Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
- Thread starter
- #21
Walimu usiwaonee na wao ni wahangaWakurugenzi + wanajeshi + polisi + wasimamizi wasiojijambua hasa walimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walimu usiwaonee na wao ni wahangaWakurugenzi + wanajeshi + polisi + wasimamizi wasiojijambua hasa walimu
nawasihi watumishi wote katika idara, taasisi na kada mbalimbali nchini, na katika umoja wao waendelee kuchapa kazi kwa biidii, maarifa na weledi ili kusidi malengo ya maeneo ya kazi yawezekufikiwa kikamilifi samabamaba uboreshaji wa mazingira bora ya kazi, vifaa, usalama na maslahi yao kwa ujumlaKila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake.
Mwaka huu Mei Mosi tena imepita hola.
Wafanyakazi madai yao mmetuona kama nyama ya Nyongeza.
Sasa nasisi tunajua pakushika. Tutaoneshana Umwamba Uchaguzi ujao.
Kama mmeona hatuna thamani basi hata kura zetu hamtaziona.

Tumeshsmchsngia hela za form.Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake.
Mwaka huu Mei Mosi tena imepita hola.
Wafanyakazi madai yao mmetuona kama nyama ya Nyongeza.
Sasa nasisi tunajua pakushika. Tutaoneshana Umwamba Uchaguzi ujao.
Kama mmeona hatuna thamani basi hata kura zetu hamtaziona.
Danganya totonawasihi watumishi wote katika idara, taasisi na kada mbalimbali nchini, na katika umoja wao waendelee kuchapa kazi kwa biidii, maarifa na weledi ili kusidi malengo ya maeneo ya kazi yawezekufikiwa kikamilifi samabamaba uboreshaji wa mazingira bora ya kazi, vifaa, usalama na maslahi yao kwa ujumla
uzaelendo, uaminifu na utii kwa mamlaka iwe ndio dira na uelekeo katika utumishi wenu. Daima upotoshaji wa aina yoyote upuuzwe tu kama kawaida na tusonge mbele kuwatumikia waTanzanaia...
Pesa za kuzuga zileTumeshsmchsngia hela za form.
Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake.
Mwaka huu Mei Mosi tena imepita hola.
Wafanyakazi madai yao mmetuona kama nyama ya Nyongeza.
Sasa nasisi tunajua pakushika. Tutaoneshana Umwamba Uchaguzi ujao.
Kama mmeona hatuna thamani basi hata kura zetu hamtaziona.
Wanajiamini kwa kuwa hawahitaji kura ya mtu kushinda, ni mwendo wa goli la mkono tuKama mmeona hatuna thamani basi hata kura zetu hamtaziona.
Hahah....hili nalo nenoUchaguzi ujao , kwani mtahesabu nyinyi kura ??
HahahaKuongezewa mshahara siyo lazima utangaziwe wewe subiri Julai au unataka wafanyabiashara tuanze kupandisha bei ya bidhaa?
Hata kama hakuna upinzani, nibora kupigia kura jiwe...🤨Kwa upinzani gani uliopo nchini wa kuchukua nchi?
HahahaHata kama hakuna upinzani, nibora kupigia kura jiwe...🤨
Mtawafanya nini? Watu mil.1 tuu mnaweza kuamua matokeo kweli?Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake.
Mwaka huu Mei Mosi tena imepita hola.
Wafanyakazi madai yao mmetuona kama nyama ya Nyongeza.
Sasa nasisi tunajua pakushika. Tutaoneshana Umwamba Uchaguzi ujao.
Kama mmeona hatuna thamani basi hata kura zetu hamtaziona.
Tulieni watumishi bado kuna mei mosi tena mwakani jambo lenu tutaliweka sawaKila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake.
Mwaka huu Mei Mosi tena imepita hola.
Wafanyakazi madai yao mmetuona kama nyama ya Nyongeza.
Sasa nasisi tunajua pakushika. Tutaoneshana Umwamba Uchaguzi ujao.
Kama mmeona hatuna thamani basi hata kura zetu hamtaziona.
imeisha hiyo na tunasonga mbele kwa umoja na kwa pamojaDanganya toto

acha kukurupuka andika vizuri kwani kuna vita, au mkononi unaendelea kulamba mchuzi wa mei mosinawasihi watumishi wote katika idara, taasisi na kada mbalimbali nchini, na katika umoja wao waendelee kuchapa kazi kwa biidii, maarifa na weledi ili kusidi malengo ya maeneo ya kazi yawezekufikiwa kikamilifi samabamaba uboreshaji wa mazingira bora ya kazi, vifaa, usalama na maslahi yao kwa ujumla
uzaelendo, uaminifu na utii kwa mamlaka iwe ndio dira na uelekeo katika utumishi wenu. Daima upotoshaji wa aina yoyote upuuzwe tu kama kawaida na tusonge mbele kuwatumikia waTanzanaia...
Hii ndiyo comment yangu Bora ya mwezi huuCcm ingekua inategemea kura za wananchi kubaki madarakani wangewajibika, tatizo hawategemei kura zenu