Pre GE2025 Serikali ya CCM Mei Mosi mmejifanya wajanja, tutawanyoosha Uchaguzi Mwakani

Pre GE2025 Serikali ya CCM Mei Mosi mmejifanya wajanja, tutawanyoosha Uchaguzi Mwakani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake.

Mwaka huu Mei Mosi tena imepita hola.

Wafanyakazi madai yao mmetuona kama nyama ya Nyongeza.

Sasa nasisi tunajua pakushika. Tutaoneshana Umwamba Uchaguzi ujao.

Kama mmeona hatuna thamani basi hata kura zetu hamtaziona.
Wafanyakazi wa Kenya wanapambana na Serikali yao live,nyie mmekuwa wajinga sana. Nchi imejaaa wajinga
 
Walimu Walitoa Michango Ya Fomu Moja Ya Rais Ndani Ya CCM Ya Kijani

Ila Leo Hii Aibu Sana, Janjaro Ndiyo Amewatumbwiza Na Hao Wadudu
 
Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake.

Mwaka huu Mei Mosi tena imepita hola.

Wafanyakazi madai yao mmetuona kama nyama ya Nyongeza.

Sasa nasisi tunajua pakushika. Tutaoneshana Umwamba Uchaguzi ujao.

Kama mmeona hatuna thamani basi hata kura zetu hamtaziona.
Tumewaona kama bamia ya nyongez, siyo nyama.
 
Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake.

Mwaka huu Mei Mosi tena imepita hola.

Wafanyakazi madai yao mmetuona kama nyama ya Nyongeza.

Sasa nasisi tunajua pakushika. Tutaoneshana Umwamba Uchaguzi ujao.

Kama mmeona hatuna thamani basi hata kura zetu hamtaziona.
Niacheni Leo niwaite makondoo....ndani ya masala 24 mtakua mmeshasahau kila kitu acha 2025
 
Mmeletewa wadudu
Mmeletewa wasanii
😄😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 😂
😄 🤣 😂

Ova
 
Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake.

Mwaka huu Mei Mosi tena imepita hola.

Wafanyakazi madai yao mmetuona kama nyama ya Nyongeza.

Sasa nasisi tunajua pakushika. Tutaoneshana Umwamba Uchaguzi ujao.

Kama mmeona hatuna thamani basi hata kura zetu hamtaziona.
Ndo muisome namba na kuamka toka usingizini
 
Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake.

Mwaka huu Mei Mosi tena imepita hola.

Wafanyakazi madai yao mmetuona kama nyama ya Nyongeza.

Sasa nasisi tunajua pakushika. Tutaoneshana Umwamba Uchaguzi ujao.

Kama mmeona hatuna thamani basi hata kura zetu hamtaziona.
Moja, wafanyakazi wa serikali hawafiki milioni 2 kati ya wapiga kura milioni 25. Hivyo kitisho chenu ni hewa.

Mbili, ccm haitegemei kura ili kushinda uchaguzi, inategemea dola na tume tu.
 
Hivi kitakwimu mpo wangapi, unaweza kunipa number approximately ?
 
Back
Top Bottom