Ni copy ya BMW X3Imeharibu kivipi kaka!?
Kumbe Ile engine ya supra ni ya BMW?
Iran wanajitahidi aisee wana kampuni nyingine inaitwa Bahman,embu tizama chuma hiyo chini mkuu haikushawishi kweli kuinunua!?View attachment 3155052
Yeah ila somehow wanakuja.Hio
Ni copy ya BMW X3
Mie nina wazee TRC,walinipa fununu kuwa ilikua bado kidogo wajenge Iran,na Iran wako na teknolojia nzuri sana ya reli,ila ubahili wa 10% ukawafanya wakose tenda na kupewa mzabuni Yepi Merkezi.Mkuu Iran sio watu wa kubahatisha.
Sawa gari zao hazijajulikana kwasababu ya vikwazo vya kiuchumi walivyowekewa.
Ila mind you Iran ingekua imeachiwa huru aisee watu wangepiga sana nduru.
Mfano mdogo tu,umeona hii reli yetu ya SGR?
Mie nina wazee TRC,walinipa fununu kuwa ilikua bado kidogo wajenge Iran,na Iran wako na teknolojia nzuri sana ya reli,ila ubahili wa 10% ukawafanya wakose tenda na kupewa mzabuni Yepi Merkezi.
Iran ni watu ambao huwa wakifanya kitu wanajizatiti na hawabahatishi.
USA na washirika wake kumuwekea vikwazo hawajakurupuka,wanajua uwezo wake mkuu.
Wewe fikiria taifa lina vikwazo takriban miaka 40+ ila ipo uchumi wa kati wa juu,imeendelea kiteknolojia sio tu ya silaha bali hata ya nuclear,madawa(waliunda chanjo yao ya corona),reli n.k n.k.
Jiulize wangekua huru kama Tanzania tu wangelikua wapi!??
Na hizo gari zinakuwa manufactured from scrap to a whole thing.
Kama una ndugu mameneja pale TRC tafuta hizi fununu watakwambia.Mie nina wazee TRC,walinipa fununu kuwa ilikua bado kidogo wajenge Iran,na Iran wako na teknolojia nzuri sana ya reli,ila ubahili wa 10% ukawafanya wakose tenda na kupewa mzabuni Yepi Merkezi.
allah akbar, subhana watallah dah watu wana siri sana kumbe iran ndo ilikuwa ajenge sgr,
Kwenye manunuzi % kawaida tena serikalini ndo kabisaa hivyo sijashangaaKama una ndugu mameneja pale TRC tafuta hizi fununu watakwambia.
Ila ubahili wa kutoa ukawanyima tenda.
Tenda takriban zote huwa anayetangaza zabuni ili akupe Kuna ka percent umpe kama ahsante ya kukuchagua.
Ukigoma umeikosa.
Kuna kitabu kimoja tulisoma enzi hizo kikiitwa Ndoto ya Ndaria.Iran hawezi kubadili sera kwaajili ya watu wachache kuwalamba miguu mazayuni, hio haitawezekana kwa dunia inaenda kubadilika BRiCS ikipata momentum kuna unafuu mkubwa unakuja hapo mbeleni
Naifahamu historia ya Iran miaka mingi sana kaka; unacho kisema nakijua. Unakumbuka wakati tunafanya mjadara na wewe humu, nilikuonesha I know that country before and after Islamic revolution? Naweza kurudi nyuma even before Christ. Iranian ni intelligent for years. Najua hata chanzo cha mgogoro wao na Israel ni nini? Wengi wanadhani ni DINI, sio dini. Hawa wameanza mgogoro miaka 70 baada ya dola ya Babel( leo Iraqi) kuanguka, before that they were friends wakifanya biashara pamoja and in fact hawa Iran ndio waliowasaidia Israel kurudi kwao baada ya dolla ya Babel kuwateka na kubomoa mji wa Jerusalem na kuteka vijana wenye akili to their country, it was Iran ndio waliwasaidia kurudi home, that time Iran ndio alikua king wa middle east baada ya Babel.Mkuu Iran sio watu wa kubahatisha.
Sawa gari zao hazijajulikana kwasababu ya vikwazo vya kiuchumi walivyowekewa.
Ila mind you Iran ingekua imeachiwa huru aisee watu wangepiga sana nduru.
Mfano mdogo tu,umeona hii reli yetu ya SGR?
Mie nina wazee TRC,walinipa fununu kuwa ilikua bado kidogo wajenge Iran,na Iran wako na teknolojia nzuri sana ya reli,ila ubahili wa 10% ukawafanya wakose tenda na kupewa mzabuni Yepi Merkezi.
Iran ni watu ambao huwa wakifanya kitu wanajizatiti na hawabahatishi.
USA na washirika wake kumuwekea vikwazo hawajakurupuka,wanajua uwezo wake mkuu.
Wewe fikiria taifa lina vikwazo takriban miaka 40+ ila ipo uchumi wa kati wa juu,imeendelea kiteknolojia sio tu ya silaha bali hata ya nuclear,madawa(waliunda chanjo yao ya corona),reli n.k n.k.
Jiulize wangekua huru kama Tanzania tu wangelikua wapi!??
Na hizo gari zinakuwa manufactured from scrap to a whole thing.
Hakuna nchi inayoweza kufika popote kwa kutengwa na Dunia, na Dunia, hasa mataifa ya Ulaya na America. Hiyo ndiyo Dunia yenye soko kubwa lenye nguvu na imara kuliko regional markets zote za Dunua. Urusi ya kale, USSR, pamoja na ukubwa wa nchi na resources nyingi na tekinolojia, haikufika popote kutokana na kutengwa na masoko hatlya makubwa, na baadaye ilisalimu amri kwa mataifa ya Magharibi, na kuishia kuomba msaada, na ili kupata msaada ikapewa masharti ya kuheshimu uhuru wa watu, iliporidhia, ikawa ndiyo mwisho wa USSR. Leo Urusi imegeuka kuwa adui wa nchi zilizokuwa sehemu ya muungano wa kisovieti.Iran hawezi kubadili sera kwaajili ya watu wachache kuwalamba miguu mazayuni, hio haitawezekana kwa dunia inaenda kubadilika BRiCS ikipata momentum kuna unafuu mkubwa unakuja hapo mbeleni
Yaan kwamba kwenye hiyo tenda hata kampuni za china zilikuwa chini ya hiyo kampuni ya kiirani? maana mchina kwenye reli yupo vizuri sanaaa sasa najiuliza muiran aliwapitaje wachina kwenye tender analysis? kwa maana ya technical, na financial? Hebu itaje hiyo kampuni ya Iran unayosemaMkuu Iran sio watu wa kubahatisha.
Sawa gari zao hazijajulikana kwasababu ya vikwazo vya kiuchumi walivyowekewa.
Ila mind you Iran ingekua imeachiwa huru aisee watu wangepiga sana nduru.
Mfano mdogo tu,umeona hii reli yetu ya SGR?
Mie nina wazee TRC,walinipa fununu kuwa ilikua bado kidogo wajenge Iran,na Iran wako na teknolojia nzuri sana ya reli,ila ubahili wa 10% ukawafanya wakose tenda na kupewa mzabuni Yepi Merkezi.
Iran ni watu ambao huwa wakifanya kitu wanajizatiti na hawabahatishi.
USA na washirika wake kumuwekea vikwazo hawajakurupuka,wanajua uwezo wake mkuu.
Wewe fikiria taifa lina vikwazo takriban miaka 40+ ila ipo uchumi wa kati wa juu,imeendelea kiteknolojia sio tu ya silaha bali hata ya nuclear,madawa(waliunda chanjo yao ya corona),reli n.k n.k.
Jiulize wangekua huru kama Tanzania tu wangelikua wapi!??
Na hizo gari zinakuwa manufactured from scrap to a whole thing.
Shida sio kujitenga na dunia, shida ni malengo ya hao mabwana zidi ya Iran, nakuhakikishia iran akilegeza mpango ni uleule kama wa Libya ndio lengo la western. Mpaka sasa mafuta ambayo wameshindwa kuyachukua kihuni ni hayo ya Iran. Wao sio wajinga na Iran anatamani kuingia soko huria lakini hofu ya western zidi ya Iran ndio inayomkwamishaHakuna nchi inayoweza kufika popote kwa kutengwa na Dunia, na Dunia, hasa mataifa ya Ulaya na America. Hiyo ndiyo Dunia yenye soko kubwa lenye nguvu na imara kuliko regional markets zote za Dunua. Urusi ya kale, USSR, pamoja na ukubwa wa nchi na resources nyingi na tekinolojia, haikufika popote kutokana na kutengwa na masoko hatlya makubwa, na baadaye ilisalimu amri kwa mataifa ya Magharibi, na kuishia kuomba msaada, na ili kupata msaada ikapewa masharti ya kuheshimu uhuru wa watu, iliporidhia, ikawa ndiyo mwisho wa USSR. Leo Urusi imegeuka kuwa adui wa nchi zilizokuwa sehemu ya muungano wa kisovieti.
Iran, hata ifanye nini, kwa kujitenga na Ulimwengu, itaishia kuwatesa raia wake, wakati nchi ilikuwa na potential kubwa ya maendeleo makubwa.
BRICS, bado sana. Uchumi na soko la BRICS bado ni mdogo sana ukilinganisha na ule wa nchi za Magharibi. BRICS mpaka kuweza kuwa na uchumi na soko shindani ni process, siyo tukio la mara moja.
FAKE NEWSWadau hamjamboni nyote?
Kiwanda cha magari cha saipa kilijengwa na Serikali ya Iran huko Syria mwaka 2004 kwa ajili ya kuzalisha magari
Hakuna kiwanda cha Iran kinachoendelea na uzalishaji nchini Syria kwa sasa
Serikali ya Iran ikimiliki asilimia 80 huku Syria ikimiliki asilimia 20
Syria kwa sasa inapendelea kufanya biashara na nchi zenye uchumi huria ambao bidhaa zake ni zenye ubora mkubwa na gharama nafuu
Jisomeeni wenyewe hapo chini kwa kimombo:
Iran’s car factory in Syria shuts down, reflecting broader setbacks
1 hour ago
An Iranian state-owned car assembly plant in Syria has closed after nearly 20 years, marking yet another blow to Tehran’s economic ambitions in the war-torn country, where it continues to maintain a significant military presence.
The head of Iran-Syria chamber of commerce, Saeed Aref announced that Saipa, the sole Iranian automaker active in Syria, has ceased production, and no other Iranian factories in the country have become operational, citing unresolved issues between the two countries.
"Iranian companies are still active in providing infrastructure for Syrian industries, exporting technical and engineering services, and carrying out essential and specialized infrastructure repairs," he added.
The announcement comes as Supreme Leader Ali Khamenei’s special representative, Ali Larijani, visited Damascus and Beirut, signaling ongoing efforts to strengthen Iran’s regional influence. However, Iran’s economic footprint in Syria remains disproportionately small despite its costly military involvement during the civil war.
The story of Saipa’s factory in Syria began during the Mohammad Khatami administration in 2004, with construction initiated as part of an ambitious bilateral project.
By 2007, the Pride model’s production line was inaugurated in Homs in the presence of Syrian President Bashar al-Assad. The project, dubbed Siveco, saw Saipa owning 80% of the company while the Syrian government held a 20% stake.
During Mahmoud Ahmadinejad’s presidency, Saipa’s Syrian operations became emblematic of the Islamic Republic’s broader industrial ambitions abroad, with plans to produce up to 15,000 vehicles annually.
A similar initiative by Iran Khodro aimed to establish a factory in Syria in 2009. Yet, these ventures struggled to achieve success as civil war began in 2011, and repeated attempts to reach profitability largely faltered.
Iran’s economic struggles in Syria are accentuated by its massive financial outlays during the civil war. In 2020, Heshmatollah Falahatpisheh, a former member of Iranian Parliament’s National Security and Foreign Policy Committee, estimated that Iran spent $20 to $30 billion supporting Bashar al-Assad’s regime.
"We may have given $20 to $30 billion to Syria, and we need to get it back. This nation’s money was spent there," he said. Others have put the figure at more than $50 billion.
Despite this significant investment, Iran’s share in Syria’s post-war economy remains minimal. Mohammad Amirzadeh, Vice President of Iran’s Chamber of Commerce, lamented in 2021 that weak economic diplomacy had reduced Iran’s share in the Syrian market to just 3%, compared to Turkey’s dominant 30%.
But the real reasons might be economic, as Syrians prefer to deal with free-market economies with competitive quality and price, rather than Iran's government-controlled and isolated economy.
The shuttering of Saipa’s factory epitomizes the Islamic Republic’s inability to capitalize on its investments in Syria. While Turkey and other players secure substantial shares of the Syrian economy, Iran faces diminishing returns despite its critical role in supporting Assad during the war.
Shauri yako shura ya Maimamu tulikua tunachangishana hapa tukanunue Saipa hata mbili wewe unaleta mambo yakoHamna Saipa humo, hio ni Toyota Allion rebaged. Waache uhuni hao! Kumbe wanafanya mchezo wa kichina nao. Tazama hii gari na hio Saipa zina tofauti gani 😂!?
View attachment 3155039
Iran, sawa tu na Tanzania, ni nchi ambayo serikali haina ridhaa ya wananchi lakini inaongoza tu kwa sababu inalindwa na dola.Iran toka imekuwa na vikwazo ni lini? Je, tanzania isiyo kuwa na vikwazo imeizidi?
Hivyo ndivyo unaaminishwa na propaganda za kimagharibi. Duniani kote, hakuna sehemu ambapo raia wanaikubali serikali wote kwa asilimia mia hata huko marekani tumeona uchaguzi wa juzi hadi trump kashinda tena kwa kishindo bado kuna raia hawataki.Iran, sawa tu na Tanzania, ni nchi ambayo serikali haina ridhaa ya wananchi lakini inaongoza tu kwa sababu inalindwa na dola.
Lakini kwenye nchi ya Iran kungekuwa na mfumo kamili wa kidemokrasia ambapo wananchi ndio wanaamua nani awe kiongozi wao leo hii akina Ayatollah na genge lake wangekuwa hawajulikani kabisa.
Sawa tu na Tanzania kama tungekuwa na mfumo wa uchaguzi ambao wananchi ndio wanaamua nani awe kiongozi hakuna ambao wangemfahamu Samia Suluhu Hassan.
Jina sikutajiwa ila wacha nikawachokonoe wazee wanitajie.Yaan kwamba kwenye hiyo tenda hata kampuni za china zilikuwa chini ya hiyo kampuni ya kiirani? maana mchina kwenye reli yupo vizuri sanaaa sasa najiuliza muiran aliwapitaje wachina kwenye tender analysis? kwa maana ya technical, na financial? Hebu itaje hiyo kampuni ya Iran unayosema
Iran hakuwa na ubavu wowote ule wa kumshinda mchina kwenye hiyo tender ya SGR na hata mturuki alipewa tu kwa mlango wa uwani.Jina sikutajiwa ila wacha nikawachokonoe wazee wanitajie.
Mkuu zabuni inapotangazwa Kuna mambo mengi ambayo yanatizamwa.
Kama ukizungumzia hayo basi CHINA ndiye angetakiwa achukue tenda na sio Uturuki Yepi Merkezi.
Je Uturuki anamzidi lolote China?
Jibu nooop Uturuki haimzidi China kwa lolote.
Ila mbona zabuni alishinda Yapi Merkezi!?
Katika zabuni kuna masuala mengi yanatizamwa mkuu.
Huwa unafikiria pafupi sana aisee mkuu.Iran hakuwa na ubavu wowote ule wa kumshinda mchina kwenye hiyo tender ya SGR na hata mturuki alipewa tu kwa mlango wa uwani.
Halafu hawa wairan wa deal chafu za kuuza mafuta kwa magendo ndo wakatae kutoa 10% ili wapate tenda? Hapa umedanganywa
Unajichanganya sana yaan hujui hata unaandika nini,Huwa unafikiria pafupi sana aisee mkuu.
Jaribu kutanua akili.
Kama Uturuki alivyopewa kwa mlango wa uwani basi na Iran vivyo hivyo alitaka kupewa kwa mlango wa uwani.
Suala la uuzaji wa mafuta kimagendo ni kwasababu Iran inakwepa vikwazo vya kiuchumi ndio maana inauza mafuta kwa mlango wa nyuma,haitoi pesa ili iuze mafuta.
Embu tofautisha kuuza kitu kwa siri na kupata zabuni kwa kulipa 10% ya pesa ya mradi,kiakili ya kawaida utaona kama unadhulumiwa.
Embu usiwe unaifunga akili tanua akili mazeeh.
Mbona Netanyau %90 ya raia wake hawamtaki kila siku wanaandamana lakini hataki kuondoka?Iran, sawa tu na Tanzania, ni nchi ambayo serikali haina ridhaa ya wananchi lakini inaongoza tu kwa sababu inalindwa na dola.
Lakini kwenye nchi ya Iran kungekuwa na mfumo kamili wa kidemokrasia ambapo wananchi ndio wanaamua nani awe kiongozi wao leo hii akina Ayatollah na genge lake wangekuwa hawajulikani kabisa.
Sawa tu na Tanzania kama tungekuwa na mfumo wa uchaguzi ambao wananchi ndio wanaamua nani awe kiongozi hakuna ambao wangemfahamu Samia Suluhu Hassan.