwa mwakajuzi na mwakajana, kwa nini utegemee mwaka kesho kutakuwa na matokeo tofauti? Kama tunataka mwakakesho iwe tofauti na mwakajuzi na mwakajana, yabidi kutafakari ni nini tunachokifanya leo kilicho tofauti na mwakajana na mwakajuzi.
Wasaidizi waliokuomba pesa wanasoma na kusonya.

KATIBA mpya, KATIBA mpya!!!!
 
Dr Haya Land, kwanza nashukuru kwa kuniona mimi na hao wenzangu wawili wanaweza kuwa na mchango wa kulisaidia Taifa letu. Najua wapo zaidi ya sisi watatu uliotutaja. Lakini hata kukawa na mtu mmoja au wawili ambao wakaona una kitu ambacho kinaweza kuwasaidia wengine, ni jambo la heri.

Kifupi, binafsi nimeyafanyia kazi makampuni na taasisi mbalimbali za kimataifa kwenye sekta yangu, na kwa kiasi fulani nje ya sekta. Pia nimekuwa mshiriki na mwalikwa maalum wa ASX ambayo ndiyo main stock exchange nchini Australia. Na mara mbili niliombwa na Serikali za nchi mbili kusaidia kuwapata wawekezaji wa kigeni kwenda kuwekza nchini mwao. Niliifanya kazi hiyo, na ninashukuru kwa mafanikio makubwa.

Kwa ujumla, ni baada ya mialiko hiyo miwili, nilijisikia vibaya kwamba nafanyia kazi mataifa mengine, wakati sijafanya hivyo kwa nchi yangu. Kwa dhamira njema kabisa, nilikusudia kutoa mawazo yangu kuhusiana na mambo kadhaa kwenye uwekezaji mkubwa maana ndiyo suluhisho kubwa kabisa la tatizo la ajira, mapato duni ya Serikali na mishahara midogo ya waajiriwa wengi. Nilivyokuja nchini nilifanya initiative ya kutaka kumwona Rais, kwa dhamira njema ya kutoa practical advice, niliandaa na waraka mfupi. Niliongea na watu fulani ndani ya Serikali, wakasifu sana. Wakanipa cobtacts za watu wanaoweza kunifanyia arrangement. Lakini kwenye hizo jitihada za kumwona Rais nikaishia kuombwa pesa milioni 100 eti ili waweze kunifanyia arrangement ya kumwona Rais. Nikaona ni upuuzi. Maana mawazo yao ni kama kila anayetaka kumwona Rais anaenda kutafuta ajira/ulaji. Binafsi nilikuwa tayari kuwapa mchango wangu wa ushauri bila ya kuhitaji hata shilingi ya Serikali, sikuwa natafuta kazi kwa sababu nilikuwa nayo.

Nchi hii kuna mambo ya ajabu sana ya kukatisha tamaa. Watu wakati wote wanafikiria hela tu iwe kwa uhalali au kwa njia chafu. Sijui kama kuna watu wengine hapa JF walitaka appointment na Rais, wanaweza kueleza experience yao. Hiyo ilikuwa ni awamu hii ya 6. Lakini hata awamu iliyopita, nilielezea hicho kisa changu kwa baadhi ya watu, nikaambiwa na jamaa ambaye alitaka kumwona Rais, yeye aliambiwa atoe milioni 400. Alitoa milioni 20, ilichukuliwa ikaliwa, na Rais hakumwona eti pesa hiyo ilikuwa kidogo mno. Na hiyo siyo kwamba anaitaka Rais bali wale wasaidizi wake au watu wenye easy access na Rais (na uwezekano mkubwa hata Rais mwenyewe hajui kuwa kumwona yeye wasaidizi wake wanawatoza watu pesa). Nikaambiwa kuwa eti ni utaratibu uliozoeleka. Na kwamba hata baadhi ya mawaziri ambao wana access kubwa na Rais ni wale ambao wanatoa tips za mara kwa mara kwa wasaidizi wa Rais (tip yenyewe, wanaongelea milioni 10 au zaidi). Nikaamua kufanya uchunguzi zaidi, nikakutana na mwingine ambaye wakati wa utawala wa awamu ya 4, aliweza kuonana na Kikwete lakini aliambiwa atoe milioni 30, baada ya kubembeleza sana alitoa milioni 20.

Sasa kwenye ofisi kubwa kama hiyo, inakuwa corrupt kiasi hicho, huku chini unatarajia nini? Yaani nitoe pesa ili nimwone Rais, kwa kipi ninachokitafuta?

Kwa hiyo, wakati fulani ni aheri kuishia kutoa michango yetu huku kwenye mitandao, japo inakuwa ni kwa wepesi sana, huenda itasomwa kuliko kuhangaika kwa namna nyingine ambazo zitakukatisha tamaa.

Zipo familia ambazo kwao Ikulu ni kama nyumbani kwa jirani yao. Wao wanaenda wajati wowote wakitaka, wanaongea na Rais muda wowote wakitaka, wanaweza kumwunganisha mtu yeyote kukutana na Rais wakitaka, lakini kwa wengine nje ya hizo familia za utawala, ni kazi sana kumfikia Rais hata kama watu hao wana jambo jema kiasi gani.

Nchi yetu siyo kwamba haina watu wanaoweza kuisaidia bali hakuna mfumo ambao unatoa nafasi ya faida ya kuwa na watu wengi. Faida ya kuwa na watu wengi, ni uwezekano wa kupata fikra mbalimbali na mpya kutoka kwa watu mbalimbali. Nchini mwetu hiyo faida tumeikataa. Ndiyo maana huko Serikalini, iwe ni mawaziri, wakurugenzi wakuu, wakuu wa mikoa, wakurugenzi wa mashirika, nakadiria ni zaidi ya 80% majina huwa ni yale yale ya watu waliozoeleka.

Watu ni wale wale, fikra ni zile zile, mbinu ni zile zile, mifumo ni ile, lakini tunatarajia mwakakesho tushuhudie matokeo tofauti. Kama leo hii unaishi na kutenda vile vile kama ilivyokuwa mwakajuzi na mwakajana, kwa nini utegemee mwaka kesho kutakuwa na matokeo tofauti? Kama tunataka mwakakesho iwe tofauti na mwakajuzi na mwakajana, yabidi kutafakari ni nini tunachokifanya leo kilicho tofauti na mwakajana na mwakajuzi.
Kweli umetoa Ufafanuzi mzuri Sana .
 
Back
Top Bottom