Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rubbish, hangaya ana maono gani kwa mfano. Amalizie muda wake atoke!.Nabii hakubaliki kwao. Tuna raisi bora, mwenye maono, mpenda maendeleo na mtatuaji wa kero na shida za Watanzania. Ila kuna kundi la wavuta bangi, wanywa gongo na viloba wanajaribu kumchafua na kujifanya hawayaoni mazuri anayoyafanya, kisa tu mshika akili wao kawekwa ndani.
Endelea kukariri kuwa rasilimali ndo utajiriKama kwa rasilimali zilizopo bado unaona ni ufahari kujenga vitu vya msingi kwa tozo basi wewe huna unachokijua.Ila unatakiwa ujue uwezo wako wakufikiri umefika ukingoni.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Utakonda sana mwaka huu na kwa maono yake mataifa yanazidi tu kumuiga we endelea kusononeka hapo chatoRubbish, hangaya ana maono gani kwa mfano. Amalizie muda wake atoke!.
Mwenye maono ni huyu aliepuuzwa kwenye mkutano wake wa uchaguzi mkuu. Inashangaza mpaka leo 2021, kijana bado unakubali kudanganywa na kugeuzwa daraja la kuvukia na kufikia mafanikio ya kupiga hela za ruzuku ya chama, na mbaya zaidi kushikiwa akili na wanasiasa wabovu na wapigania matumbo yao kama hawa. Kijana shtuka, usiwe mfata upepo wa wale wanaofaidika na mfumo mbovu na mbaya wa viongozi wa upinzani.Rubbish, hangaya ana maono gani kwa mfano. Amalizie muda wake atoke!.
upumbavu mtupu, tozo zimekuja baada ya hela kuisha hazina na aliyezimaliza ni huyohuyo ccm! Pesa za wastaafu zimekombwa zote hazijulikani zimeenda wapi na waliochukua ni hao hao CCM! Tozo sio za kusifia na hazikupaswa kuwepo! Tozo zinawapa maisha magumu zaidi watu! Tozo zimekuja ili serikali ya CCM ipate pesa ilizofuja kwa harakaNabii hakubaliki kwao. Tuna raisi bora, mwenye maono, mpenda maendeleo na mtatuaji wa kero na shida za Watanzania. Ila kuna kundi la wavuta bangi, wanywa gongo na viloba wanajaribu kumchafua na kujifanya hawayaoni mazuri anayoyafanya, kisa tu mshika akili wao kawekwa ndani.
Ukiona mfanyabiashara na genge lake wanang'ang'ania kitu, basi ujue wana masilahi nacho. Jamaa wamekaa madarakani kwa zaidi ya miaka kumi na tano wakitafuna ruzuku ya chama, mamilioni ya wafadhili wa ndani na nje, mamilioni ya Sabodo aliyokipa chama kijenge ofisi ya kitaifa, mamilioni ya wabunge waliokuwa wakikatwa kila mwezi kwa muda wa miaka mitano, kukiuzia chama magari chakavu kwa mabilioni ya shilingi, kutafuna hela za michango ya uchaguzi nk. Hivi mwenyekiti wa aina hii akiingia ikulu na genge lake hazina yetu itasalimika kweli? Ebu fungua akili yako ujiulize swali hili, na sio kukubali wajanja wachache wakutumie ww kama kichaka chao cha kupigia propaganda isiyokuwa na faida na maisha yako huku wao wakiingiza mabilioni kupitia siasa uchwara zisizo na kichwa wala miguu.upumbavu mtupu, tozo zimekuja baada ya hela kuisha hazina na aliyezimaliza ni huyohuyo ccm! Pesa za wastaafu zimekombwa zote hazijulikani zimeenda wapi na waliochukua ni hao hao CCM! Tozo sio za kusifia na hazikupaswa kuwepo! Tozo zinawapa maisha magumu zaidi watu! Tozo zimekuja ili serikali ya CCM ipate pesa ilizofuja kwa haraka
,,,,,,,xxxxxxshyyy,,, Hovyo.Nabii hakubaliki kwao. Tuna raisi bora, mwenye maono, mpenda maendeleo na mtatuaji wa kero na shida za Watanzania. Ila kuna kundi la wavuta bangi, wanywa gongo na viloba wanajaribu kumchafua na kujifanya hawayaoni mazuri anayoyafanya, kisa tu mshika akili wao kawekwa ndani.
Mpenda mazuri aliyeharibu maelfu ya ajira binafsi ndogo ndogo?Nabii hakubaliki kwao. Tuna raisi bora, mwenye maono, mpenda maendeleo na mtatuaji wa kero na shida za Watanzania. Ila kuna kundi la wavuta bangi, wanywa gongo na viloba wanajaribu kumchafua na kujifanya hawayaoni mazuri anayoyafanya, kisa tu mshika akili wao kawekwa ndani.
Mh kaka milion 2000 ni sawa na bilion ngapi?Acha kuhamisha magoli we mshamba
Ulisema mwanzo nitafute sehemu iliyoandikwa 3.6 dola bilioni. Umeona umeishiwa nguvu kwa sababu haipo sasa unahamia kwenye status ya deni!😂😂😂
Kubali kuwa huna hoja umejaa upotoshaji tu muhuni wewe!
Kaka embu muache mpk hata mm namcheka.Wewe ni mjinga, nimekuwekea report mbili za April na October, ili upate difference ambayo ndio hiyo 3.6bil
Hata akili tu ya kujiongeza huna? Unatafuta sehemu walioandika billion, haitumiki hapo hapo inatumika maelfu ya milion.
Elimu yako ni ndogo Sana, report nyingine hiyo Soma hapo, najua pia hutaelewa.
View attachment 2052907