Serikali ya CCM imetutapeli Wavuvi pesa za mradi wa IFAD, mabilioni ya Samia YAYEYUKA

Serikali ya CCM imetutapeli Wavuvi pesa za mradi wa IFAD, mabilioni ya Samia YAYEYUKA

Rashidi Jololo

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2022
Posts
1,704
Reaction score
2,858
Wanabodi, kama ilivyokuwa katika awamu ya mwisho ya Kikwete, vilianzishwa vikundi na vyama vya ushirika na kukopeshwa mamilioni ya shilingi bila riba. Baada ya utawala wa Magufuli kuingia, vikundi na vyama hivyo vya ushirika vikafutiliwa mbali na kutokomea na kodi zetu.

Mchezo huo ni kama umerejea tena, Serikali ya CCM IMETUTAPELI wavuvi pesa za mradi wa IFAD, yale mabilioni ya Samia kwaajili ya kukopesha wavuvi YAMELIWA NA WAKUBWA, HAKUNA PESA YEYOTE ILIYOLIPWA HADI SASA.

Tusaidieni kupaaza sauti ili WALAFI hawa waweze kuziachia

UTAPELI.PNG


UTAPELI -1.PNG
 
Tumefuatilia katika ofisi zote kwa muda mrefu, sarakasi tu zinaendelea
 
Katiba Mpya.jpg


Uongozi.jpg


Mama na "watoto wake" hawataki kabisa kuachia pesa zetu wavuvi, ili tuanze shughuli za ufugaji samaki kwa vizimba mara sasa? KATIBA MPYA ndio suluhu la hawa wezi na mafisadi
 
Back
Top Bottom