Serikali, Wizara ya Mambo ya Nje inawasaidiaje Watanzania walioko Ukraine?

Serikali, Wizara ya Mambo ya Nje inawasaidiaje Watanzania walioko Ukraine?

Tzn ni shida,US ilishatoa tahadhari mapema na kuwataka raia wake waondoke lakini Tzn kama kawaida tukawa kimya watu wanalia huko.

Ukiwasikia vijana walionaswa huko Ukraine ni vilio na hawajui cha kufanya.
JPM alinunua Midege... Hivi kweli Serikali kama inajali .

Walishindwa kwenda kuwaondoa Watanzania hao??


Yaan Pesa za Kutengeneza Movie ya utalii zipo, Pesa za kula Bata Dubai zipo.
 
Mbona umekua too emotional wakati hujajua mpango wa serikali?
Vipi huo mpango wa Serikali.. Umefikia wapi??


Tekinolojia inatuonyesha kua Watanzania wametwama na wanahangaika kwelikweli.


Vipi Bwana serikali. Mpango wako unasubiri vita iishe ??


NCHI HII ILIKOSA VIONGOZI WENYE MAONO.
 
Wakati Mataifa ya watu US, Uingereza, Ujeruman, Israel yakiendelea kuwataka RAIA wake watoke Ukraine.

Ni wazi pia kuna Watanzania walioko Nchini Ukraine kimakazi, kikazi, kimasomo n.k

Mnawasaidiaje sasa, Hasa kwenye kipindi hiki cha mgogoro mkubwa ambao muda wowote Vita inaweza kutokea?

Au ndo tunaenda na Chifu Hangaya tuuze Gesi et eeehhh yaan Rais mzima wa nchi alichoona kwanza ni kuuza Gesi, ila hajawaza Watanzania waliotwama huko?

Sisikii hata Matamko yakuwataka Watanzania walioko huko kufanya Hatua kadhaa.

Hii nchi ya kijinga kweli, Viongozi Bogasi kabisa, na ndio maana akina Ben Saanane wanapotea, akina Azory wanapotea na hamna wa kujali!

Yaani kwa Viongozi wa Tanzania, Raia ni MTU wa mwisho kufikiriwa!

Nisaidieni ,au Mimi huku niliko ndo sina taarifa?

Shame on you!

Labda wangesikia kuna tozo
 
Vipi huo mpango wa Serikali.. Umefikia wapi??


Tekinolojia inatuonyesha kua Watanzania wametwama na wanahangaika kwelikweli.


Vipi Bwana serikali. Mpango wako unasubiri vita iishe ??


NCHI HII ILIKOSA VIONGOZI WENYE MAONO.
Gombea uongozi Mkuu

Maana wengi type yako hata families tu zinawashinda
 
Wakati Mataifa ya watu US, Uingereza, Ujeruman, Israel yakiendelea kuwataka RAIA wake watoke Ukraine.

Ni wazi pia kuna Watanzania walioko Nchini Ukraine kimakazi, kikazi, kimasomo n.k

Mnawasaidiaje sasa, Hasa kwenye kipindi hiki cha mgogoro mkubwa ambao muda wowote Vita inaweza kutokea?

Au ndo tunaenda na Chifu Hangaya tuuze Gesi et eeehhh yaan Rais mzima wa nchi alichoona kwanza ni kuuza Gesi, ila hajawaza Watanzania waliotwama huko?

Sisikii hata Matamko yakuwataka Watanzania walioko huko kufanya Hatua kadhaa.

Hii nchi ya kijinga kweli, Viongozi Bogasi kabisa, na ndio maana akina Ben Saanane wanapotea, akina Azory wanapotea na hamna wa kujali!

Yaani kwa Viongozi wa Tanzania, Raia ni MTU wa mwisho kufikiriwa!

Nisaidieni ,au Mimi huku niliko ndo sina taarifa?

Shame on you!
students stranded on the Polish border. Worst of all is the fact that the Ukrainians themselves are not allowing Africans to board the free trains that they have provided for Ukrainians and other nationals to leave the Ukraine and flee to Europe

There are reports that the Ukrainian police got on these free trains and removed all the Africans saying they had to stay whilst they allowed nationals from ALL other countries, including India etc, to proceed. That is how low down the ladder Africans are now

It is so sad & I am glad that the BBC has reported it. Treating Africans with such contempt is unacceptable. Do our people not have the right to flee from Russian bombs and carnage too & save their lives? This is nothing but pure racism and it is evil

Even when they are fighting and people are dying the Europeans are still denying some people access to their borders simply because of their skin color. How wicked can they be?

Acha yapigane yana roho mbaya sana. What is happening? God have mercy.
 
Kuna Mtanzania gani yuko Ukraine kalalamika kukosa msaada?
Ishu si kusubiria hadi walalamike... Tunapaswa kama taifa tuwe na sera/sheria ya kumjali mtanzania yeyote atakayepatwa na janga ndani au nje ya nchi.
Human security should be placed above and beyond state security!
Watanzania ndo wanafanya taifa liwepo na serikali iwepo. Tuwajali!
Kuna mataifa yapo radhi kutumia national resources kumuokoa raia apatapwo na janga!!
 
Ni muhimu watanzania walioko kwenye Nchi mbali mbali za Nje kujisajili kwenye ofisi za Balozi za Tanzania katika Nchi hizo ili ikitokea tatizo Balozi zijue idadi yao.
Huwezi kuwasaidia watu ambao hujui idadi yao na hujui hata kama wapo kwenye Nchi husika.
Tutakapotimiza wajibu wetu wa kujisajili ndipo tutaweza kuzitaka Ofisi hizo zitusaidie.
Ni wajibu wa kila Nchi kusaidia raia wake wakihitaji msaada.Ni wajibu pia wa raia kuwasiliana na ofisi za mabalozi baada ya kufika Nchi husika.
labda waweke utaratibu wa rollcall kila siku asubuhi, vinginevyo ni kupoteza muda mana hawatunzi kumbukumbu
 
Kwahiyo mpango ndo mmeupata sasa, kutumia Dege ,kwenye nchi ambayo imefunga anga lake ??

Kwa hakika mnamatatizo vichwani.
Mpango uko kwa EAC na wameshaweka neno

Wewe usitie na matatizo kichwani (maybe una miduduwasha kichwani) una mpango gani?
 
Mpango uko kwa EAC na wameshaweka neno

Wewe usitie na matatizo kichwani (maybe una miduduwasha kichwani) una mpango gani?
Ovyo kabisa, mkishakula , m naanza kufikiria kwa makalio .

Kwahiyo Hilo Dege litatua wapi???


Walinzi wa Mipakani wa Ukraine. ,hawaruhusu mwaafrika kupita kuingia nchi Jiran .


Una lipi la kusema Bwana Lumumba???.


What if hilo lingefanyika mapema ile wakat wamagharibi wakitoa tahadhari??.
 
Back
Top Bottom