Serikali ya awamu ya tano ilikusanya kodi Trilioni 1.3 kwa mwezi, leo awamu ya sita yakopa fedha hizohizo kutoka IMF kwa matumizi yaleyale

Serikali ya awamu ya tano ilikusanya kodi Trilioni 1.3 kwa mwezi, leo awamu ya sita yakopa fedha hizohizo kutoka IMF kwa matumizi yaleyale

Wakati huo mwendakuzimu si bado alikuwa hai au?

Chukua hii fact, Mbilikimo alikuwa anakusanya mapato kidogo kuliko Mkwere baada ya kuvuruga uchumi.

TRA katika historia yake haijawahi kukusanya 2 trillion au karibia na hicho kiasi.
UNA UNAUHAKIKA?
Nakuuliza swali,aliweza vipi kulipia mishahara bila kuyumba,kulipia miradi mikubwa aliyoianzisha,elimu bure,kujenga hospitali zote mpya unazoziona leo,madawa,kuongeza mikopo ya elimu ya juu, kununua ndege keshi,na bado janga la uviko likapiga bila kutuathili sana lakini bado ameiacha nchi inatembea haiko kati ya mataifa yaliyo athilika sana kiuchumi,msitake kutuchanganya kama mmeanza kuanguka msitake kumsingizia yule mzee,hapo hatutaelewana tuna timamu tunaelewa kila kitu.
 
Ilikuwa propaganda, waulize watu wa TRA. Mbilikimo alikuwa anakusanya nusu ya hayo mapato

Mbilikimo alipika takwimu nyingi to compensate for his inferiority complex baada ya kuharibu uchumi imara ulioachwa na Mkwere.
Kama propaganda kafatilie baada ya kifo vha huyo Rais kama mapato yalishuka mpaka billion 900 kwa mwezi
 
UNA UNAUHAKIKA?
Nakuuliza swali,aliweza vipi kulipia mishahara bila kuyumba,kulipia miradi mikubwa aliyoianzisha,elimu bure,kujenga hospitali zote mpya unazoziona leo,madawa,kuongeza mikopo ya elimu ya juu, kununua ndege keshi,na bado janga la uviko likapiga bila kutuathili sana lakini bado ameiacha nchi inatembea haiko kati ya mataifa yaliyo athilika sana kiuchumi,msitake kutuchanganya kama mmeanza kuanguka msitake kumsingizia yule mzee,hapo hatutaelewana tuna timamu tunaelewa kila kitu.
Soma hapo mkuu Tanzania Standard Gauge Railway - Wikipedia
 
UNA UNAUHAKIKA?
Nakuuliza swali,aliweza vipi kulipia mishahara bila kuyumba,kulipia miradi mikubwa aliyoianzisha,elimu bure,kujenga hospitali zote mpya unazoziona leo,madawa,kuongeza mikopo ya elimu ya juu, kununua ndege keshi,na bado janga la uviko likapiga bila kutuathili sana lakini bado ameiacha nchi inatembea haiko kati ya mataifa yaliyo athilika sana kiuchumi,msitake kutuchanganya kama mmeanza kuanguka msitake kumsingizia yule mzee,hapo hatutaelewana tuna timamu tunaelewa kila kitu.
Mkuu, mwambie huyo na genge lake wote wanahusika na kutaka kuharibu legacy ya JPM

Ni kweli alikuwa na kasoro kwenye mambo mengine lakini hili la matumizi ya fedha za serikali kwa nidhamu hakuna raisi anaempita tangu uhuru.
 
Back
Top Bottom