ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 2,424
- 4,954
Wahuni wanakukaza wewe sio bureUkienda ulaya hata Asia nchi nyingi ,Machinga wanakuwa na soko lao maalumu kubwa, na pia wenye maduka wanabaki madukani, Sasa inakuaje Machinga hataki fremu anataka akakae barabarani Tena mtaa wenye maduka, njia hazipitiki hili halikubaliki. Serikali ya jiji la dodoma nawaasa muwaondoe Hawa Machinga wanaoziba barabara katika mji huu ambao Sasa unapata wageni Hadi kutoka ulaya
Acheni uonevu ,machinga watapata WAP ela ya kula ,shame on youUkienda ulaya hata Asia nchi nyingi ,Machinga wanakuwa na soko lao maalumu kubwa, na pia wenye maduka wanabaki madukani, Sasa inakuaje Machinga hataki fremu anataka akakae barabarani Tena mtaa wenye maduka, njia hazipitiki hili halikubaliki. Serikali ya jiji la dodoma nawaasa muwaondoe Hawa Machinga wanaoziba barabara katika mji huu ambao Sasa unapata wageni Hadi kutoka ulaya
OvaMachinga ni uchafu tu mijini waondolewe hata kwa nguvu.
Si wapangishe fremuAcheni uonevu ,machinga watapata WAP ela ya kula ,shame on you
Na ukifanya uchunguzi bidhaa wanazouza machinga ni zile zinazozalishwa nchini. Hakuna nchi inaruhusu kufanyia umachinga bidhaa iliyoagizwa kutoka nchi halafu wanaiuza bila efd.Ukienda ulaya hata Asia nchi nyingi ,Machinga wanakuwa na soko lao maalumu kubwa, na pia wenye maduka wanabaki madukani, Sasa inakuaje Machinga hataki fremu anataka akakae barabarani Tena mtaa wenye maduka, njia hazipitiki hili halikubaliki. Serikali ya jiji la dodoma nawaasa muwaondoe Hawa Machinga wanaoziba barabara katika mji huu ambao Sasa unapata wageni Hadi kutoka ulaya
Fremu shilling ngap kwa wiki unadhani wataweza kumudu gharama izoSi wapangishe fremu
Kwani nani kawazuia!?
Hata kwa vikundi
Wajiunge vikundiFremu shilling ngap kwa wiki unadhani wataweza kumudu gharama izo
Vikund vina wajuaj wana upigaji mwingi,waunde vikundi vingap as!?Wajiunge vikundi
Ndio gharama za urasimishaji
Hilo ni suala laoVikund vina wajuaj wana upigaji mwingi,waunde vikundi vingap as!?
Machinga hana Frem jua hiloUkienda ulaya hata Asia nchi nyingi ,Machinga wanakuwa na soko lao maalumu kubwa, na pia wenye maduka wanabaki madukani, Sasa inakuaje Machinga hataki fremu anataka akakae barabarani Tena mtaa wenye maduka, njia hazipitiki hili halikubaliki. Serikali ya jiji la dodoma nawaasa muwaondoe Hawa Machinga wanaoziba barabara katika mji huu ambao Sasa unapata wageni Hadi kutoka ulaya
Ndio inabidi waanze kupangisha sasaMachinga hana Frem jua hilo