Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Jamani acheni kula Tozo zetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona unaweka picha ya kupotosha Ili kuichafua serikali Kwa maslahi ya nani? Chadema au Sukuma gang?Jamani acheni kula Tozo zetu
View attachment 2527225
Hili daraja mbona fupi hivi. Kwa urefu huo ikinyesha mvua kubwa si maji yanapita kingo kiasi cha kuzuia magari yanavotaka kuvuka yasiweze ingia hasa hapa upande wa kushotoJamani acheni kula Tozo zetu
View attachment 2527225
Umejuaje kama hayo maji sio ya hiyo mvua kubwa?Hili daraja mbona fupi hivi. Kwa urefu huo ikinyesha mvua kubwa si maji yanapita kingo kiasi cha kuzuia magari yanavotaka kuvuka yasiweze ingia hasa hapa upande wa kushoto
HajitambuiKivuko kutengeneza bilioni 7.5 na bei ya kununua kivuko bilioni 8.
Nashangaa mtu anatuletelea mabarafu kulinganisha na daraja.ccm ijawai kuwa na akili tena ili group la chawa zaidi
Nikuoneshe madaraja yaliyo jengwa kwa pesa hiyo. Mda mwengine unasimu ni kama kilaza tu.kutafuta ukweliHajitambui
Huo ndio mwisho wa mvua kubwa? Kwamba hakuna inayoweza zidi hapo au kutokea mafuriko. Unavyoona force ya maji, erosion, water clarity na depth unaona ni ya mvua kubwa hayo.Umejuaje kama hayo maji sio ya hiyo mvua kubwa?
Mimi naona hilo daraja ni fupi hasa kulia hapo
Side view ila sio ya river banks. Alafu sijasema urefu kwenda juu, sisemi height nasema length
Ikifika masika msimu huu linaondoka lote wataanza upyaJamani acheni kula Tozo zetu
View attachment 2527225
kwa hiyo inabidi fedha ziongezwe ili liimarishwe, hizo 7B hazitoshiIkifika masika msimu huu linaondoka lote wataanza upya