Thank you for the reminder.Note that even the officer in the IEBC who resigned in the 9th hour during the election re-run of 26/10/2017 was of the status as Miguna wa Miguna, dual nationality an alien!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thank you for the reminder.Note that even the officer in the IEBC who resigned in the 9th hour during the election re-run of 26/10/2017 was of the status as Miguna wa Miguna, dual nationality an alien!!
HahahahaUngeacha kuvuta bange we nyang'au ungeelewa kwamba uhaini si jambo la kucheka cheka nalo. We chapa kitu chako kisha fika pale Dar, inua bibilia na ujiapishe kama rais wa Tanzania. Hatutangoja mrejesho.
Yeye ni raia huko I guess atajiju!Kwahyo huko Canada wanaenda mtafutia na nyumba au anatelekezwa Airport!?..Kama hana makazi itakuaje!?.
Duh!Wampe nchi MAGUFULI kwa wiki moja tu.
Kama ulisikia matamshi ya waziri wa sheria bungeni jana. "Raisi wa jamhuri ya muungano ni mmoja tu, naye ni JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI, na hakuna mwingine ni mmoja tu, naye ndiye mkuu wa majeshi na jemedari mkuu" nikasema moyoni, ikitokea mtu akajiapisha kuwa rais kama Kenya, sijui ingekuwaje.
Ni kweliWampe nchi MAGUFULI kwa wiki moja tu.
Kama ulisikia matamshi ya waziri wa sheria bungeni jana. "Raisi wa jamhuri ya muungano ni mmoja tu, naye ni JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI, na hakuna mwingine ni mmoja tu, naye ndiye mkuu wa majeshi na jemedari mkuu" nikasema moyoni, ikitokea mtu akajiapisha kuwa rais kama Kenya, sijui ingekuwaje.
Kesho yake ninge geuka mbona wasilete utani wananitoaje nchini kwangu mwenyew!..Yeye ni raia huko I guess atajiju!
Siasa hizi asalaleh
Kesho yake ninge geuka mbona wasilete utani wananitoaje nchini kwangu mwenyew!..
Haya basi tuache na rais wetu 'mdhaifu'. Hakuna yeyote ule aliyekuomba mawaidha yako wala hata senti yako moja.Sikia bhana.ukiapa kuilinda katiba km rais ni lazima uwe jasiri.uhuru kenyata ni dhaifu na ni mwoga .
Utakuja sikia kuwa yeye mwenyewe ndo alichapa dili na serikali kupitia wakombozi wake Canada baada ya kugundua kuwa maharage ya bure hayana royco. 😀Yeye ni raia huko I guess atajiju!
Siasa hizi asalaleh
HahahahaUtakuja sikia kuwa yeye mwenyewe ndo alichapa dili na serikali kupitia wakombozi wake Canada baada ya kugundua kuwa maharage ya bure hayana royco. 😀
Baada ya wiki kuisha na yeye the HagueWampe nchi MAGUFULI kwa wiki moja tu.
Kama ulisikia matamshi ya waziri wa sheria bungeni jana. "Raisi wa jamhuri ya muungano ni mmoja tu, naye ni JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI, na hakuna mwingine ni mmoja tu, naye ndiye mkuu wa majeshi na jemedari mkuu" nikasema moyoni, ikitokea mtu akajiapisha kuwa rais kama Kenya, sijui ingekuwaje.
Hiyo nimeionaMuusika wakianza naye watu wataresist, alafu atakuwa na watu wenye wa kumuunga mkono, ngoja waondolewe kwanza viongozi wanaomuunga mkono abaki ye mwenyewe akamatwe kama kondoo aliyenyeshewa mvua
Ingekuwa hivyo, lawama zote anazotupiwa angekuwa ameshapelekwa.Baada ya wiki kuisha na yeye the Hague
Persona non granta