Pre GE2025 Serikali ya CCM Mei Mosi mmejifanya wajanja, tutawanyoosha Uchaguzi Mwakani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wadudu walikua hawapigi kura
2025 kura za wadudu zote ni NDIO

mate you aint irreplaceable
Subiri uone bila policcm kama watatoboa.
Wale sio Wadudu ni Chawa waloojivisha ududu fake.
 
Mnajifariji tu.
  • kuna mei mos 1 kabla ya uchaguzi.
  • hata malipo wachagua watatangazwa washindi.
 
Ni lini CCM ilipita kwa kura ya watumishi wa umma?
Mtanzania anayedhani sanduku la kupigia kura litaamua hatma yake hajitambui bado
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…