Wafanyakazi ndiyo kiini cha mapato nchini.Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake.
Mwaka huu Mei Mosi tena imepita hola.
Wafanyakazi madai yao mmetuona kama nyama ya Nyongeza.
Sasa nasisi tunajua pakushika. Tutaoneshana Umwamba Uchaguzi ujao.
Kama mmeona hatuna thamani basi hata kura zetu hamtaziona.
Heri ya mwendazake alikuwa anawapa makavu live 😀😀😀Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake.
Mwaka huu Mei Mosi tena imepita hola.
Wafanyakazi madai yao mmetuona kama nyama ya Nyongeza.
Sasa nasisi tunajua pakushika. Tutaoneshana Umwamba Uchaguzi ujao.
Kama mmeona hatuna thamani basi hata kura zetu hamtaziona.
Kama wafanyakazi ndio mna dola basi sasa kila la kheriKila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake.
Mwaka huu Mei Mosi tena imepita hola.
Wafanyakazi madai yao mmetuona kama nyama ya Nyongeza.
Sasa nasisi tunajua pakushika. Tutaoneshana Umwamba Uchaguzi ujao.
Kama mmeona hatuna thamani basi hata kura zetu hamtaziona.
Uchguzi wanapora ndugu yangu. Tumeshawashikisha adabu mara nyingi lakini wanaporaKila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake.
Mwaka huu Mei Mosi tena imepita hola.
Wafanyakazi madai yao mmetuona kama nyama ya Nyongeza.
Sasa nasisi tunajua pakushika. Tutaoneshana Umwamba Uchaguzi ujao.
Kama mmeona hatuna thamani basi hata kura zetu hamtaziona.
Midamida inazingua kinoumaaaaa lo
Hii bwana hii sijui mwisho wake utakuajeWakurugenzi + wanajeshi + polisi + wasimamizi wasiojijambua hasa walimu
Tume ya Rais😆😆Mkuu kwa hii hii Tume huru ya Samia iliyovalishwa ngozi ya kondoo wakati ni mbwa mwitu yule yule?
Si wataiba kura, policcm, tume ya uchaguzi, TISS, and to a small extenr jwtzKila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake.
Mwaka huu Mei Mosi tena imepita hola.
Wafanyakazi madai yao mmetuona kama nyama ya Nyongeza.
Sasa nasisi tunajua pakushika. Tutaoneshana Umwamba Uchaguzi ujao.
Kama mmeona hatuna thamani basi hata kura zetu hamtaziona.
DuuhSi wataiba kura, policcm, tume ya uchaguzi, TISS, and to a small extenr jwtz
Ila watumishi sijui huwa tunajionaje yaani.Watumishi mmetumika sana kuhujumu chaguzi nyingi dhidi ya upinzani mlidhani nyie ndo mpo salama kumbe mnatoboa mtumbwi ambao na nyie mmepanda ngoja akili ziwakae sawa.
Usiwachague et tu kwa sbb wamekuongezea mshahara huo ni ubinafsi,hata wakiongeza bado hawafai kuchaguliwa,ccm imeshazeeka haina jipya tena,upigaji juu ya upigaji ,unatuumiza soteKila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake.
Mwaka huu Mei Mosi tena imepita hola.
Wafanyakazi madai yao mmetuona kama nyama ya Nyongeza.
Sasa nasisi tunajua pakushika. Tutaoneshana Umwamba Uchaguzi ujao.
Kama mmeona hatuna thamani basi hata kura zetu hamtaziona.
Mifuko ya Jamii ina hali mbaya Dumuzi wameifilisi .....KIKOKOTOOMtawafanya nini? Watu mil.1 tuu mnaweza kuamua matokeo kweli?
View: https://twitter.com/millardayo/status/1785651040215273636?t=DwktkKr8TXyoJfctftfq5A&s=19
Wafanyakazi Wenyewe Makondoo. Kwani pale mlikuwa mnadi nini? Likizo ya Uzazi WA Mapacha? Hatukuona Madai ya maana Sana Praise Team na TUCTA yenu.Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake.
Mwaka huu Mei Mosi tena imepita hola.
Wafanyakazi madai yao mmetuona kama nyama ya Nyongeza.
Sasa nasisi tunajua pakushika. Tutaoneshana Umwamba Uchaguzi ujao.
Kama mmeona hatuna thamani basi hata kura zetu hamtaziona.