Serikali ya Iran yafunga kiwanda chake cha kutengeneza magari kilichojengwa Syria miaka 20 iliyopita, sababu za kiuchumi na mahusiano mabaya zatajwa

Serikali ya Iran yafunga kiwanda chake cha kutengeneza magari kilichojengwa Syria miaka 20 iliyopita, sababu za kiuchumi na mahusiano mabaya zatajwa

Hakuna nchi inayoweza kufika popote kwa kutengwa na Dunia, na Dunia, hasa mataifa ya Ulaya na America. Hiyo ndiyo Dunia yenye soko kubwa lenye nguvu na imara kuliko regional markets zote za Dunua. Urusi ya kale, USSR, pamoja na ukubwa wa nchi na resources nyingi na tekinolojia, haikufika popote kutokana na kutengwa na masoko hatlya makubwa, na baadaye ilisalimu amri kwa mataifa ya Magharibi, na kuishia kuomba msaada, na ili kupata msaada ikapewa masharti ya kuheshimu uhuru wa watu, iliporidhia, ikawa ndiyo mwisho wa USSR. Leo Urusi imegeuka kuwa adui wa nchi zilizokuwa sehemu ya muungano wa kisovieti.

Iran, hata ifanye nini, kwa kujitenga na Ulimwengu, itaishia kuwatesa raia wake, wakati nchi ilikuwa na potential kubwa ya maendeleo makubwa.

BRICS, bado sana. Uchumi na soko la BRICS bado ni mdogo sana ukilinganisha na ule wa nchi za Magharibi. BRICS mpaka kuweza kuwa na uchumi na soko shindani ni process, siyo tukio la mara moja.
Mbona hizo nchi za Magharibi mpaka sasa zimeshindwa kuusabaratisha uchumi wa Urusi pamoja na kuiwekea vikwazo maelfu ya vikwazo?

Kwa sasa nchi za Magharibi zimesha poteza udhibiti wa uchumi wa dunia hilo liko wazi kabisa japo huu ukweli hamtaki kuusikia.
Mpaka mwaka 1995 %70 ya uchumi wa dunia nzima ulikuwa una milikiwa na nchi za Magharibi lakini mpaka sasa tunavyo ongea nchi za Magharibi zinamiliki %32 tu ya uchumi wa dunia.
 
Unajichanganya sana yaan hujui hata unaandika nini,
Kwa akili yako unataka kusema kuwa hao wairan walishangaa sana walipoambiwa kutoa 10%? maana wao ni wasafi sana na hufanya deal safi tu no rushwa? kitu ambacho ni uongo mtupu kwenye tenda kubwa kama hizo kila kampuni inayobid inajua kabisa mkono mtupu haulambwi na tena hii africa ndo kabisaa
Hebu taja jina la hiyo kampuni ya Iran acha blah blah na ngano zako
Najichanganya wapi!?
Yani ufananishe tenda na uuzaji mafuta kwa mlango wa nyuma!?
Mbona unalazimisha ku justify hoja zako we jamaa!?
Kwahiyo unataka kusema Kila kampuni ni lazima itoe 10% na makampuni yote yanaridhika na hilo!?

Kuwa muelewa umeambiwa subiri nikikutana Tena na huyo mzee nimuulize,sio kila mtu ana muda hovyo hovyo kama wewe.
 
Iran, sawa tu na Tanzania, ni nchi ambayo serikali haina ridhaa ya wananchi lakini inaongoza tu kwa sababu inalindwa na dola.

Lakini kwenye nchi ya Iran kungekuwa na mfumo kamili wa kidemokrasia ambapo wananchi ndio wanaamua nani awe kiongozi wao leo hii akina Ayatollah na genge lake wangekuwa hawajulikani kabisa.

Sawa tu na Tanzania kama tungekuwa na mfumo wa uchaguzi ambao wananchi ndio wanaamua nani awe kiongozi hakuna ambao wangemfahamu Samia Suluhu Hassan.
Iran ndio nchi pekee yenye demokrasia komavo hapo mido ist hata na baadhi ya mataifa ya ulaya na America ikiwemo yu es ei
 
Naifahamu historia ya Iran miaka mingi sana kaka; unacho kisema nakijua. Unakumbuka wakati tunafanya mjadara na wewe humu, nilikuonesha I know that country before and after Islamic revolution? Naweza kurudi nyuma even before Christ. Iranian ni intelligent for years. Najua hata chanzo cha mgogoro wao na Israel ni nini? Wengi wanadhani ni DINI, sio dini. Hawa wameanza mgogoro miaka 70 baada ya dola ya Babel( leo Iraqi) kuanguka, before that they were friends wakifanya biashara pamoja and in fact hawa Iran ndio waliowasaidia Israel kurudi kwao baada ya dolla ya Babel kuwateka na kubomoa mji wa Jerusalem na kuteka vijana wenye akili to their country, it was Iran ndio waliwasaidia kurudi home, that time Iran ndio alikua king wa middle east baada ya Babel.
Now kwenye issue ya biashara hi ya magari, kwanza naijua for years hasa baada ya vita vyake na Iraqi kwisha, France ndio alikua wa kwanza kupeleka kiwanda cha Peugeot pale, kwamba walikua wanatengeneza gari kwa technology yao na brand yao, hi ndio sikua naijua BUT again kwasasa kupenya kwenye soko la Toyota bro, ni ngumu sana. Wajeruman pamoja na gari zao kutumiwa na VIPs worldwide but Toyota kawapigisha magot chini, Italy alitamba na gari zake miaka ya 80, nae chali; Uingereza ndio kwaanza kaamua kupeleka Landrover zake India but still Toyota anamchezesha anavyo taka. Ni ngumu sana; I also knows why Iran decided to put some his factories, industries to other countries; VIKWAZO alivowekewa na mataifa ya magharibi. Ingawaje kwenye reli tuweni wakweli tu; nchi yetu tuna uzembe mwingi sana, hi ilikua sio ya kutushinda, sema tunawekeza akili nyingi sana kwenye siasa badala ya production/uchumi. Reli ya Tazara ilitakiwa kutupatia funzo BUT tunakwenda shule sijui hata zinatusaidia nini. Hi linakera. Ndio sasa unaona kinacho endelea Kariakoo. Vifaa ya kuulia watu, kuteka na kutesa tunavyo vya kisasa sana, lakini vifaa na ujuzi wa kuokolea watu HATUNA. Inaudhi
Sijasema ashindane na Toyota kaka ila nachosemea na yeye aingie katika game.
 
Back
Top Bottom