Pre GE2025 Serikali ya CCM Mei Mosi mmejifanya wajanja, tutawanyoosha Uchaguzi Mwakani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
2020 ulikuwa wapi mkuu maana haihitaji kura zanu ili kushinda uchaguzi
 
Wafanyakazi ndiyo kiini cha mapato nchini.
Mkishaopeka mishara yenu, nasi biashara mitaani zinachangamka.
 
Heri ya mwendazake alikuwa anawapa makavu live 😀😀😀
 
Leo nimefurai Sana kwakweli.
Mdogo mdogo tutaelewana wenzenu uko wazanzibar mambo bambam nyie mnapigwa somjo za kulipa Kodi na kudai stakabazi😂😂😂😂😂😂.
Mpango kawapanga chuma yenu endeleeni kuwaibia kura mafisiemu
 
Kama wafanyakazi ndio mna dola basi sasa kila la kheri
 
Nikikumbuka zile kelele za wafanyakazi humu ile mei mosi ya kwanza ya Samia madarakani
 
Uchguzi wanapora ndugu yangu. Tumeshawashikisha adabu mara nyingi lakini wanapora
 
Mkuu kwa hii hii Tume huru ya Samia iliyovalishwa ngozi ya kondoo wakati ni mbwa mwitu yule yule?
 
Si wataiba kura, policcm, tume ya uchaguzi, TISS, and to a small extenr jwtz
 
Watumishi mmetumika sana kuhujumu chaguzi nyingi dhidi ya upinzani mlidhani nyie ndo mpo salama kumbe mnatoboa mtumbwi ambao na nyie mmepanda ngoja akili ziwakae sawa.
 
Watumishi mmetumika sana kuhujumu chaguzi nyingi dhidi ya upinzani mlidhani nyie ndo mpo salama kumbe mnatoboa mtumbwi ambao na nyie mmepanda ngoja akili ziwakae sawa.
Ila watumishi sijui huwa tunajionaje yaani.

Unajikuta serikali iko mfukoni mwako😆😆
 
Usiwachague et tu kwa sbb wamekuongezea mshahara huo ni ubinafsi,hata wakiongeza bado hawafai kuchaguliwa,ccm imeshazeeka haina jipya tena,upigaji juu ya upigaji ,unatuumiza sote
 
Mmeletewa wadudu
Mmeletewa wasani wametumbuiza,
Mnataka nn tena 😄

Ova
 
Wafanyakazi Wenyewe Makondoo. Kwani pale mlikuwa mnadi nini? Likizo ya Uzazi WA Mapacha? Hatukuona Madai ya maana Sana Praise Team na TUCTA yenu.
 
Wadudu walikua hawapigi kura
2025 kura za wadudu zote ni NDIO

mate you aint irreplaceable
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…