SOVIET UNION
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 509
- 1,391
Wafanyakazi wa Kenya wanapambana na Serikali yao live,nyie mmekuwa wajinga sana. Nchi imejaaa wajingaKila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake.
Mwaka huu Mei Mosi tena imepita hola.
Wafanyakazi madai yao mmetuona kama nyama ya Nyongeza.
Sasa nasisi tunajua pakushika. Tutaoneshana Umwamba Uchaguzi ujao.
Kama mmeona hatuna thamani basi hata kura zetu hamtaziona.
SahihiCcm ingekua inategemea kura za wananchi kubaki madarakani wangewajibika, tatizo hawategemei kura zenu
We ndio mwelevu?Wafanyakazi wa Kenya wanapambana na Serikali yao live,nyie mmekuwa wajinga sana. Nchi imejaaa wajinga
Hahaa.....kata funuaWalimu Walitoa Michango Ya Fomu Moja Ya Rais Ndani Ya CCM Ya Kijani
Ila Leo Hii Aibu Sana, Janjaro Ndiyo Amewatumbwiza Na Hao Wadudu
Tumewaona kama bamia ya nyongez, siyo nyama.Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake.
Mwaka huu Mei Mosi tena imepita hola.
Wafanyakazi madai yao mmetuona kama nyama ya Nyongeza.
Sasa nasisi tunajua pakushika. Tutaoneshana Umwamba Uchaguzi ujao.
Kama mmeona hatuna thamani basi hata kura zetu hamtaziona.
Niacheni Leo niwaite makondoo....ndani ya masala 24 mtakua mmeshasahau kila kitu acha 2025Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake.
Mwaka huu Mei Mosi tena imepita hola.
Wafanyakazi madai yao mmetuona kama nyama ya Nyongeza.
Sasa nasisi tunajua pakushika. Tutaoneshana Umwamba Uchaguzi ujao.
Kama mmeona hatuna thamani basi hata kura zetu hamtaziona.
Inasikitisha Sana, ila ni sisi ndo tunayalea hayaWAVUTA BANGI WAANOJIITA WADUDU WAMETUMIKA KUPOTEZA NA KUWAONDOA WAFANYAKAZI KWENYE HOJA ZAO ZA MAANA KAMA HILI LA KIKOKOTOO.....
Yani huu ndo ukweli mchunguFact
HahaaNiacheni Leo niwaite makondoo....ndani ya masala 24 mtakua mmeshasahau kila kitu acha 2025
Ndo muisome namba na kuamka toka usingiziniKila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake.
Mwaka huu Mei Mosi tena imepita hola.
Wafanyakazi madai yao mmetuona kama nyama ya Nyongeza.
Sasa nasisi tunajua pakushika. Tutaoneshana Umwamba Uchaguzi ujao.
Kama mmeona hatuna thamani basi hata kura zetu hamtaziona.
Moja, wafanyakazi wa serikali hawafiki milioni 2 kati ya wapiga kura milioni 25. Hivyo kitisho chenu ni hewa.Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake.
Mwaka huu Mei Mosi tena imepita hola.
Wafanyakazi madai yao mmetuona kama nyama ya Nyongeza.
Sasa nasisi tunajua pakushika. Tutaoneshana Umwamba Uchaguzi ujao.
Kama mmeona hatuna thamani basi hata kura zetu hamtaziona.
Nchi hii shida inaanzia Kwa mtu mmoja mmoja,ujinga umezidi sanaKwa upinzani gani uliopo nchini wa kuchukua nchi?
majambaziCcm wanawaona Watanzania kama yama ya nyongeza
Mbona wamechanga na hela ya kuchukulia fomu ya mama?Walimu usiwaonee na wao ni wahanga
Ule mchongo fakeMbona wamechanga na hela ya kuchukulia fomu ya mama?
Halafu yule jamaa akihutubia huwa simwelewi anaongea kitu gani. Utamwona anaongea huku anatabasamu Kiseminari, bila point yoyote ya maana kwenye hotuba yake.
Halafu yule jamaa akihutubia huwa simwelewi anaongea kitu gani. Utamwona anaongea huku anatabasamu Kiseminari, bila point yoyote ya maana kwenye hotuba