Serikali ya CCM inatuibia Watanzania chini ya uongozi wa Rais Samia. Hili daraja ni Bil 7?

Serikali ya CCM inatuibia Watanzania chini ya uongozi wa Rais Samia. Hili daraja ni Bil 7?

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Jamani acheni kula Tozo zetu
20230223_110010.jpg
 
Daraja ni kama ice berg. Kile unachokiona ni 20% na kile kisichoonekana ni 80%.
Ndio maana hata yaje mafuriko gani daraja huwa halichukuliwi na maji kwa vile sehemu kubwa ya daraja huwa submerged chini ya ardhi.

Iceberg.jpg

images (4).jpeg
images (1).jpeg
 
Hili daraja mbona fupi hivi. Kwa urefu huo ikinyesha mvua kubwa si maji yanapita kingo kiasi cha kuzuia magari yanavotaka kuvuka yasiweze ingia hasa hapa upande wa kushoto
Umejuaje kama hayo maji sio ya hiyo mvua kubwa?
 
Umejuaje kama hayo maji sio ya hiyo mvua kubwa?
Huo ndio mwisho wa mvua kubwa? Kwamba hakuna inayoweza zidi hapo au kutokea mafuriko. Unavyoona force ya maji, erosion, water clarity na depth unaona ni ya mvua kubwa hayo.
Hapo ni Morogoro, tafuta kama ni msimu wa mvua na ujue tributaries za mto kama zinatoka maeneo yenye mvua.

Mimi naona hilo daraja ni fupi hasa kulia hapo
 
Back
Top Bottom