Serikali ya jiji la Dodoma Ondoeni Machinga barabara ya One way na barabara ya Nyerere square

Serikali ya jiji la Dodoma Ondoeni Machinga barabara ya One way na barabara ya Nyerere square

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Ukienda Ulaya hata Asia nchi nyingi, Machinga wanakuwa na soko lao maalumu kubwa, na pia wenye maduka wanabaki madukani, Sasa inakuaje Machinga hataki fremu anataka akakae barabarani Tena mtaa wenye maduka, njia hazipitiki hili halikubaliki. Serikali ya jiji la Dodoma nawaasa muwaondoe Hawa Machinga wanaoziba barabara katika mji huu ambao Sasa unapata wageni Hadi kutoka Ulaya.
 
Ukienda ulaya hata Asia nchi nyingi ,Machinga wanakuwa na soko lao maalumu kubwa, na pia wenye maduka wanabaki madukani, Sasa inakuaje Machinga hataki fremu anataka akakae barabarani Tena mtaa wenye maduka, njia hazipitiki hili halikubaliki. Serikali ya jiji la dodoma nawaasa muwaondoe Hawa Machinga wanaoziba barabara katika mji huu ambao Sasa unapata wageni Hadi kutoka ulaya
Wahuni wanakukaza wewe sio bure
 
Ukienda ulaya hata Asia nchi nyingi ,Machinga wanakuwa na soko lao maalumu kubwa, na pia wenye maduka wanabaki madukani, Sasa inakuaje Machinga hataki fremu anataka akakae barabarani Tena mtaa wenye maduka, njia hazipitiki hili halikubaliki. Serikali ya jiji la dodoma nawaasa muwaondoe Hawa Machinga wanaoziba barabara katika mji huu ambao Sasa unapata wageni Hadi kutoka ulaya
Acheni uonevu ,machinga watapata WAP ela ya kula ,shame on you
 

Neno la wiki- Mchuuzi na Machinga


Katika neno la wiki hii leo tunaangazia maneno Mchuuzi na machinga. Mchambuzi wetu ni Nuhu Zuberi Bakari, ambaye ni Naibu Mwenyekiti wa masuala ya mawasiliano kwenye Chama cha Kiswahili cha Taifa nchini Kenya, CHAKITA.

Bwana Zuberi anasema kwamba mchuuzi ni mtu anyeuza vitu vidogo vidogo alivyoweka sehemu iwe ni matunda, vichana au mboga alimradi anuza kwa bei ya reja reja.

Machinga ni mtu yule yule anayeuza vitu vidogo vidogo lakini badala ya kuviuza katika sehemu anavibeba na kuzungusha iwe ni barabarani au kwingineko.


Chanzo Neno la wiki kutoka Umoja wa Mataifa
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Ukienda ulaya hata Asia nchi nyingi ,Machinga wanakuwa na soko lao maalumu kubwa, na pia wenye maduka wanabaki madukani, Sasa inakuaje Machinga hataki fremu anataka akakae barabarani Tena mtaa wenye maduka, njia hazipitiki hili halikubaliki. Serikali ya jiji la dodoma nawaasa muwaondoe Hawa Machinga wanaoziba barabara katika mji huu ambao Sasa unapata wageni Hadi kutoka ulaya
Na ukifanya uchunguzi bidhaa wanazouza machinga ni zile zinazozalishwa nchini. Hakuna nchi inaruhusu kufanyia umachinga bidhaa iliyoagizwa kutoka nchi halafu wanaiuza bila efd.

Jambo lingine Asia wanafanya kitu kama mnada. Mara nyingi huwa wanatangaza kwenye email groups kwamba kutakuwa na mnada/soko sehemu fulani kwa hiyo unakuta event imeandaliwa na watu wamemwaga ili uchague na wengine wanafuata utaratibu wa mnada. Lakini cha kusisitiza ni bidhaa za zilizozalishwa ndani ya nchi.

Asia unaweza kupata mbogamboga kwenye supermarket au unakuta wazee wamepanga mbogamboga na matunda nje ya nyumba lakini hawasahau kutoaa risiti ya efd.

Sasa nenda kwa wamachinga wa kwetu uone bidhaa walizonazo zinazalishwa nchini? wanalipa ushuru?
 
Ukienda ulaya hata Asia nchi nyingi ,Machinga wanakuwa na soko lao maalumu kubwa, na pia wenye maduka wanabaki madukani, Sasa inakuaje Machinga hataki fremu anataka akakae barabarani Tena mtaa wenye maduka, njia hazipitiki hili halikubaliki. Serikali ya jiji la dodoma nawaasa muwaondoe Hawa Machinga wanaoziba barabara katika mji huu ambao Sasa unapata wageni Hadi kutoka ulaya
Machinga hana Frem jua hilo
 
Back
Top Bottom