Serikali ya Iran yafunga kiwanda chake cha kutengeneza magari kilichojengwa Syria miaka 20 iliyopita, sababu za kiuchumi na mahusiano mabaya zatajwa

Serikali ya Iran yafunga kiwanda chake cha kutengeneza magari kilichojengwa Syria miaka 20 iliyopita, sababu za kiuchumi na mahusiano mabaya zatajwa

Mkuu Iran sio watu wa kubahatisha.
Sawa gari zao hazijajulikana kwasababu ya vikwazo vya kiuchumi walivyowekewa.
Ila mind you Iran ingekua imeachiwa huru aisee watu wangepiga sana nduru.
Mfano mdogo tu,umeona hii reli yetu ya SGR?
Mie nina wazee TRC,walinipa fununu kuwa ilikua bado kidogo wajenge Iran,na Iran wako na teknolojia nzuri sana ya reli,ila ubahili wa 10% ukawafanya wakose tenda na kupewa mzabuni Yepi Merkezi.
Iran ni watu ambao huwa wakifanya kitu wanajizatiti na hawabahatishi.
USA na washirika wake kumuwekea vikwazo hawajakurupuka,wanajua uwezo wake mkuu.
Wewe fikiria taifa lina vikwazo takriban miaka 40+ ila ipo uchumi wa kati wa juu,imeendelea kiteknolojia sio tu ya silaha bali hata ya nuclear,madawa(waliunda chanjo yao ya corona),reli n.k n.k.
Jiulize wangekua huru kama Tanzania tu wangelikua wapi!??
Na hizo gari zinakuwa manufactured from scrap to a whole thing.
Mie nina wazee TRC,walinipa fununu kuwa ilikua bado kidogo wajenge Iran,na Iran wako na teknolojia nzuri sana ya reli,ila ubahili wa 10% ukawafanya wakose tenda na kupewa mzabuni Yepi Merkezi.

allah akbar, subhana watallah dah watu wana siri sana kumbe iran ndo ilikuwa ajenge sgr,
 
Mie nina wazee TRC,walinipa fununu kuwa ilikua bado kidogo wajenge Iran,na Iran wako na teknolojia nzuri sana ya reli,ila ubahili wa 10% ukawafanya wakose tenda na kupewa mzabuni Yepi Merkezi.

allah akbar, subhana watallah dah watu wana siri sana kumbe iran ndo ilikuwa ajenge sgr,
Kama una ndugu mameneja pale TRC tafuta hizi fununu watakwambia.
Ila ubahili wa kutoa ukawanyima tenda.
Tenda takriban zote huwa anayetangaza zabuni ili akupe Kuna ka percent umpe kama ahsante ya kukuchagua.
Ukigoma umeikosa.
 
Kama una ndugu mameneja pale TRC tafuta hizi fununu watakwambia.
Ila ubahili wa kutoa ukawanyima tenda.
Tenda takriban zote huwa anayetangaza zabuni ili akupe Kuna ka percent umpe kama ahsante ya kukuchagua.
Ukigoma umeikosa.
Kwenye manunuzi % kawaida tena serikalini ndo kabisaa hivyo sijashangaa
 
Iran hawezi kubadili sera kwaajili ya watu wachache kuwalamba miguu mazayuni, hio haitawezekana kwa dunia inaenda kubadilika BRiCS ikipata momentum kuna unafuu mkubwa unakuja hapo mbeleni
Kuna kitabu kimoja tulisoma enzi hizo kikiitwa Ndoto ya Ndaria.
 
Mkuu Iran sio watu wa kubahatisha.
Sawa gari zao hazijajulikana kwasababu ya vikwazo vya kiuchumi walivyowekewa.
Ila mind you Iran ingekua imeachiwa huru aisee watu wangepiga sana nduru.
Mfano mdogo tu,umeona hii reli yetu ya SGR?
Mie nina wazee TRC,walinipa fununu kuwa ilikua bado kidogo wajenge Iran,na Iran wako na teknolojia nzuri sana ya reli,ila ubahili wa 10% ukawafanya wakose tenda na kupewa mzabuni Yepi Merkezi.
Iran ni watu ambao huwa wakifanya kitu wanajizatiti na hawabahatishi.
USA na washirika wake kumuwekea vikwazo hawajakurupuka,wanajua uwezo wake mkuu.
Wewe fikiria taifa lina vikwazo takriban miaka 40+ ila ipo uchumi wa kati wa juu,imeendelea kiteknolojia sio tu ya silaha bali hata ya nuclear,madawa(waliunda chanjo yao ya corona),reli n.k n.k.
Jiulize wangekua huru kama Tanzania tu wangelikua wapi!??
Na hizo gari zinakuwa manufactured from scrap to a whole thing.
Naifahamu historia ya Iran miaka mingi sana kaka; unacho kisema nakijua. Unakumbuka wakati tunafanya mjadara na wewe humu, nilikuonesha I know that country before and after Islamic revolution? Naweza kurudi nyuma even before Christ. Iranian ni intelligent for years. Najua hata chanzo cha mgogoro wao na Israel ni nini? Wengi wanadhani ni DINI, sio dini. Hawa wameanza mgogoro miaka 70 baada ya dola ya Babel( leo Iraqi) kuanguka, before that they were friends wakifanya biashara pamoja and in fact hawa Iran ndio waliowasaidia Israel kurudi kwao baada ya dolla ya Babel kuwateka na kubomoa mji wa Jerusalem na kuteka vijana wenye akili to their country, it was Iran ndio waliwasaidia kurudi home, that time Iran ndio alikua king wa middle east baada ya Babel.
Now kwenye issue ya biashara hi ya magari, kwanza naijua for years hasa baada ya vita vyake na Iraqi kwisha, France ndio alikua wa kwanza kupeleka kiwanda cha Peugeot pale, kwamba walikua wanatengeneza gari kwa technology yao na brand yao, hi ndio sikua naijua BUT again kwasasa kupenya kwenye soko la Toyota bro, ni ngumu sana. Wajeruman pamoja na gari zao kutumiwa na VIPs worldwide but Toyota kawapigisha magot chini, Italy alitamba na gari zake miaka ya 80, nae chali; Uingereza ndio kwaanza kaamua kupeleka Landrover zake India but still Toyota anamchezesha anavyo taka. Ni ngumu sana; I also knows why Iran decided to put some his factories, industries to other countries; VIKWAZO alivowekewa na mataifa ya magharibi. Ingawaje kwenye reli tuweni wakweli tu; nchi yetu tuna uzembe mwingi sana, hi ilikua sio ya kutushinda, sema tunawekeza akili nyingi sana kwenye siasa badala ya production/uchumi. Reli ya Tazara ilitakiwa kutupatia funzo BUT tunakwenda shule sijui hata zinatusaidia nini. Hi linakera. Ndio sasa unaona kinacho endelea Kariakoo. Vifaa ya kuulia watu, kuteka na kutesa tunavyo vya kisasa sana, lakini vifaa na ujuzi wa kuokolea watu HATUNA. Inaudhi
 
Iran hawezi kubadili sera kwaajili ya watu wachache kuwalamba miguu mazayuni, hio haitawezekana kwa dunia inaenda kubadilika BRiCS ikipata momentum kuna unafuu mkubwa unakuja hapo mbeleni
Hakuna nchi inayoweza kufika popote kwa kutengwa na Dunia, na Dunia, hasa mataifa ya Ulaya na America. Hiyo ndiyo Dunia yenye soko kubwa lenye nguvu na imara kuliko regional markets zote za Dunua. Urusi ya kale, USSR, pamoja na ukubwa wa nchi na resources nyingi na tekinolojia, haikufika popote kutokana na kutengwa na masoko hatlya makubwa, na baadaye ilisalimu amri kwa mataifa ya Magharibi, na kuishia kuomba msaada, na ili kupata msaada ikapewa masharti ya kuheshimu uhuru wa watu, iliporidhia, ikawa ndiyo mwisho wa USSR. Leo Urusi imegeuka kuwa adui wa nchi zilizokuwa sehemu ya muungano wa kisovieti.

Iran, hata ifanye nini, kwa kujitenga na Ulimwengu, itaishia kuwatesa raia wake, wakati nchi ilikuwa na potential kubwa ya maendeleo makubwa.

BRICS, bado sana. Uchumi na soko la BRICS bado ni mdogo sana ukilinganisha na ule wa nchi za Magharibi. BRICS mpaka kuweza kuwa na uchumi na soko shindani ni process, siyo tukio la mara moja.
 
Mkuu Iran sio watu wa kubahatisha.
Sawa gari zao hazijajulikana kwasababu ya vikwazo vya kiuchumi walivyowekewa.
Ila mind you Iran ingekua imeachiwa huru aisee watu wangepiga sana nduru.
Mfano mdogo tu,umeona hii reli yetu ya SGR?
Mie nina wazee TRC,walinipa fununu kuwa ilikua bado kidogo wajenge Iran,na Iran wako na teknolojia nzuri sana ya reli,ila ubahili wa 10% ukawafanya wakose tenda na kupewa mzabuni Yepi Merkezi.
Iran ni watu ambao huwa wakifanya kitu wanajizatiti na hawabahatishi.
USA na washirika wake kumuwekea vikwazo hawajakurupuka,wanajua uwezo wake mkuu.
Wewe fikiria taifa lina vikwazo takriban miaka 40+ ila ipo uchumi wa kati wa juu,imeendelea kiteknolojia sio tu ya silaha bali hata ya nuclear,madawa(waliunda chanjo yao ya corona),reli n.k n.k.
Jiulize wangekua huru kama Tanzania tu wangelikua wapi!??
Na hizo gari zinakuwa manufactured from scrap to a whole thing.
Yaan kwamba kwenye hiyo tenda hata kampuni za china zilikuwa chini ya hiyo kampuni ya kiirani? maana mchina kwenye reli yupo vizuri sanaaa sasa najiuliza muiran aliwapitaje wachina kwenye tender analysis? kwa maana ya technical, na financial? Hebu itaje hiyo kampuni ya Iran unayosema
 
Hakuna nchi inayoweza kufika popote kwa kutengwa na Dunia, na Dunia, hasa mataifa ya Ulaya na America. Hiyo ndiyo Dunia yenye soko kubwa lenye nguvu na imara kuliko regional markets zote za Dunua. Urusi ya kale, USSR, pamoja na ukubwa wa nchi na resources nyingi na tekinolojia, haikufika popote kutokana na kutengwa na masoko hatlya makubwa, na baadaye ilisalimu amri kwa mataifa ya Magharibi, na kuishia kuomba msaada, na ili kupata msaada ikapewa masharti ya kuheshimu uhuru wa watu, iliporidhia, ikawa ndiyo mwisho wa USSR. Leo Urusi imegeuka kuwa adui wa nchi zilizokuwa sehemu ya muungano wa kisovieti.

Iran, hata ifanye nini, kwa kujitenga na Ulimwengu, itaishia kuwatesa raia wake, wakati nchi ilikuwa na potential kubwa ya maendeleo makubwa.

BRICS, bado sana. Uchumi na soko la BRICS bado ni mdogo sana ukilinganisha na ule wa nchi za Magharibi. BRICS mpaka kuweza kuwa na uchumi na soko shindani ni process, siyo tukio la mara moja.
Shida sio kujitenga na dunia, shida ni malengo ya hao mabwana zidi ya Iran, nakuhakikishia iran akilegeza mpango ni uleule kama wa Libya ndio lengo la western. Mpaka sasa mafuta ambayo wameshindwa kuyachukua kihuni ni hayo ya Iran. Wao sio wajinga na Iran anatamani kuingia soko huria lakini hofu ya western zidi ya Iran ndio inayomkwamisha
 
Wadau hamjamboni nyote?

Kiwanda cha magari cha saipa kilijengwa na Serikali ya Iran huko Syria mwaka 2004 kwa ajili ya kuzalisha magari

Hakuna kiwanda cha Iran kinachoendelea na uzalishaji nchini Syria kwa sasa

Serikali ya Iran ikimiliki asilimia 80 huku Syria ikimiliki asilimia 20

Syria kwa sasa inapendelea kufanya biashara na nchi zenye uchumi huria ambao bidhaa zake ni zenye ubora mkubwa na gharama nafuu


Jisomeeni wenyewe hapo chini kwa kimombo:

Iran’s car factory in Syria shuts down, reflecting broader setbacks
1 hour ago


An Iranian state-owned car assembly plant in Syria has closed after nearly 20 years, marking yet another blow to Tehran’s economic ambitions in the war-torn country, where it continues to maintain a significant military presence.

The head of Iran-Syria chamber of commerce, Saeed Aref announced that Saipa, the sole Iranian automaker active in Syria, has ceased production, and no other Iranian factories in the country have become operational, citing unresolved issues between the two countries.

"Iranian companies are still active in providing infrastructure for Syrian industries, exporting technical and engineering services, and carrying out essential and specialized infrastructure repairs," he added.

The announcement comes as Supreme Leader Ali Khamenei’s special representative, Ali Larijani, visited Damascus and Beirut, signaling ongoing efforts to strengthen Iran’s regional influence. However, Iran’s economic footprint in Syria remains disproportionately small despite its costly military involvement during the civil war.

The story of Saipa’s factory in Syria began during the Mohammad Khatami administration in 2004, with construction initiated as part of an ambitious bilateral project.

By 2007, the Pride model’s production line was inaugurated in Homs in the presence of Syrian President Bashar al-Assad. The project, dubbed Siveco, saw Saipa owning 80% of the company while the Syrian government held a 20% stake.

During Mahmoud Ahmadinejad’s presidency, Saipa’s Syrian operations became emblematic of the Islamic Republic’s broader industrial ambitions abroad, with plans to produce up to 15,000 vehicles annually.

A similar initiative by Iran Khodro aimed to establish a factory in Syria in 2009. Yet, these ventures struggled to achieve success as civil war began in 2011, and repeated attempts to reach profitability largely faltered.

Iran’s economic struggles in Syria are accentuated by its massive financial outlays during the civil war. In 2020, Heshmatollah Falahatpisheh, a former member of Iranian Parliament’s National Security and Foreign Policy Committee, estimated that Iran spent $20 to $30 billion supporting Bashar al-Assad’s regime.

"We may have given $20 to $30 billion to Syria, and we need to get it back. This nation’s money was spent there," he said. Others have put the figure at more than $50 billion.

Despite this significant investment, Iran’s share in Syria’s post-war economy remains minimal. Mohammad Amirzadeh, Vice President of Iran’s Chamber of Commerce, lamented in 2021 that weak economic diplomacy had reduced Iran’s share in the Syrian market to just 3%, compared to Turkey’s dominant 30%.

But the real reasons might be economic, as Syrians prefer to deal with free-market economies with competitive quality and price, rather than Iran's government-controlled and isolated economy.

The shuttering of Saipa’s factory epitomizes the Islamic Republic’s inability to capitalize on its investments in Syria. While Turkey and other players secure substantial shares of the Syrian economy, Iran faces diminishing returns despite its critical role in supporting Assad during the war.
FAKE NEWS
 
Iran toka imekuwa na vikwazo ni lini? Je, tanzania isiyo kuwa na vikwazo imeizidi?
Iran, sawa tu na Tanzania, ni nchi ambayo serikali haina ridhaa ya wananchi lakini inaongoza tu kwa sababu inalindwa na dola.

Lakini kwenye nchi ya Iran kungekuwa na mfumo kamili wa kidemokrasia ambapo wananchi ndio wanaamua nani awe kiongozi wao leo hii akina Ayatollah na genge lake wangekuwa hawajulikani kabisa.

Sawa tu na Tanzania kama tungekuwa na mfumo wa uchaguzi ambao wananchi ndio wanaamua nani awe kiongozi hakuna ambao wangemfahamu Samia Suluhu Hassan.
 
Iran, sawa tu na Tanzania, ni nchi ambayo serikali haina ridhaa ya wananchi lakini inaongoza tu kwa sababu inalindwa na dola.

Lakini kwenye nchi ya Iran kungekuwa na mfumo kamili wa kidemokrasia ambapo wananchi ndio wanaamua nani awe kiongozi wao leo hii akina Ayatollah na genge lake wangekuwa hawajulikani kabisa.

Sawa tu na Tanzania kama tungekuwa na mfumo wa uchaguzi ambao wananchi ndio wanaamua nani awe kiongozi hakuna ambao wangemfahamu Samia Suluhu Hassan.
Hivyo ndivyo unaaminishwa na propaganda za kimagharibi. Duniani kote, hakuna sehemu ambapo raia wanaikubali serikali wote kwa asilimia mia hata huko marekani tumeona uchaguzi wa juzi hadi trump kashinda tena kwa kishindo bado kuna raia hawataki.
Iran sio kama tanzania kuanzia miundombinu, viwanda, standard of living, influence yani si kama tanzania kwa chochote.
Sisi tuendlee tu kujicompare na uganda, kenya, mali si iran kwa sababu si level zetu kwa chochote.
 
Yaan kwamba kwenye hiyo tenda hata kampuni za china zilikuwa chini ya hiyo kampuni ya kiirani? maana mchina kwenye reli yupo vizuri sanaaa sasa najiuliza muiran aliwapitaje wachina kwenye tender analysis? kwa maana ya technical, na financial? Hebu itaje hiyo kampuni ya Iran unayosema
Jina sikutajiwa ila wacha nikawachokonoe wazee wanitajie.
Mkuu zabuni inapotangazwa Kuna mambo mengi ambayo yanatizamwa.
Kama ukizungumzia hayo basi CHINA ndiye angetakiwa achukue tenda na sio Uturuki Yepi Merkezi.
Je Uturuki anamzidi lolote China?
Jibu nooop Uturuki haimzidi China kwa lolote.
Ila mbona zabuni alishinda Yapi Merkezi!?
Katika zabuni kuna masuala mengi yanatizamwa mkuu.
 
Tasnia ya traditional motor vehicle unaishi kibishi.
Hao Benz n.k wanajua joto wanalivumilia
 
Jina sikutajiwa ila wacha nikawachokonoe wazee wanitajie.
Mkuu zabuni inapotangazwa Kuna mambo mengi ambayo yanatizamwa.
Kama ukizungumzia hayo basi CHINA ndiye angetakiwa achukue tenda na sio Uturuki Yepi Merkezi.
Je Uturuki anamzidi lolote China?
Jibu nooop Uturuki haimzidi China kwa lolote.
Ila mbona zabuni alishinda Yapi Merkezi!?
Katika zabuni kuna masuala mengi yanatizamwa mkuu.
Iran hakuwa na ubavu wowote ule wa kumshinda mchina kwenye hiyo tender ya SGR na hata mturuki alipewa tu kwa mlango wa uwani.

Halafu hawa wairan wa deal chafu za kuuza mafuta kwa magendo ndo wakatae kutoa 10% ili wapate tenda? Hapa umedanganywa
 
Iran hakuwa na ubavu wowote ule wa kumshinda mchina kwenye hiyo tender ya SGR na hata mturuki alipewa tu kwa mlango wa uwani.

Halafu hawa wairan wa deal chafu za kuuza mafuta kwa magendo ndo wakatae kutoa 10% ili wapate tenda? Hapa umedanganywa
Huwa unafikiria pafupi sana aisee mkuu.
Jaribu kutanua akili.
Kama Uturuki alivyopewa kwa mlango wa uwani basi na Iran vivyo hivyo alitaka kupewa kwa mlango wa uwani.
Suala la uuzaji wa mafuta kimagendo ni kwasababu Iran inakwepa vikwazo vya kiuchumi ndio maana inauza mafuta kwa mlango wa nyuma,haitoi pesa ili iuze mafuta.
Embu tofautisha kuuza kitu kwa siri na kupata zabuni kwa kulipa 10% ya pesa ya mradi,kiakili ya kawaida utaona kama unadhulumiwa.

Embu usiwe unaifunga akili tanua akili mazeeh.
 
Huwa unafikiria pafupi sana aisee mkuu.
Jaribu kutanua akili.
Kama Uturuki alivyopewa kwa mlango wa uwani basi na Iran vivyo hivyo alitaka kupewa kwa mlango wa uwani.
Suala la uuzaji wa mafuta kimagendo ni kwasababu Iran inakwepa vikwazo vya kiuchumi ndio maana inauza mafuta kwa mlango wa nyuma,haitoi pesa ili iuze mafuta.
Embu tofautisha kuuza kitu kwa siri na kupata zabuni kwa kulipa 10% ya pesa ya mradi,kiakili ya kawaida utaona kama unadhulumiwa.

Embu usiwe unaifunga akili tanua akili mazeeh.
Unajichanganya sana yaan hujui hata unaandika nini,
Kwa akili yako unataka kusema kuwa hao wairan walishangaa sana walipoambiwa kutoa 10%? maana wao ni wasafi sana na hufanya deal safi tu no rushwa? kitu ambacho ni uongo mtupu kwenye tenda kubwa kama hizo kila kampuni inayobid inajua kabisa mkono mtupu haulambwi na tena hii africa ndo kabisaa
Hebu taja jina la hiyo kampuni ya Iran acha blah blah na ngano zako
 
Iran, sawa tu na Tanzania, ni nchi ambayo serikali haina ridhaa ya wananchi lakini inaongoza tu kwa sababu inalindwa na dola.

Lakini kwenye nchi ya Iran kungekuwa na mfumo kamili wa kidemokrasia ambapo wananchi ndio wanaamua nani awe kiongozi wao leo hii akina Ayatollah na genge lake wangekuwa hawajulikani kabisa.

Sawa tu na Tanzania kama tungekuwa na mfumo wa uchaguzi ambao wananchi ndio wanaamua nani awe kiongozi hakuna ambao wangemfahamu Samia Suluhu Hassan.
Mbona Netanyau %90 ya raia wake hawamtaki kila siku wanaandamana lakini hataki kuondoka?
Ebu nitajie nchi moja ambayo raia wote huwa wanaiunga mkono serikali?
Viwanda nchini Ujerumani vimefirisika na uchumi wake umeingia kwenye mdororo mkubwa na kupelekea serikali kuanguka mbona hujaja hapa kubwabwaja hizo ngonjera zako?
Iran inamiliki viwanda vya magari nchini Iraq na Pakistan mbona hawajavifunga hivyo ?
 
Back
Top Bottom